Argument yako ina substance ila sijui kama una case law ikaongeza nyama!
Hata hivyo makonda asiposhitakiwa nadhan tayar anajihisi mishale ya moyo. Hakuna adhabu kubwa kama kukataliwa na jamii na kuangaliwa vibaya hasa hili la kuwa muuaji!. Hatapata raha ya kuishi kamwe! Ni kama hakuwa ameiva kufanya mazito kivile ndo mana anajificha mgongo wa kwaya na ibada! He is already dead inside, afterall!
Wamwache akajitetee kama wengine, sheria za kipuuzi sana DPP kupinga mtu kufunguliwa mashtaka, gharama zao wenyewe acha wasikilizwe na mahakama huru, DPP mtu wa ovyo sana kaamua kuwa kada wa CCM kutetea wahuni
Hivi huwa kuna muda maalumu wa kuwaza?Mwanaume kuamka usiku saa 8 unawawaza wanaume wenzako nao ni UPUMBAVU mwingine, hivi hamnaga wanawake au mademu ya kuwaliwaza!?.., Makonda akishtakiwa kwenye account Yako zinaongezeka shilingi ngapi!??!?.. Sometimes huwa naona ni sawa mtu mweusi kuitwa MONKEY hata kubaguliwa sababu ya watu kama mleta mada.
Kuna Mtu Makonda ndiyo Utamu Kunoga wake sasa akiwekwa ndani ( Jela ) utamtafuta Mtu mwingine wa kumpa Utamu Kunoga ule ule ambao amekuwa akipewa nae tokea Bunge la Katiba? Acheni masihara na Utamu Kunoga nyie.Wadau naomba kuuliza Makonda anashtakiwa kwa Kutumia Madaraka vibaya akiwa Kiongozi km Kuvamia Clouds
Kubandika Namba ya RC kwenye Magari binafsi n.k
Cha kushangaza DPP na DCI WANAPINGA Je kwanini WANAPINGA je ni HALALI kwa MKUU wa MKOA kufanya ALIYOYAFANYA MAKONDA? Na kama Alimshtaki hana Maslahi ni NANI ANASTAHIRI KUMSHTAKI?
Nyie ndio alikuwa anawapima oil kuona kama mko sawa, hata JPM aliona jamaa lenu ni zigo ikabidi apige chini tuu, na mnyamwezi hakosei uhuni wote wa Makonda wanao 100% ile ban haikuwa ya bureAcha upumbavu Makonda unamwangalia hivo wewe na mjinga wenzako! Sie tunamuona ni mtu mzalendo na mchapakazi! Endelea kufikiria ujinga na hao wajinga wenzio!
Wema wangu kwako ni uovu kwa watu wengine.
Kumbe shida ni kwamba alikupima oil?Nyie ndio alikuwa anawapima oil kuona kama mko sawa, hata JPM aliona jamaa lenu ni zigo ikabidi apige chini tuu, na mnyamwezi hakosei uhuni wote wa Makonda wanao 100% ile ban haikuwa ya bure
Kutaliwa na kuangaliwa vibaya na machadema ni adhabu?Argument yako ina substance ila sijui kama una case law ikaongeza nyama!
Hata hivyo makonda asiposhitakiwa nadhan tayar anajihisi mishale ya moyo. Hakuna adhabu kubwa kama kukataliwa na jamii na kuangaliwa vibaya hasa hili la kuwa muuaji!. Hatapata raha ya kuishi kamwe! Ni kama hakuwa ameiva kufanya mazito kivile ndo mana anajificha mgongo wa kwaya na ibada! He is already dead inside, afterall!
umetishaaaaaaHuyu mupe yure muruke
Wewe Fanya yako achana na haya mambo
Hiyo kesi haimhusu !!Kutokuwa na maslahi maana yake nini?
Aisee ni kweli au uchawa tu.Hiyo kesi haimhusu !!
Makonda alipigwa nchini au alienda mwenyewe kugombea ubunge ikabidi aachie ukuu wa mkoa!Nyie ndio alikuwa anawapima oil kuona kama mko sawa, hata JPM aliona jamaa lenu ni zigo ikabidi apige chini tuu, na mnyamwezi hakosei uhuni wote wa Makonda wanao 100% ile ban haikuwa ya bure
Hauhusiki moja kwa moja na hiyo kesi, kwamba sio muathirika katika hiyo kesi, kwamba hauna uhusika katika hiyo kesi(hauna uhusiano na hiyo kesi)Kutokuwa na maslahi maana yake nini?
Ripoti polisi, mtuhumiwa atashitakiwa na Jamhuri na wewe utakuwa shahidiNinapofungua kesi ni lazima iwe na maslahi yangu binafsi na sio Taifa?
๐๐๐hawa ndio wanatuamsha hata maamuma kwan nikiona mtu kamuua mtu siwez fungua kesi?
kubenea yalimkuta lakini hakuna aliyegoma wala kulaani... ulimboka balozi yalimkuta nazani tuna elewa... walilaani lakini media ziliendelea kutoa habari kwa wananchi... wangeendelea kuweka habari za diamondi na zari au simba na yanga... walishindwa sababu walipo kuwa wanapeleka taarifa ndipo na yeye yupo utamgusa tu... na baadae una funuliwa faili lako, na ukizingatia media nyingi zina ujanja ujanja haziendi na sheria zote...Kushambulia media moja au mtangazaji mmoja ni kuitia hofu tasnia nzima ya uandishi wa habari isiweze kufanya kazi zake kwa uhuru na weledi unaotakiwa.
Hujawahi kusikia waandishi wanagoma kutoa habari za viongozi kwa sababu mwenzao mmoja amekamatwa?