DPP, TAKUKURU na Polisi: Wasikilizeni CHADEMA. Kuna jinai kubwa imetendeka

kaba ya jin
kabla ya jinai kwanza wajitathimini wao ndani ya chama na aina ya uongozi wa chama chao, jinai isubiri.
 
Mnataka iweje? je mnafikiri bila sihasa watakula wapi?
Kwani wanaoishi kwa mshahara wa laki moja unusu wanaishije?? Sembuse hao wengine wenye kiinua mgongo cha 240+mil walichochukua hata miezi mitatu haijaisha?
 
Kesi ya mchawi anapewa Shetani, unafikiri kuna kitu hapo
 
Chadema porojo tu kama wako serious wawachukulie hatua wao kwanza ndipo waite DPP wasitumie DPP kama kichaka cha kujificha mleta Mada usirukie kwa DPP
 
Mnyika aache porojo hapo kasema ana fomu anazo original au photocopy? Hajasema

Wameapa hadharani waziwazi kama wamekiuka so chama kiwachukulie hatua

Hakuwa hata na haja ya kuitisha Press conference anatafuta pa kujisafishia mnafiki mkubwa

Ohhh fomu ninazo sasa kama unazo chukua hatua basi
Chadema wasanii wanachoogopa kuchukua hatua nini?

Wanataka kusukumia zigo sijui NEC sijui bunge utapeli mtupu

Kama wamekiuka toeni Tamko la kuwafukuza chama mbona midomo inakwepa kutamka

Mnyika msanii
 
Jinai kubwa ni kutopeleka majina ya viti maalumu na kuwanyima wawakilishi wa wananchi fursa
Mkiwa katika juhudi za kuendeleza uchafuzi, mtaokoteza vineno mpaka mtaugua. Sio siri tena kuwa mwaigwaya sana CHADEMA.
 
Mshapigwa changa la macho na bado mtasikia TL kateuliwa yaani mtatembelea nyongo.


Game la siasa waachie kina mbowe wengine mnajichafulia CV tu
 
Hakuna wa kulaumiwa zaidi ya hao wabunge waliokwenda kuapa bungeni.
Mdee na wenzie...

Hivi hao wabunge wasingekwenda hata hyo karatasi inayoeleza majina ya wateuli viti maalum isingekuwa na maana yeyote kwa NEC..

Swali la kujiuliza..

-- ni akina nani waliopeleka barua NEC.

-- Je iweje halima mdee amshukuru
mbowe hadharani kwa kuwapa baraka zote za chama?

Kama mbowe hahusiki kwa hilo kwann
mdee amuhusishe?

-- kama kweli hawawatambui wabunge waliokwenda kuapa bungeni,,
wamewachukulia hatua gani kama chama?

Vinginevyo ni cinema ya kihindi..
 
"Natural justice".
 
Labda mimi ndo sielewi siasi, hao kina mdee walipewa taarifa na nani kwamba wameteuliwa na wanatakiwa kwenye kuapishwa bungeni? na kama ni NEC ndo ilipitisha tu majina yao na kuyapeleka kwa spika bila kushirikisha viongozi wa chadema je walipoitwa kwenda kuapishwa lilikuwa ni jambo la lazma kwamba wangekataa wangekufunguliwa mashitaka? Kama ilikuwa ni hiari ya kukubali au kukataa iweje lawama ziende kwingine?

Kiuhalisia wao ndo walipaswa kuwasiliana na chama chao ukizingatia wao kama chadema hawakubaliani na matokeo ya uchaguzi, na mgombea wao ambae ni Lisu ameshatamka hadharani for the whole world to hear kwamba hawalitambui bunge wala hawatashiriki, sasa leo wafuasi wake wanaenda kuapa kwenye hilo hilo bunge ambalo wamesema hawalitambui, tena wakijua wazi kwamba viongozi wao hawana taarifa ya kuteuliewa kwao na hata kama wangepewa taarifa lazima wangepinga, but that ddnt stop them, imekaaje hiii? mleta uzi unazunguka mbuyu kutafuta mchawi wakati hii ishu ilitakiwa wahojiwe hao walioenda kuapa kwenye bunge wasilolitambua wamekubalije?
 
Kesi ya nyani unampelekea ngedele.😂😂
 
Mambo ya hivi ndiyo maana hata MABEBERU wanatudharau kabisa - yaani majina yamepelewa kwa spika 20th Nov, cha ajabu mmoja kati ya hao alikuwa gelezani miezi kadhaa na katolewa 23rd Nov... Sasa jiulize kwamba alifanikishaje zoezi la kuteuliwa kwake Ubunge akiwa gelezani ?

Mambo mengine jamani si ni ya aibu tu haya!!
 
Wote Wameoza Na Kupungukiwa Utukufu Wa Mungu

Sheria Ichukue Mkondo Wake
 
Empty tin pole sana. Hata wa chekechea watazimia kwa kukucheka.
 
Polisi hii hii iliyopewa mpaka namba ya gari ambalo lilikuwa linamfuatilia Lissu na hakuna ilichofanya.
Polisi hii hii iliyopewa mpaka namba ya simu ambayo ilikuwa inamtumia Ben Saanane vitisho na hkuna ilichofanya.
 
Hao uliwataja ndiyo wahusika wa kubwa wa hii move
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…