Wasema kweli?Mkataba ni nyara ya serikali; haupaswi kuwekwa hadharani mitandaoni
Mkuu pandisha kabisa na mkataba wenyewe.
Mwenye soft copy wa mkataba naomba aweke
Weka ushahidi bwashee ili tukuamini. Kuna mamia za kupinga huo mkataba wa kijinga, ni ngapi kati ya hizo zimeanzishwa na new members?Inashangaza sana ila ndio ukweli kwa sasa.
Nyuzi nyingi zimeanzishwa kuhusu DP World, kuna wanaounga mkono na kuna wanaopinga.
Cha ajabu nimechunguza sana na kuona kuwa asilimia kubwa ya wanaopinga au kuanzisha uzi za kupinga ni new member JF, kwanini?
Na kama hawatafanya marekebisho utabaki kusapoti?Nasapoti,
na kama kuna marekebisho yafanywe
Ila kupinga kibugusa hapana
Endelea kuota.wapo kazini. watu wanalipwa kalaga bao wenye akili tushajua nani yupo nyuma yao. mh Rais usiyumbishwe piga kazi watanzania watakuja kukushukuru badae.
Umepanick? Unaeza kupita kimya tu ya nini kutukana?Pye.... wewe ukitaka hao member wawepo tangu mwanzo wa jf :
1. Je DP-WORLD ilishakuwa imekuja Tanzania?
2. Kwa uelewa wako mdogo unadhani wale member wa zamani ndio wenye haki ya kuleta na kujadili hoja tuu!
3. Next time unapoanzisha mada tumia akili boya wewe!
Nina hakika watafanya marekebisho kama yapo, na ikiwa yapo na hawakufanya sitasapotiNa kama hawatafanya marekebisho utabaki kusapoti?
"...asili mia kubwa..." ngapi?Inashangaza sana ila ndio ukweli kwa sasa.
Nyuzi nyingi zimeanzishwa kuhusu DP World, kuna wanaounga mkono na kuna wanaopinga.
Cha ajabu nimechunguza sana na kuona kuwa asilimia kubwa ya wanaopinga au kuanzisha uzi za kupinga ni new member JF, kwanini?
Ndiyo maana Maccm Yana tumia pesa nyingi kwenye timu propoganda Uongo Mwingi Ukweli kidogo saa ingine hata huo ukweli kidogo ZeroBabu bul peke yake ameelewa
Wengine mihemko tu, ndio hao hao new member
3 [emoji845]MUHIMU ISOME[emoji845]Inashangaza sana ila ndio ukweli kwa sasa.
Nyuzi nyingi zimeanzishwa kuhusu DP World, kuna wanaounga mkono na kuna wanaopinga.
Cha ajabu nimechunguza sana na kuona kuwa asilimia kubwa ya wanaopinga au kuanzisha uzi za kupinga ni new member JF, kwanini?
Japo tunayasema yasiyo sahihi mitandaoni dhidi ya Watawala na tuliowachagua wakapuuza, wajue kwamba tunaishi nao mitaani. Kwa karne hii ya TAHEMA, wakikosa madaraka yao ya kisiasa, watatukuta mitaani kama Wahenga walivyonena mpanda ngazi hushuka au aliye juu mngoje chini. Siyo dua la kuku kwani kuna ushahidi wa waliokuwa na madaraka tunao mitaani tunaona maisha yao, labda wachache wanaolindwa na Katiba.Watanzania tukifanikish ku sitisha ili swala la bandari, mwendo ni ule ule kwenye mikataba mingine kama ya Loliondo mpaka Tanzania irudi maana we have nothing to expect from politicians. Wanasiasa wamefornn coalition against citizens, na sisi we stand against them. Tanzania ni ya watanzania na siyo ya Wanasiasa. View attachment 2676765
Waathiriwa direct or indirect !!Inashangaza sana ila ndio ukweli kwa sasa.
Nyuzi nyingi zimeanzishwa kuhusu DP World, kuna wanaounga mkono na kuna wanaopinga.
Cha ajabu nimechunguza sana na kuona kuwa asilimia kubwa ya wanaopinga au kuanzisha uzi za kupinga ni new member JF, kwanini?
Sawa tu, maandamano ni haki kikatiba.Nilitaka tuandamane