Msambichaka Mkinga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 1,649
- 2,911
mbona lowasa hapandishi mahakamani...lowasa fisadi sana yule jamaa...naitaka serikali impandishe mahakamani haraka sana....la sivyo sisi vijana wazalendo tutaandamana hadi ikulu
After all madili ya kutisha kama kununua ekari moja kwa zaidi ya milioni mia nane (800,000,00/=) chini ya uongozi wake, this is what zitto have to say?
Kuna mahari popote TZ unaweza kununua ekari moja kwa zaidi ya milioni mianane?
kama haoni kosa lolote basi tuseme TZ hakuna fisadi tena.
hili jambo siyo rahisi kutokea kwa sasa ,unahitaji kwanza upate uungwaji mkono wa idadi kubwa ya wabunge, jambo ambalo kwa sasa sio rahisi,lakini pia kunahitajika utashi wa kufanya hivyo kutoka kwa wakuu wa taasisi husikaImani yangu inanituma kwamba kinga ya Kikwete kutoshtakiwa itaondolewa na bunge ndani ya miaka miwili ya kwanza ya JPM.
Na si kumwondolea kinga Kikwete tu isipokuwa mheshimiwa Rais ataifuta kabisa sheria hiyo, sisi tuendelee kumwombea tu kama anavyo tusisitiza.
Na kama Kikwete ataondolewa kinga hiyo sioni kama kuna mwanya atakaocholopokea asiingie Segerea.
Sana tu,sanaHakuna haja ya kumshangaa Zito yeye ni mnufaika mkubwa wa wizi uliofanywa na Dr Dau.
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Hicho ndicho tunachotaka... Mambo ya CCM kukomba pesa ya serikali yakomee. Kwani upinzani wanapata wapi pesa za kanpeni?? Wao si wanasema wana wanachama Million 8 na zaidi?? Na ni bora safari hii Magufuli kakata kupeleka pesa Lumumba mpaka JK anawaombea vijana wa mtandao kwenye majukwaamkuu hii ya dau imekaa vibaya mana ccm ndio huchukua hela hizo nakumbuka kipindi cha 2010 mwz ......marehemu mabina aliuza eka 50 ya shamba kwa zaidi ya 700m kwa nssf kilometa 30 nje ya mji kwa maagizo toka ccm.....yeye alibaki na 400m zingine akaambiwa awape ccm mkoa kwa ajili ya uchaguzi.
Dau ataondoka na wengi kwenye hiyo kashfa
Kama maghufuli hatajitumbuwa kwa nyumba za serikali MV Dar es salaam na meli ya samaki nitamuona ni mnafiki sana msumeno ukate kote sio kuchagua na kama Mkapa na KIkwete sitawaona basi ajenge nchi kwa kutuletea miradi sitahiki sio sifa
Daaa kama ni kweli basi ni hatari , sasa ule ubalozi ulikuwa wa nini?DaahSasa ni wazi masaa na dakika za Dr. Dau (Mkurugenzi mstaafu wa NSSF) kukaa uraiani zinahesabika, baada ya jana Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa kumhoji "kumfanyia interogation" kwa zaidi ya masaa 4. Hii inatokana na ubadhirifu wa zaidi ya Billion 179 uliofanyika chini yake akiwa ni DG wa NSSF..
Dr. Dau anashitakiwa kwa makosa zaidi ya 5 ikiwemo ubadhirifu na matumizi mabaya ya madaraka, kinyume na sheria ya PCCA No. 11/2007...
NB: Asante Rais Magufuli kwa kuamua kupambana na mafisadi na majizi, waliotuibia kwa zaidi ya miaka 10.
Anaweza kumgusa Dr Dau watamwambie sasa mzee unajua sare,mafuta na mbwembwe zote kipindi cha uchaguzi vilitoka wapi,ataambiwa huyu ni mwenzetu wa Lumumba kadi yake ya zamani kuliko yako Mheshimiwa, tutakususia chama 2020 usimame mwenyewe,kama tulivokuweka 2015 tutafanya figisufigu.Bila shaka Dau alikuwepo tu kama kivuliHakuna aliye na ubavu kuhusu sakata la Radda..Escrow...Richmond...nk..nk..nk. sembuse sakata la Dr.Dau.Tuandike tu humu jf na yaishie humuhumu.
haaa haaaa kwamba sawa na "panama papers" leaks scandal.Sasa ni wakati wa Tanzania Papers bana.
Ngoja nikusaidie wewe kumama! Sema hivi baba riz haponi kwenye huu mtiti!Kazi ipo ,mwaka huu kuna watu watajinyonga tu. Maana mibuyu inadondoka . Lakini nina hofu na mzee wa kuzungusha mikono ,sijui watamfikia?
mkuu tunajadili hili wewe unatuletea kingine, usichanganye madawa.Kuna ule mgodi wa makaa ya mawe kule kyela mkoani mbeya mbona serikali siisikii kuufuatilia na mwenendo wake au washaususa ? Hapo mwanzo niliwah kusikia kuna kiongozi kajimilikisha mali ya umma ilikuwaje?
Usemalo ni sawa mana hata 2015 walichukua pesa nyingi huku kwenye mifuko ya jamii....ngoja tuone huu mtinange dau hatakubali kwenda n maji atawataja woteHicho ndicho tunachotaka... Mambo ya CCM kukomba pesa ya serikali yakomee. Kwani upinzani wanapata wapi pesa za kanpeni?? Wao si wanasema wana wanachama Million 8 na zaidi?? Na ni bora safari hii Magufuli kakata kupeleka pesa Lumumba mpaka JK anawaombea vijana wa mtandao kwenye majukwaa
Siyo atakuwa balozi, Ni Balozi hajapangiwa nchi tuJamani huyu si tuliambiwa atakuwa balozi, kumbe yamekuwa hayo tena, mweeeeeeee
Watamfikia kwa ushahidi upi?Kazi ipo ,mwaka huu kuna watu watajinyonga tu. Maana mibuyu inadondoka . Lakini nina hofu na mzee wa kuzungusha mikono ,sijui watamfikia?