Dr. Diallo: Katiba inatengenezwa na Wananchi siyo Wanasiasa, 2014 tuliikosa katiba mpya kwa ubinafsi wa wanasiasa CCM ikiwemo!

Nakubaliana na Dr Diallo huwezi kupata katiba kwa kuwategemea wanasiasa kuongoza mchakato.Viongozi wa dini, NGO, wana academia na makundi mengine inawezekana.wana academia wanaweza kuongoza.

Uko sahihi, lakini hayo makundi uliyoyataja ni kama hayajui wajibu wao. Wako pembeni wametulia wanasubiri wanasiasa wadai katiba, kisha hao wanasiasa ndio wawape nafasi kuwepo kwenye bunge la kutengeneza katiba.
 
Diallo meongeza kwa kusema nchi imepita kwenye kiza kinene ktk kipindi cha miaka 5. Rais wa awamu hiyo hakuheshimu utu, haki na alivunja katiba wazi wazi.

Anaomba tuwe tunarejea histori za wagombea kabla ya kuwapa urais. Kamwe tusirejee tuliyoyapitia.

Sexless
 
Ki ukweli mh. Diallo ameusema ukweli, JPM alikuwa katili , muuaji na mnyanyasaji. JPM alichukiwa na watu kuliko shetani. Diallo amethubutu kusema kweli , hatukujua kuwa alikuwa na file milembe hospital.
 
Magufuli alikuwa hashindi kwenye chaguzi, alikuwa anashinikiza atangazwe mshindi.
 
Yule mtu ni kweli alikuwa na faili Mirembe, mtu timamu hawezi sema nchi ina masaa 48! Au kudeny ugonjwa ambao ni tatizo la dunia nzima
 

Amka ww, zama za siasa chafu na utawala wa kishenzi umepita. Mama juzi si alisema watu walibambikiwa kesi na takukuru zaidi ya 147? Mwigulu si ndio huyo jana kasema kuna watu hela zao zimechukuliwa kimakosa kwenye bank? Katika mazingira hayo unawezaje kupima kwa uhalisia ukwepaji kodi wa huyo Diallo? Ni hivi, Magu alikuwa kiongozi dhalimu na muovu fullstop.
 
Wako wapi waso dhambi,wangapi?Chao kipi?laolipi?
 
Kuna mbwa za legacy zitakuja
 
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza Dr Anthony Diallo amesema ni makosa makubwa na hatari sana kuwaachia wanasiasa watengeneze katiba ya nchi.

Diallo amesema wanasiasa ni wabinafsi hivyo lazima wajipendelee ndio maana katiba ni lazima itengenezwe na wananchi wakisaidiwa na wataalamu kama ilivyofanyika nchini Kenya.

Diallo yuko mubashara Star tv akihojiwa na Aloyce Nyanda.
 
[emoji44][emoji44]Eeh alikuwa na file milembe

Sent using Jamii Forums mobile app
Niliwahi kuambiwa, na mtu mmoja mkubwa sana katika vyombo vya usalama, ambaye kutokana na nafasi yake, ni sharti aongee na Rais kila siku, alisema, 'tuna Rais kichaa, anaweza kuua, anaweza kumfunga mtu yeyote, msidhani ni utani"

Marehemu hakuwa mzima. Kuna wakati alikuwa anakuwa afadhali, kuna wakati ilikuwa dhahiri kabisa ana tatizo la afya ya akili.
 

Diallo amesema ukweli akiwa anafahamika, ww unamtetea mtu muovu kwa Id fake, weka jina lako uonekane ukimtetea yule kiongozi dhalimu. Hizi raslimali alizokuwa analinda ni zipi, mbona alipora korosho za wananchi na fedha kwenye Bureau de change, badala ya kutegemea hizo raslimali? Kama kuna raslimali za hivyo, kwanini tunabebeshwa mzigo wa kodi mara mbili mbili kwenye miamala ya simu, mafuta nk? Si muuze hizo raslimali ili zitupunguzie mzigo wa kodi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…