Dr. Dorothy Gwajima na makeke kama Kangi Lugola

Kaizeni gani wakati dawa hospitalini Singida hakuna! hizo nadharia za wajapani sijuhi watu gani huku kwetu hazifai...siasa zimevuruka utendaji...
 
Nimemsikiliza nikacheka sana ! hivi ni kabila gani huyo mama ?

Namtabiria muda mfupi sana .
Kuna mtu amesema na mnyiramba wa shelui!! Basi wanyiramba watakuwa na bahati wakatu huu!!
1- Kitilla mnyiramba
2- Mwiguru aka madelu mnyiramba
3 - Dorothy aka makelele mnyiramba
Ukiondoa wasukuma kwenye baraza la mawaziri, kabila linalifuata kwa kuwa na mawaziri wengi ni wanyiramba!!
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Moto wa mabua!
Au ngoma ya kitoto, haikeshi!
 
Huyu mama yupo vizuri ni swala la muda utamkubali labda haujumiwe na watendaji wenzake ila nakuambia ni Moto toka akiwa Tamiseni alikuwa anafanya kazi sana na izo mbwembwe zilikuwepo
Si ajabu watendaji wenyewe ndio hawahawa humu, wachawi wako kazini tena mchana kweupe.Hebu tuachane na neno makeke huyo mama alichoanza kudeliver kina tija, kina ukweli ndani yake?Tuanzie hapo ili tafsir ya mlet a hoja ipate nguvu.
 
atulie aache papara nimemuona ana makeke sana na mdomo. avune busara za Ummy na Dr. Ndungulile
 
Naungana na wote wanaomkubali huyu Dr Dorothy Gwajima kwa kuwa wanayoyaandika kuhusu yeye ni ya kweli. Wale wanaoponda either HAWAMFAHAMU yaani wanaanza kumuona baada ya uteuzi or anamfahamu lakini ni WAHANGA wa uchapa kazi wake.
Nitaongeza machache ninayojuwa. Kwenye kisomo na taaluma hakuna ubishi kwa kuwa ni MD na MPH. Kwenye kazi akiwa DMO Iramba alisimamia uanzishaji wa CHF kwa wilaya nzima na alihakikisha dawa na vifaa tiba vinapatikana muda wote kwenye zahanati na vituo vya afya. Kimsingi alidhibiti wizi wa watumishi wasio waaminifu. Hiyo ilikuwa miaka kabla ya 2012.

Akiwa RMO aliweza kuwakilisha kuwa wilaya zote zinafuata mfumo wa Iramba kwenye kumbukumbu za dawa na vifaa. Hivyo basi Shirika la Afya Duniani (WHO), lilitambua kazi yake kwa kumpa tuzo ya best performing RMO mwaka 2013.

Sasa kama Dr Dorothy Gwajima pekee anatunukiwa tuzo ya performance na WHO kati ya Ma RMOs na DMOs 200 nchi nzima SISI NI NANI tum-doubt leo Magufuli kwa kumpa hiyo kazi.

Najuwa wengi wamemfahamu akiwa Assistant Director pale Wizara ya Afya na akiwa Naibu PS pale TAMISEMI. Ila katika uteuzi bora kabisa ambao Magufuli amefanya ni wa huyu Dr Dorothy.

Wanaosubiri ashindwe watakuwa ni wachawi au wanga tu. Ila naamini katika uchapakazi wake, ni mkweli sana, hapendi wizi, anachukia wavivu, siyo mtu wa majungu. Ana maadili ya kazi, ni mcha Mungu, hapendi wa Tanzania wateseke kupata huduma za afya.

Ukitaka wachukie, kama hutaki yaache ila huo ndiyo ukweli
 
You made my day halafu kingine huu utopolo wa chif hailipwei kwa huduma uliyotoa sipokuwa ni kwa enrollment ya kaya .halafu umeshaaona wapi Bima inaeroll wateja ambao ni wagonjwa wenye maugonjwa sugu ambao kwa mweiz mtu anajitbu kwa 60000 mpaka 70000 .wew unatoa 30000 kwa watu 5 ambao ni wagonjwa kwa mwaka kama sio kituko nini
 
Nitawashangaa Sana madaktari Kama watakubali kupelekeshwa Kama waalimu,wampe tukio moja tu atulize wenge
 
Nitawashangaa Sana madaktari Kama watakubali kupelekeshwa Kama waalimu,wampe tukio moja tu atulize wenge
Huku tamisemi amewaonea sana watu kuna watu hadi wamefsrika na kuacha kazi hebu fikiria unambiwa ununue computer kila mwezi , huku wazee unawatibu bure na wamama bure halafu serikali haikupi hizo hela za kuwatobu bure halafu ule wako usema hamna dawa
 
Yaani kana piga kelele na mikwara miingi. Lakini naona no uginjwa wa media tu. Lugora yuko wapi na suti zake za bendera ya taifana ilani? Hivi bado anatembea nayo?
 
Mumemuacha wapi Jima Aweso waziri wa maji,yeye hana option nyingine tofauti na kutumbua wataalam wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…