Kaizeni gani wakati dawa hospitalini Singida hakuna! hizo nadharia za wajapani sijuhi watu gani huku kwetu hazifai...siasa zimevuruka utendaji...Dr ngwajima. Mm namuita iron lady, au mwanaume lakini anavaa sketi. Katika utendaji wake hajawahi shindwa. Amekua RMO singida hospitali ya mkoa aliweza kuifanya singida hospital ikawa hospitali ya mfano tanzania kwa kazi za kaizen. Mpaka sasa ukitaka kujifunza KAIZEN sehemu ya mfano ni singida.
Hata sasa naamini wizara zingine zitajifunza kwa wizara ya afya. Namkubali sana huyu mama. Kwa ambao mnamuona hvyo ndio anafanya kazi.
Kuna mtu amesema na mnyiramba wa shelui!! Basi wanyiramba watakuwa na bahati wakatu huu!!Nimemsikiliza nikacheka sana ! hivi ni kabila gani huyo mama ?
Namtabiria muda mfupi sana .
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Binafsi Siamini kama Wizara ya Afya, ambayo kwa maoni yangu ni Wizara nyeti kabisa inahitaji kuwa na Waziri, ama viongozi wenye makeke, ama makelele yasiyo na tija.
Kwanza uzoefu unatuonesha viongozi wenye makeke/ makelele wala hawadumu katika nafasi zao maana huwa hawana Ufanisi wowote zaidi ya kuzurura huku na huko wakipiga makelele na kutofanikisha lolote... mfano, Paul Makonda, Kigwangallah, Humphrey Polepole, Kangi Lugola na juzi Magu amemtaja Jafo kuwa Anazunguka tu lkn hakuna Ufanisi wowote katika mizunguko yake hiyo na makelele yake.
Sasa ametoka Lugola kaingia Mmama mmoja ana makeke kweli, Dorothy Gwajima, Waziri wa Afya na Mnyiramba wa Shelui, Singida. Naye anatembea na Ilani ya CCM na scarf ya bendera ya Tanzania kama Lugola na kama Mwigulu...makelele yaleyale, makeke yaleyale, mikogo ileile.
Namwona hafiki Mbali, kama wapo wa Karibu yake wamwambie atulize wenge afanye kazi kwa Utulivu na Maarifa
Asije kusema hatukusema, ana mdomo sana yan chaaa🤧
Moto wa mabua!Binafsi Siamini kama Wizara ya Afya, ambayo kwa maoni yangu ni Wizara nyeti kabisa inahitaji kuwa na Waziri, ama viongozi wenye makeke, ama makelele yasiyo na tija.
Kwanza uzoefu unatuonesha viongozi wenye makeke/ makelele wala hawadumu katika nafasi zao maana huwa hawana Ufanisi wowote zaidi ya kuzurura huku na huko wakipiga makelele na kutofanikisha lolote... mfano, Paul Makonda, Kigwangallah, Humphrey Polepole, Kangi Lugola na juzi Magu amemtaja Jafo kuwa Anazunguka tu lkn hakuna Ufanisi wowote katika mizunguko yake hiyo na makelele yake.
Sasa ametoka Lugola kaingia Mmama mmoja ana makeke kweli, Dorothy Gwajima, Waziri wa Afya na Mnyiramba wa Shelui, Singida. Naye anatembea na Ilani ya CCM na scarf ya bendera ya Tanzania kama Lugola na kama Mwigulu...makelele yaleyale, makeke yaleyale, mikogo ileile.
Namwona hafiki Mbali, kama wapo wa Karibu yake wamwambie atulize wenge afanye kazi kwa Utulivu na Maarifa
Asije kusema hatukusema, ana mdomo sana yan chaaa🤧
Si ajabu watendaji wenyewe ndio hawahawa humu, wachawi wako kazini tena mchana kweupe.Hebu tuachane na neno makeke huyo mama alichoanza kudeliver kina tija, kina ukweli ndani yake?Tuanzie hapo ili tafsir ya mlet a hoja ipate nguvu.Huyu mama yupo vizuri ni swala la muda utamkubali labda haujumiwe na watendaji wenzake ila nakuambia ni Moto toka akiwa Tamiseni alikuwa anafanya kazi sana na izo mbwembwe zilikuwepo
You made my day halafu kingine huu utopolo wa chif hailipwei kwa huduma uliyotoa sipokuwa ni kwa enrollment ya kaya .halafu umeshaaona wapi Bima inaeroll wateja ambao ni wagonjwa wenye maugonjwa sugu ambao kwa mweiz mtu anajitbu kwa 60000 mpaka 70000 .wew unatoa 30000 kwa watu 5 ambao ni wagonjwa kwa mwaka kama sio kituko niniHii wizara ngumu sana....naomba nitoe mfano mmoja tu kwa leo:
Kuna hii Bima ya Afya ya Jamii CHF, wanachi wameitikia wito wa kuwa na bima hii, ila matumizi yake sasa, familia nzima ya watu watano wanenda wote kutibiwa siku moja(wote "wanaumwa" si wana bima bwana!) wanaonwa na daktari, wanaandikiwa vipimo ila ni mmoja tu mwenye minyoo, na ili kuondoa lawama ya hao ambao hawaumwi kutopewa dawa (wasipopata dawa wanaenda kwa diwani na kusema pale zahanati huduma mbovu) mganga anawapa panadol, nk
Matokeo ya ujinga huu wa watanzania walio wengi ni matumizi makubwa ya raslimali watu na fedha na mfuko huu hautaweza kujiendesha wenyewe...
Ujinga ndio ugonjwa mkubwa miongoni mwetu....
Yani jimama lote lile unaliita mtoto wa kikeNi jambo la ajambu sana kwa mwanaume kama wewe kumpiga majungu mtoto wa kike kama gwajima
Wamtulize wenge ili Madaktari waendelee na uzembe ambao unaweza kurekebishwa?Nitawashangaa Sana madaktari Kama watakubali kupelekeshwa Kama waalimu,wampe tukio moja tu atulize wenge
Huku tamisemi amewaonea sana watu kuna watu hadi wamefsrika na kuacha kazi hebu fikiria unambiwa ununue computer kila mwezi , huku wazee unawatibu bure na wamama bure halafu serikali haikupi hizo hela za kuwatobu bure halafu ule wako usema hamna dawaNitawashangaa Sana madaktari Kama watakubali kupelekeshwa Kama waalimu,wampe tukio moja tu atulize wenge
Binafsi Siamini kama Wizara ya Afya, ambayo kwa maoni yangu ni Wizara nyeti kabisa inahitaji kuwa na Waziri, ama viongozi wenye makeke, ama makelele yasiyo na tija.
Kwanza uzoefu unatuonesha viongozi wenye makeke/ makelele wala hawadumu katika nafasi zao maana huwa hawana Ufanisi wowote zaidi ya kuzurura huku na huko wakipiga makelele na kutofanikisha lolote... mfano, Paul Makonda, Kigwangallah, Humphrey Polepole, Kangi Lugola na juzi Magu amemtaja Jafo kuwa Anazunguka tu lkn hakuna Ufanisi wowote katika mizunguko yake hiyo na makelele yake.
Sasa ametoka Lugola kaingia Mmama mmoja ana makeke kweli, Dorothy Gwajima, Waziri wa Afya na Mnyiramba wa Shelui, Singida. Naye anatembea na Ilani ya CCM na scarf ya bendera ya Tanzania kama Lugola na kama Mwigulu...makelele yaleyale, makeke yaleyale, mikogo ileile.
Namwona hafiki Mbali, kama wapo wa Karibu yake wamwambie atulize wenge afanye kazi kwa Utulivu na Maarifa
Asije kusema hatukusema, ana mdomo sana yan chaaa[emoji1784]
Ni jambo la ajambu sana kwa mwanaume kama wewe kumpiga majungu mtoto wa kike kama gwajima
Huyu ni Sofia Simba wa Awamu ya tano
Sio Msukuma huyo. Labda Mumewe. Tujipe muda kuna kitu si muda mrefu tutajifundisha kwa watu wenye sirka kama yake katika utendaji wake.
Hivi hakuna wizara nyingine ambayo inawafaa watu dizaini yake?