Sipati picha MKUMBO bado angekuwa CHADEMA, watu wangekuwa wanawashwa sana humu JF, leo wanamponga
Hapo tumekuelewa, sasa tupe Prof. mmoja wa CHADEMA aliyefanya chochote, usije na BAREGU na njaa zake aliona mnataka kumletea za kuleta asichote mlungula wa Tume ya Waryoba akawashushua kwa kuwaambia Tanzania kwanza CHADEMA baadayeHata Muhongo naye ni profesa lakn anazidi kuuza nchi kila siku na mpka leo hamna Umeme, Lipumba naye ni Profesa lkn anashangilia Serikali ya Uingereza kupitia BBC kufungua Kituo Chake Nchini mwetu, hata Magembe naye ni profesa lkn ni fisadi namba 1, hata yule wa Wizara ya Mawasiliano pia jina nimemsahau ni profesa lkn TTCL kwishney orodha inaendelea!
Wewe unayefuatilia niambie chapisho lake ......Kama wwe siyo mfuatiliaji na msomaji wa research za wasomi lazima uulize maswali ya kipuuzi kama haya.
Bora yeye kazipata kwa jasho, kuna mtu hata hajasome ila anaitwa Dr fulani
Mkuu,nafasi ya Uprofesa haidhinishwi na Seneti. Ni Baraza la Chuo ndilo linalohusika na suala hilo. Kikao cha juzi ni cha Baraza.Hivyobasi,suala hilo lawezekana. Hiyo ni nafasi ya juu ya kutoka Mhadhiri Mwandamizi hadi Profesa Mshiriki
Haya sasa Prof. KITILA MKUMBO vs Ndugu TUNDU LISSU, lissu aokote makopo.
Hapo tumekuelewa, sasa tupe Prof. mmoja wa CHADEMA aliyefanya chochote, usije na BAREGU na njaa zake aliona mnataka kumletea za kuleta asichote mlungula wa Tume ya Waryoba akawashushua kwa kuwaambia Tanzania kwanza CHADEMA baadaye
hahahaaaaaaaa,hapo mkono ulipata kithembe ghaflaNamjua si anaitwa Dr Shikwete
Kama atakuwa amepandishwa atakuwa siyo professor bali ni associate professor. Utofautishe hivi vitu. Huwezi kutoka dr kuwa professor moja kwa moja. Kuna cheo hapo katikati ambacho nimekitaja hapo juu. Ukome kudanganya umma
Hata Muhongo naye ni profesa lakn anazidi kuuza nchi kila siku na mpka leo hamna Umeme, Lipumba naye ni Profesa lkn anashangilia Serikali ya Uingereza kupitia BBC kufungua Kituo Chake Nchini mwetu, hata Magembe naye ni profesa lkn ni fisadi namba 1, hata yule wa Wizara ya Mawasiliano pia jina nimemsahau ni profesa lkn TTCL kwishney orodha inaendelea!
Waheshimiwa, habari nilizonazo ni kuwa juzi kikao cha senet Chuo Kikuu cha Dar es Salaam imemtunuku hadhi ya Uprofesa Dr. Kitila Mkumbo. Kwa hiyo kuanzia sasa sio tena Doctor bali ni Professor. Hongera Profesor Mkumbo
Hawezi kuwa Prof.kabla ya kwenda hata Sebbatical leave , alienda lini Sebbatical ? Na hata kama alienda atakuwa Associate Prof.."........ Aidha ameshatoa chapisho lolote ? Ameandika nini ? Msitulishe upepo bana
hawezi kuwa prof.kabla ya kwenda hata sebbatical leave , alienda lini sebbatical ? Na hata kama alienda atakuwa associate prof.."........ Aidha ameshatoa chapisho lolote ? Ameandika nini ? Msitulishe upepo bana
Hata Muhongo naye ni profesa lakn anazidi kuuza nchi kila siku na mpka leo hamna Umeme, Lipumba naye ni Profesa lkn anashangilia Serikali ya Uingereza kupitia BBC kufungua Kituo Chake Nchini mwetu, hata Magembe naye ni profesa lkn ni fisadi namba 1, hata yule wa Wizara ya Mawasiliano pia jina nimemsahau ni profesa lkn TTCL kwishney orodha inaendelea!