Dr. Mwele Malecela: Asiyekuumba, kukuumbua hawezi

Jiwe bhana! Kwa hiyo baada ya kumfukuza kazi alitaka mama wa watu asiajiriwe tena! Yaan angelialia kama yule jamaa aliyekuwa RC Morogoro kipindi kile! Roho mbaya tu.....
 
Katika hili Magu is right mbona hako kagonjwa alikosema mbombezi wa magonjwa hakakuendelea? Au aliondoka nako? Maana mwele dr alikuwa sahihi tungeendelea kusikia ama kushuhudia watu wakifa. Lakini kimyaaaa
 
Alisema kuna dalili za ugonjwa wa ZIKA not kuna ugonjwa wa ZIKA
 
Hapa naona watu wameishia kunanga PhD tu..Lakini tumeshindwa kujibu kile alichohoji Mh Rais?je Zika iliishia wapi?Au Dr.Mwella aliondoka nayo kuirudisha UN-WHO?Mimi nataka kujua kama ilikuwepo ilimalizikaje?
Haikuwepo na Dada Mwele Malechela alisa zipo dalali
 
Thesis ya PhD ya Dr Mwele Malecela ipo hata uki google tu unaipata London School of Hygiene and Tropical Diseases.
ya bwana mkubwa ile ya maganda ya korosho inapatikana wapi dada sky?. nataka kuisoma.
 
Hapa naona watu wameishia kunanga PhD tu..Lakini tumeshindwa kujibu kile alichohoji Mh Rais?je Zika iliishia wapi?Au Dr.Mwella aliondoka nayo kuirudisha UN-WHO?Mimi nataka kujua kama ilikuwepo ilimalizikaje?
Ivi yule Mama alisema kuna zika au kuna vimelea vinavyoweza kusababisha zika? Mfano TB, unaweza ukawa na vimelea vya TB Ila huna TB. simtetei, simtetei kwa sababu angewasiliana na mkuu wake kabla ya kutoa ripoti. All in all pamoja na kosa alilofanya, naamini MUNGU wetu bado yu mwema kwake na ameendelea kumbariki.
 
Dr Malachela si alitudanganya adharani, kwanini Raisi asituambue wananchi ukweli, Tataizo la magifur mkweli ukizungua anakupa makavu ujijue.
 
Mwafrika ata awe PhD bado njaa zina waendesha, wapo dhaifu sana kwa watu weupe
Thesis ya PhD ya Dr Mwele Malecela ipo hata uki google tu unaipata London School of Hygiene and Tropical Diseases.
 
Tatizo mabeberu tukinunua ndege, tukijenga reli, tukijenga barabara kwao sio stori ya maana. Cha maana kwao ni rais kumpongeza rc kwa kuchapa viboko. Unafiki tu.
 
Na prof Ndullu naye kateuliwa na beberu Ramaphosa?Kuutanģazia u.mma magonjwa ya mlipuko inahitaji umakiini kwan inaweza kuleta athar za ķiuchumi hata hvy Rais Magufuli mpk saiz hajajua uķubwa wa nafas yake yey anaropokà. ق نو
 
TOKA ALIPOFUKUZWA MWALE, NI TAASISI GANI ILIFANYA UCHUNGUZI NA MAJIBU YALIPELEKWA WAPI?.

SHERIA YA TAKWIMU ILITUNGWA KWA AJILI YA NINI?

KUFANYA KILA KITU SIRI.
Kulikuwa hakuna kitu cha kuchunguza in the first place. Ugonjwa wa Zika sio wa kuugua kisirisiri. Ni wa wazi. Niambie wewe mwenye taarifa "sahihi" ni Watanzania wangapi wameishaathirika na huo ugonjwa? Nijibu ukizingatia naishi huku ambako Dr. Mwele alifanya utafiti wa huo ugonjwa.
Haya kuhusu Ebola. Hivi kweli unaweza kuuficha na usikuumbue? Toka Serikali imesema hakuna, wachunguzi huru wameonesha "hatari" gani ya huo ugonjwa hapa nchini?

Ushauri wangu, tujenge tabia ya kuwaamini viongozi wetu. Kufikiri watu wa nje ndio wako sahihi kuliko viongozi wetu ni myopic ya hali ya juu. Wairaq waliaminishwa na watu wa nje kuwa Saddam ni mtu mbaya, leo wanajuta. Walibya waliambiwa hakuna mtu katili na anayewauwa Walibya nchini mwao kama Gaddafi. Wakamuuwa. Leo wanachinjana zaidi ya kuku na Gaddafi hayupo!

Tafakari!
 
Heee tuache kuongea mambo yetu kwa Uhuru kisa tutajadiliwa na media za mabeberu? Who cares? Sisi kuongea tuogope ila wao kuingiza majeshi na kuua raia na kupindua serikali za kiafrika kama Libya ruksa?

Waafrika tuna safari ndefu kiukweli ninyi ndio wakina tundu mwishowe mtuletee ushoga kisa beberu kaagiza, mkufilie mbali kabisa na vizazi vyenu visije pata mamlaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…