Dr. Mwele Malecela: Asiyekuumba, kukuumbua hawezi

Ndio maana anaogopa kwenda Marekani na Ulaya
 
Tunakoelekea;
"Alikuwa anapinga sana mazungumzo yangu na Barrick hivyo nikatuma vijana saa 7.00 mchana wamlaze. Wale vijana nadhani hawakuwa professional wakapiga miguuni. Next time hawatakosea"

Note; ukikosa kifua cha kiume kujitunzia mambo yako, utaingia matatani mwenyewe.
 
Ndio maana anaogopa kwenda Marekani na Ulaya
Lazma aogope unadhani kuvaa suti na kwenda kuomba vyandarua na ela kwa wanaume wenzako ni jambo gumu , kuna jamii aijazoea kuombaomba kaa ukiju ilo.
 

"A truth is still a truth even if nobody believes it, and
A lie is still a lie even if everyone believes it"
 
Urais alidondoshewa Kama embe dodo, wenye kufanya "vetting" hawakufanya kazi yao vema kuzuia "msema kila kitu" asiingie Ikulu!!!!!!
 
Mungu ndie kila kitu Mwale. mtumainie yeye tu ILA weledi na ukweli ndio mapenzi ya Mungu.
 
Ila ndiye genious anayejenga nchi
Baada ya miaka 10 ndipo utakapojua kuwa begani kwako kuna mzigo wa madeni usioweza kuutua huku kwenye vibanda vyako vijana wasomi bila ajira, waliogeukia ukibaka!!!
 
Hivi kiongozi kuwa na bifu na mwanamke kiasi cha kurudiarudia kumshutumu kila mara inaweza kuhusiana na kukataliwa mahusiano ?
 
We mdada mkorofi kinyamaa hapo nishaelewa umemaanisha nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Thesis ya PhD ya Dr Mwele Malecela ipo hata uki google tu unaipata London School of Hygiene and Tropical Diseases.
 
Mbona povu jingi mkuu au na wewe ulishaandikaga thesis ya maganda ya koroshow??
Mtakufa na presha za kuumbuka, huyo kahab wenu atatafuta uraia mwingine wenye maslahi ya mabeberu ka alivyofanya gay lis
 
Hebu ajaribu kwenda kumsumbua mzee malecela mzee wa watu alivyojichokea vile halafu athubutu kutuambia tumuombee.
Huyu Amshukuru Mungu kuwa ana passport ya UN vinginevyo asingekuja ondoka wala kanyaga Tz. Na jamaa alivyo na kinyongo lazima atalipiza kwa familia yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…