TANZIA Dr. Sengondo Mvungi afariki Dunia

rest in peace dr jana tumepewa taarifa majambazi yamekamatwa ingawa picha ya waliokamatwa hakuna zaidi ya picha za emmanul nchimbi na kova leo umekufa sooo sad newz kwa wanajamii , kuamini, hii ni kazi ya shetani tuwalilie wale wote waliofanya unyama huu na tuwalaani kwa nguvu zote kwa kutekeleza mipango hii ya kidhalimu dhidi ya mtu mwenye ndoto zake na nchi yake.
 
R.I.P Dr. Mvungi you will be missed; may God rest his soul in eternal peace!
 

Kabla ya kukulaumu natamani kwanza kujua mama yako na baba yako then nilinganishe muunganiko gani wa begu za kijinga zinazoweza kutoa kiumbe asiye kuwa na chembe hata moja ya akili? Pole sana kwa bahati mbaya.
 
haya mambo tulikuwa tukiyashuhudia nchi za jirani..ikiwemo na kwa manyang`au ila sasa yamehamia kwetu..!
 
Usalama hafifu ni chanzo cha watu kufa kabla ya mda wao. Hiki kifo hata sio mapenzi ya Mungu.
 
EebMungu mpe rehema. Tunaiombea Tanzania and her people healing and blessing
 
Do you still have a trust in Kova???? Pole sana kama bado unamuamini mtu huyo. Expect the unexpected as usual!
 

Naona una ujasiri mkubwa wa kujiita kerubi afunikaye. Kabla Lusifa hajawa shetani naye alikuwa kerubi afunikaye
Mmh! Haya bhana.
 
Nilivyoona jana, Waziri wa mambo ya ndani, na naibu wake, na kamanda wa polis Dar es salaam.. Nilihisi jambo baya sana juu ya tukio hili... KWELI SERIKALI HII!! huwezi amini lakini.. Watu wa Mungu wanajua..
 
damu y DR inamlilia Mungu kuwa kama si fulani ningekufanyia mengi mema mola, hivyo hawatabaki salama, watakufa vifo vya aibu mmoja baada ya mwingine hadi wafikiri wamelogwa kumbe ni kivuli cha dr kinaishi
 
R.I.P. Dr Mvungi. Na pole zetu ziwaendee wanafamilia na wapenzi wote wa mabadiliko.
Jicho la tatu: isijeikawa ni "wahamiaji haramu" wa JK ndio wanafanya ujambazi huu.
 
Pumzika Mwanasheria Dr. Sengondo Mvungi, tumeambiwa waliyofanya haya wameshikwa na Polisi, nini kiliwasukuma hatujui labda tutaelezwa na Kova, Haki Itatendeka, kama siyo hapa basi kwa Mungu. RIP Dr. Mvungi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…