HUGO CHAVES
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 2,045
- 549
rest in peace dr jana tumepewa taarifa majambazi yamekamatwa ingawa picha ya waliokamatwa hakuna zaidi ya picha za emmanul nchimbi na kova leo umekufa sooo sad newz kwa wanajamii , kuamini, hii ni kazi ya shetani tuwalilie wale wote waliofanya unyama huu na tuwalaani kwa nguvu zote kwa kutekeleza mipango hii ya kidhalimu dhidi ya mtu mwenye ndoto zake na nchi yake.