Kwa nn hutaki kuutambua msiba mkubwa kama huu. Walioshiriki mauaji wamekamatwa na wao ndo watakao elezea sababu za kuua. Sasa nyinyi majajibush inamaana mmbnataka kuanza kuharibu ushahidi ama nn sasa badala ya kuwafariji wafiwa mnaona mmepata dili la siasa. Mnajua siasa mnamachungu kumshinda Ali Songea, Mkwawa, Mirambo, Kinjakitile. Kula kulala acheni upumbavu wenu wajinga wa mwanzo na mwisho. Matusi yakijinga, manapita barabara za lami njooni mlime kijijini tuwajuwe napenda mabadiliko, mpate vumbi na matope ndiko chukula kinapotoka. Mmekaa mjini matusi matusi asubuh hadi jioni hamna kazi za kufanya kwa kuogopa jembe,