Draw ya Klabu Bingwa Afrika: Yanga yapangiwa kucheza na Zalan ya South Sudan; Simba kucheza na Nyasa Big Bullets ya Malawi

Draw ya Klabu Bingwa Afrika: Yanga yapangiwa kucheza na Zalan ya South Sudan; Simba kucheza na Nyasa Big Bullets ya Malawi

🚨CAF

Zalan of South Sudan Vs Yanga sc of Tanzania.

Mshindi atacheza na St George ama Al Ahli Tripoli ya Libya.

Yanga sc mabingwa wa nchi wataanzia ugenini.

#TotalEnergiesCAFCL #TotalEnergiesCAFCC
Mwaka wetu huu! Tukichanga karata zetu vizuri, tunafika nusu fainali.
 
Kwa uzoefu wa Simba wa miaka minne mfululizo kwenye klabu bingwa Afrika, hakuna timu inatamani kukutana na Simba, na Simba haigopi kukutana na timu yoyote ile.

Kwanini?
Simba ilishadhamiria kuchukua ubingwa wa Afrika (kwa kuwa ina uwezo huo), hivyo iko tayari kukabiliana na timu yoyote.
Simba hii iliyopigwa 3 - 0 na Makirikiri?? [emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa uzoefu wa Simba wa miaka minne mfululizo kwenye klabu bingwa Afrika, hakuna timu inatamani kukutana na Simba, na Simba haigopi kukutana na timu yoyote ile.

Kwanini?
Simba ilishadhamiria kuchukua ubingwa wa Afrika (kwa kuwa ina uwezo huo), hivyo iko tayari kukabiliana na timu yoyote.
Ubingwa? be serious kidogo
 
Wasiwasi wangu sio raundi hii bali hao wanaofuata

St george, al ahly tripol

Hao walibya wamezoea sana makundi na robo fainali


Red arrows sio tatizo sana tatizo ni hawa de agosto, nao ni wazoefu wa makundi

Hata hivyo, kuupata ukubwa lazima ushindane na umshinde mkubwa, timu zetu sasa tuziandae kikamilifu
 
Wasiwasi wangu sio raundi hii bali hao wanaofuata

St george, al ahly tripol

Hao walibya wamezoea sana makundi na robo fainali


Red arrows sio tatizo sana tatizo ni hawa de agosto, nao ni wazoefu wa makundi

Hata hivyo, kuupata ukubwa lazima ushindane na umshinde mkubwa, timu zetu sasa tuziandae kikamilifu
Siyo Al Ahly tena wamebadilisha ni Al Hilal ya sudan
 
Back
Top Bottom