Wananchi waliandamana sana tu,Catholic lilitoa msimamo wake kumuunga mkono huyo jamaa aliyechakachuliwa lkn walikosa uungwaji mkono wa Jumuiya yoyote ya kimataifa kama vile SADC/AU/Nchi jirani so ikabidi wawe wapole tu na Tshisekedi akaendelea kula maisha bila tabu.Inakuwaje anachakachuliwa alafu anakuwa mpole ?
huyu si anaungwa mkono na Roman Catholic na ambao ni wengi DRC?
Wananchi waliandamana sana tu,Catholic lilitoa msimamo wake kumuunga mkono huyo jamaa aliyechakachuliwa lkn walikosa uungwaji mkono wa Jumuiya yoyote ya kimataifa kama vile SADC/AU/Nchi jirani so ikabidi wawe wapole tu na Tshisekedi akaendelea kula maisha bila tabu.
Na sasa baada ya Magufuli kuondoka, Rufiji itakamilishwa?Hilo la ethiopia ni dogo sana kwa Inga, mkuu pitia Google ukasome huo mradi wa Inga, tatizo tu baada ya Mobutu kuondoka haukuendelezwa wala kukarabatiwa, miradi mingi ya umeme ya Mobutu imetelekezwa sasa wananchi wanakosa umeme.
Mzee ovyo sna yuleHapa ndio utagundua kwamba Sospiere Mukweli aliongea upumbavu
Ikiwezekana aende bungeni akaombe radhi kwa ule upupu aliotapika bungeniMzee ovyo sna yule
Kabisaa maana ni aibu kwa prof mzima kama yeye kuongea utumbo kama ule.Ikiwezekana aende bungeni akaombe radhi kwa ule upupu aliotapika bungeni
kusema ukweli, kwa experience yangu kwa hapa Tanzania siasa zetu zilivo ni kwamba hao unauwaona wanaupinga wametumwa ku beep huenda kuna agenda ya kuutelekezaNa sasa baada ya Magufuli kuondoka, Rufiji itakamilishwa?
Ukiangalia hii clip ndio utajua bwana Mukweli hamna kitu kichwanikusema ukweli, kwa experience yangu kwa hapa Tanzania siasa zetu zilivo ni kwamba hao unauwaona wanaupinga wametumwa ku beep huenda kuna agenda ya kuutelekeza
hivyo basi nina wasi wasi kama utakamilika kwa wakati
nitaipitia mkuu, lakini nasikia pia bwana mukweli ndiye alimshauri mkwere ile bandali ya Bagamoyo, alipoingia Meko pia akashauriwa na bwana Mukweli kwamba ile bandari haina maana na mradi wa Rufiji ni bora zaidi ya Gas, Sasa samia tena kaingia, kina bwana mukweli wanapinga mradi wa Rufiji na kui favor GasUkiangalia hii clip ndio utajua bwana Mukweli hamna kitu kichwani
😂😂😂😂, bado aiseeProf. Wetu wa kutoka mkoa wa Mara kule haja comment chochote kuhusu ili la inga dam
Mhongo kamkana Jiwe live kwenye mradi wa RufijiHongera kwake, maana hiyo 1 na 2 ndio engine ya uchumi wa Kongo hadi leo hii, huwa nawashangaa sana wanaokejeli miradi ya ufuaji umeme wa maji, nawashangaa sana!
Zile hazikuwa akili zake nahisi, upumbavu na unafiki mtupu uleMhongo kamkana Jiwe live kwenye mradi wa Rufiji
Balozi wetu anae tuwakilisha pale DRC kuna siku alihojiwa TBC aliusemea huu mradi akasema ukikamilika bac DRC wana weza ku supply umeme bara zima la Africa.😂😂😂😂, bado aisee
Kuna watu huko bungeni wanaongea kama wamekatwa vichwa juu ya mradi wa RufijiBalozi wetu anae tuwakilisha pale DRC kuna siku alihojiwa TBC aliusemea huu mradi akasema ukikamilika bac DRC wana weza ku supply umeme bara zima la Africa.
DaaaahMmmmhhhh
40,000MW?
Hii kama si nadharia, Itakua baba lao.
Three Gorges Dam itasubirii...
Sijajua watatega maporomoko ya wapi kuzalisha huo mzigo,
Hapo lazima evacuation kubwa ifanyikee
😁😁😁😁Mukweli
Nilishangaa sana kipindi cha mobutu Congo DRC ilipaa hadi kuwa no. 2 afrika yaani ukiitoa south Africa ilifuata Congo kwa GDP from there nilijua Congo si wa mchezomchezo.Sikujua kama DRC ni matajiri kiasi hiki, wanadai DRC ina utajiri wa USD trillion 2,000 katika mfumo wa rasilimali umefukiwa chini ya ardhi, huo utajiri hata hauwezi kuandikika katika pesa ya madafu. Jionee mwenyewe kwenye video clip hapo chini.
Nasikia waEthiopia wanakamilisha bwa kubwa kabisa la umeme kuliko yote Afrika , wanata ‘The GRAND RENNAISSANCE DAM’, yaani bado kidogo tu tungebaki sisi ndio tunashangaa shangaa tusijue tunaelekea wapi, bora tulistuka mapema
Ni hawa akina Kagame na mabeberu ndio wanaiyumbisha DRC, otherwise hawa jamaa ni matajiri balaaaaNilishangaa sana kipindi cha mobutu Congo DRC ilipaa hadi kuwa no. 2 afrika yaani ukiitoa south Africa ilifuata Congo kwa GDP from there nilijua Congo si wa mchezomchezo.