DRC: Wanajeshi walinda amani wa Tanzania wajeruhiwa katika mapigano na M23

Poleni sana ndugu zetu Kwa UZALENDO mnaouonyesha kwetu na Africa nzima. Mungu awabariki na awaponye mrudie Hal zenu. Amen
 

Warudi Home Chap Idadi Yao Ni Kubwa Wapo 800

 
nani kawaambia mnatakiwa huko kama si kimbere mbere chenu? wenyeji wa huko wenyewe hawawataki huko, sibirini muanze kurejeshwa mkiwa kwenye ma jeneza……….
Lazima utakuwa umezaliwa JK akiwa madarakani. Uzalendo Bado unatakiwa ufundishwe Kwa vijana. Pole kwako.
 
issue sio kurudi home, sababu Leo no kwao Congo kesho kwetu, hao ni jirani zetu ,tusipokomesha hivi vitendo hao jamaa watazoea ni kudeal nao tu kama Panya road
 
Yapange majeshi ya EAC kutokana na nguvu zao kijeshi, kulingana na unavyofikiria tu (sitaki nikuombe ushahidi)
Kwani EA Kuna majeshi mkuu?Nachekaga sana nikiona nchi kama Uganda eti ndio inaongoza kwa Nguvu za kijeshi(kwa upande wa anga) kisa Ina ndege 6 zile Sukhoi SU-Mk30.Yaani ndege 6 tu,hahahah.Nikawa nacheki nchi Kama Ukraine mpk Sasa zimepigwa ndege zake zaidi ya 100,bado ma drones,maelfu ya vifaru etc .Sijajaribu kuzilinganisha nchi za EA vs Ukraine

Conclusion yangu Ni Kwamba hizi nchi za Kiafrica Zina mizaha hapa toa nchi Kama Tunisia,Algeria,South Africa,Misri hizi nchi nyingine zilizobaki zingepeleka Nguvu zao kwny kulima na kuondoa umaskini tu lkn Kati Yao wote wanafanana fanana kiuwezo tu.Nothing to Bragg about
 
Tunalinda amani. Hatuwezi kukaa tu hapa alafu mtaa wa pili kuna wahuni wanaua na kubaka waafrika wenzetu kwa maslahi ya mabwana zao wa huko ulaya, hatuwezi kamwe!
Hivi huko Congo kwanini miaka yote mnapasuliwa nyie tu(wanajeshi) wakati mapolisi wa nchi nyingi nao wapo?
 
Huu mgogoro wazungu wanafaidika nao sanaa...!!
 
Sio rahisi, Rwanda wana intelligence madhubuti na iliyoenea sana East Africa. Kuingia kwenye vita ya moja kwa moja na Rwanda na kutarajia kuwapiga kirahisi ni kujidanganya. Usiongopewe na udogo wa eneo lao.
Dah,kwamba Rwanda wanaweza kutuchapa??[emoji1][emoji1]

Basi tutakuwa kubwa jinga.

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Ndiyo mawazo ya CDM na wafuasi wake hayo?

Ndo maana nasema ni wachanga mno Bado kupewa Nchi.
Samia kafanya nini ambacho CHADEMA hawawezi? Kwamba Samia ana vigezo kuliko wanasiasa wote upinzani? Get serious.
 
hakuna kikundi kisicho na ufadhili au wafadhili.iwe wa wazi au wakificho,tatizo m23 wanataka kuangusha serikali? Kigali hapana, kinshansa ? hahahaha,hy ni ndoto na wala si lengo lao.
Lengo lao ni lipi Sasa?..je ni kupata tu 'attention' kutoka kwa viongozi wa Kinshasa kwamba bado wapo ?...

Au ni mkono wa nchi jirani tu (Rwanda) kuwakumbusha watawala wa Drc kwamba bado wana ushawishi huko mashariki ? ,hivyo maslahi yao yazingatiwe ?
zitto junior
Richard
 
"There are no facts, only interpretations " Nietzsche.
 
Sasa kama mnajua tatizo ni Kagame yanini Kupeleka Vijana wetu Congo na kuishia Kuuawa na M23 ?
Si Bora tungeingia Kigali Straightway, yaani shina la tatizo twalijua halafu bado twahangaika na Matawi ?
Unless Kuna Mengi huyafahamu ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…