DRC: Wanajeshi walinda amani wa Tanzania wajeruhiwa katika mapigano na M23

DRC: Wanajeshi walinda amani wa Tanzania wajeruhiwa katika mapigano na M23

Lengo lao ni lipi Sasa?..je ni kupata tu 'attention' kutoka kwa viongozi wa Kinshasa kwamba bado wapo ?...

Au ni mkono wa nchi jirani tu (Rwanda) kuwakumbusha watawala wa Drc kwamba bado wana ushawishi huko mashariki ? ,hivyo maslahi yao yazingatiwe ?
zitto junior
Richard
hahahahaha,cjui nisemaje, lakini M23 wako kulinda au kuzuia FDLR, wasiwe na nguvu,na wasifikie malengo yao ya kuangusha utawala wa kigali .

FDLR wanalengo la kurudi rwanda km nyumbani.na pia kuondoa utawala wa kigali

Kigali inachofanya ni kuonesha kwamba drc wamewahifadi maadui zangu.,hawezi peleka RDF ktkardhi ya congo. Ndo wakatengeneza ghost army wakatibue mipango yao. Mengine yanaendelea ni mengi huko
 
Mnamkuza tu huyo kagame wenu, Kipindi cha JK mbona alichapika vizuri mno, na sisi kupeleka wnajeshi kongo ilikuwa ni strategy, tungempiga kutokea kongo na tz, tungewazingira
Yani yule tukiamua kumpiga, tunampiga kutokea Burundi, Uganda (hawapatani na M7), Congo...na kutokea Bongo. Yan tunamzingira. Mbona watapoteana
 
Ndio tatizo letu watanzania, kuendekeza ushabiki wa simba yanga, Chadema na CCM hata kwenye ishu nyeti. Ukubwa wa nchi hauna impact kwenye ubora wa kivita. Israel ni taifa dogo sana, angalia anavyosumbua mataifa makubwa ya kiarabu duniani. Angalia Israel inaingia mara ngapi kwa Iran, angalia population yao na iran.

Vita sio ukubwa wa nchi, vita ni mbinu za kimedani, ubora wa silaha, ari ya wanajeshi na intelejensia imara. Ikiwa jeshi lako, lipo wazi kila mtu anajua una nini, mpo wangapi na wapi, basi kukupiga ni jambo la kawaida tu.

Nasisitiza, sio rahisi kuwapiga Rwanda kwa kukurupuka mnaweza kuunguzwa na moto msioujua umetoka wapi.
Unataka kuja kudanganya watu hapa Israel anaweza kumpiga Iran... Thubutuuu. Iran aliwatumia Hizbollah tu mwaka 2006, mbona Israel alicharazwa akaomba poo!
 
hahahahaha,cjui nisemaje, lakini M23 wako kulinda au kuzuia FDLR, wasiwe na nguvu,na wasifikie malengo yao ya kuangusha utawala wa kigali .

FDLR wanalengo la kurudi rwanda km nyumbani.na pia kuondoa utawala wa kigali

Kigali inachofanya ni kuonesha kwamba drc wamewahifadi maadui zangu.,hawezi peleka RDF ktkardhi ya congo. Ndo wakatengeneza ghost army wakatibue mipango yao. Mengine yanaendelea ni mengi huko
Nimekuelewa boss...

Hivi unaamini kweli Fdlr wana nguvu yeyote ya kuangusha utawala wa Kagame ?....nadhani wanatumika tu kama sababu ya Kigali kupata uhalali wa kuendeleza ushawishi huko Kivu, (nadhani uwepo wao huko misituni ni muhimu kimkakati).
zitto junior wa kupuliza Richard
 
Hebu tupeane taarifa Kenya imeshawahi kupigana Vita na jeshi la nchi ipi ukiachana na kukimbizana na wale Al-shabab?

Tangu niwaone KDF wakiiba chocolate kwny Ile Westgate Mall,baadae wakaenda Somalia wakaanza kuiba mkaa na kuuza [emoji1][emoji1] hua nawacheki tu nasema Hiiiiiiiiiiiiiiiii
Ila wewe mkuu unaketa utani wa ngumi sasa
Eti waliiba chocolate[emoji23]
 
Kuna siku niliota JPM akiwavisha sijui nini wanajeshi wa kagame kuuule, baadae nikastuka na kujisemea hii ndoto si nzuri kwangu, halafu nikajiuliza hayo yote NI kumkomoa JK? Kwa hili liliitokea hayati angekuwepo angejua hajui, ila kwa vile ilikuwa ni ndoto nikatema mate kushoto mara tatu nikageukia upande wa pili kuendelea na usingizi wangu
 
Sioni fact yoyote uliyoongea hapa, hizo story za Rwanda kuwa na intelejensia kali ndani ya Tz ni hoja unayoweza kuithibitisha au ni story za kusikia?

Kama ni hoja usiyoweza kuithibitisha basi na mimi ninao uwezo kwa kusema kwamba Tz ina intelejensia kali ndani ya Rwanda, na unapaswa usinibishie.

Rwanda hawezi kufanya lolote kwa Tz unless uwe ni Mnyarwanda unaeishi ndani ya Tz na umeamua kuleta ushabiki tu[emoji1].

Kwa hapa EAC jeshi la kuipa presha Tz labda ni lile la Kenya.
Kenya hawa walioshindwa westgate?

Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
 
Yani yule tukiamua kumpiga, tunampiga kutokea Burundi, Uganda (hawapatani na M7), Congo...na kutokea Bongo. Yan tunamzingira. Mbona watapoteana
M7 hapatani na kagame kutoka lini mkuu?

Wakati mtoto wa kagame daily anaenda kufundishwa udikteta na Pk
 
Vita ni experience na strategy hivi kuna Jenerali bongo ana track record ya James Kabarebe? Kenya Wana vifaa ila hawana strategy otherwise wasingekuwa weak hivyo.
Mzee unachekesha sana, sana yaani dah [emoji23]

Ila nakwambia sema tu JWTZ hawana issue za kujipambanua au details hazitoki mara nyingi kwa public, ila ni upuuzi kulifananisha jeshi la PK na JW, unachekesha sana aisee
 
Ila wewe mkuu unaketa utani wa ngumi sasa
Eti waliiba chocolate[emoji23]
😄😄 Niko serious kabisa mkuu,CCTV camera ziliwanasa wakiiba na hizo video Zilikua hata kule YouTube mkuu.
 
Mzee unachekesha sana, sana yaani dah [emoji23]

Ila nakwambia sema tu JWTZ hawana issue za kujipambanua au details hazitoki mara nyingi kwa public, ila ni upuuzi kulifananisha jeshi la PK na JW, unachekesha sana aisee
Tatizo lenu mnakuwa too theoretical, hata nikikuiliza utoe ushahidi wa kwanini JWTZ ni bora kuliko RDF najua hauna. Mimi naongelea RDF sababu ya milestones zake, kuanzia campaign za kule Uganda, hadi kuiteka Rwanda mpaka kuivamia DRC mpaka kujipenyeza Angola na Jamhuri ya Afrika ya Kati hizo sio milestone ndogo tena ndani ya mwaka mmoja tu toka watoke kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe. Recently tu wamezima magaidi wa Mozambique!!

Na ambacho hufahamu nchi inayoongoza kuwa na majeshi kwenye foreign land na peacekeeping mission ni Rwanda. Licha ya udogo wa jeshi imeweza kusambaa nchi nyingi sana mpaka Leo so tusidharau sababu hatuna taarifa za kutosha.

Sasa kwa faida ya mjadala na wewe njoo na counter arguments for JWTZ maybe mission za Seychelles, Darfur n.k ila sio kuita wengine wanachekesha huku hauna milestone hata moja ya kushare hapa.
 
Mkuu kwenye takwimu huwa tunafanya estimations kupitia previous data. Mfano kama Rwanda alipambana na hizo nchi tajwa ilihali katoka kwenye civil war na umaskini mzito Ndio tuna estimate miaka 20 baadae atakua na nguvu mara dufu ya pale irrespective ya hizo nchi zingine zilivyojipanga.

Uchumi sio issue maana wakati wa vita walipora sana Mbao na madini ku fund vita na hapo lazima watasaka support ya kifedha kutoka Kwa washirika wake n.k so it can be sorted.

Tanzania inaweza kuwa vizuri mara 100 ila hoja ni kwamba Rwanda sio wadhaifu that's all I'm saying.
Rwanda siyo strong kama unavyotaka kutudanganya hapa period! Uzuri wake nieishi kiaka kumi Rwanda najua mambo mengi tu na weakness zake nazijua, kwahiyo hebu tuache kudanganyana hapa. Rwanda ni time bomb!
 
Rwanda siyo strong kama unavyotaka kutudanganya hapa period! Uzuri wake nieishi kiaka kumi Rwanda najua mambo mengi tu na weakness zake nazijua, kwahiyo hebu tuache kudanganyana hapa. Rwanda ni time bomb!
Porojo tu sioni facts ulizileta, kuishi uraiani ndio kujua uwezo wa kijeshi?? Ongelea missions za Manqueal De Zombo huko Angola ama Kisangani II n.k ndio utaelewa uwezo wa kijeshi wa Rwanda, sio silaha au ukubwa wa Jeshi ndio Una determine ushindi.
 
M7 hapatani na kagame kutoka lini mkuu?

Wakati mtoto wa kagame daily anaenda kufundishwa udikteta na Pk
Juzi tu mwaka juzi majeshi ya Uganda na Rwanda yalipigana Congo. Mpaka wakafungiana mpaka. Labda kama hufuatilii. Hizo unaongea ni story za zamani
 
Juzi tu mwaka juzi majeshi ya Uganda na Rwanda yalipigana Congo. Mpaka wakafungiana mpaka. Labda kama hufuatilii. Hizo unaongea ni story za zamani
Mara ya mwisho majeshi ya Rwanda na Uganda kupigana wakiwa Congo ilikua Ni eneo la Kisangani mwaka 2002.
 
Juzi tu mwaka juzi majeshi ya Uganda na Rwanda yalipigana Congo. Mpaka wakafungiana mpaka. Labda kama hufuatilii. Hizo unaongea ni story za zamani
Mwaka huu hio.
IMG_20220610_182725.jpg
IMG_20220610_182813.jpg
Screenshot_20220610-182853.jpg
 
Back
Top Bottom