let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,699
- 8,857
Acha utaniAzana imepigwa marufuku Saudi Arabia wewe
Balloon ya chini waliishusha kwa kutumia nini?ka drone kalivyo kadogo kanashambuliwa kwa ndege ya vita
Ni kijiwe cha kupiga porojo. Hakuna tunachogain zaidi ya porojo na ubishani siku zipite. Mada wametupa wazungu wenyewe.Ni kweli, mambo ya kivita siyajui. Hata huu uzi wa Russia na Ukraine nimejichanganya tu nikajikuta nimecomment, ila wala si mpenzi au mshabiki wa Russia au Marekani kama mlivyo. Kwa upande mwingine hata mimi huwa nawashangaa mnachobishaniaga, ingawa huwa naepuka kuwaita wajinga kwa kuhofia kwamba huenda kweli kuna mambo mnagain kutokana na ligi hii
😄😄 Niko mkuu,nilijaribu kufuata Yale maneno ya motivational speakers eti 'take social media break' Ila nimegundua kwa Mimi mswahili Hayo mambo Ni magumu kwangu 😄,am back bro.mzee upo ? umepoa sana, uko kwa house arrest au ?
Kalikua ka-baloon kadogo tu mkuu,Ni vile mtoto wa kichina alikua anachezea balloon yake huko China ikawa imechukuliwa na upepo Hadi kwny anga la US.Tupeane maarifa, lilikuwa na ukubwa gani hilo baloon. Nisije nikasema ka baloon kadogo wenye ligi yao wakanishukia kama mwewe wa jangwani
Drone inayoongelewa hapa sio zile za kurekodi video na kupiga picha, ni drone yenye ukubwa kuliko ISTka drone kalivyo kadogo kanashambuliwa kwa ndege ya vita
Hakuna unachojifunza?Ni kweli, mambo ya kivita siyajui. Hata huu uzi wa Russia na Ukraine nimejichanganya tu nikajikuta nimecomment, ila wala si mpenzi au mshabiki wa Russia au Marekani kama mlivyo. Kwa upande mwingine hata mimi huwa nawashangaa mnachobishaniaga, ingawa huwa naepuka kuwaita wajinga kwa kuhofia kwamba huenda kweli kuna mambo mnagain kutokana na ligi hii
NI MAFUTA YA UPAKO WALIKUJA KUNUNUA HAPA KWA MWAMPOSAKwakweli hii ni aibu kwa marekani wanaojiona Superpower kumbe ni Superpower ya mchongo tu na propaganda...
.Tutaona mengi Mwaka huu na hakika hatutasita kuwaadithia wajukuu wetu.
Maana hii Sasa sio Vita baridi bali Vita kamili.
USA 🇺🇸 ni super powerlessKwakweli hii ni aibu kwa marekani wanaojiona Superpower kumbe ni Superpower ya mchongo tu na propaganda...
Una habari ni mwaka wa pili sasa Urusi haijaipiga Ukraine? Superpower Russia inahenyeshwa na Comedian Zelensky?Kwakweli hii ni aibu kwa marekani wanaojiona Superpower kumbe ni Superpower ya mchongo tu na propaganda...