Drone ya Marekani yaaangushwa na ndege vita ya Urusi huko Bahari Nyeusi

WANAPELEKA KWA MUKANDARASI.
 
Kichaa anapoupamba ukichaa wa kichaa mwenzie.
 
Ni mfuasi tuu wa "upinde" ndio anaweza kuamini upuuzi huo.
Hao wafuga ndevu wa Somalia walimkalisha huyo shoga mkuu hadiakakimbia.
 
Putin anatambia tule tukombola twake twa masafa marefu.

Ukraine tu imemshinda mwaka sasa anasota vita haiishi..anaanza kuchokoza wababe wa vita.
 
Ngoja wameza taka taka wa habari kama hizi waamke.

Ndege Urusi IMEGONGA Drone ya US ila habari ilivyoletwa ni kana kwamba kulikuwa na makabilino kati ya ndege Urusi na Drone.

Zombies on the beat
Ishu sio makabiliano baina ya ndege na droni.
Ishu ni kwamba Warusi hawakutaka kuiruhusu iingie kama ilivyongia eneo hilo na kuweza kutoka.
Kwa maana ingetoka,ingetoka na habari nyingi muhimu.

Kama ingeweza kutoka nadhani Dunia nzima Ingekua ndio habari.
 
Ha ha haa sentensi ya mwisho imenichekesha mazee.
 
Lazima na wewe una ligi unazobishaniaga, sasa sijui huwa unagain nini?
Mimi ligi zangu zipo kwenye soka na michezo kwa ujumla ikiwemo betting. Ikitokea nina imani na performance fulani, naweka mzigo, yaani nabet hela kabisa ili either nifaidike na imani yangu au nipigwe, na mojawapo huwa linatokea
 
Kwanini usisime ndio ibuko lake🤔
 

When a US Spy Plane Was Shot Down Over the USSR​

In 1960, one of the most notorious chapters in the Cold War began after American U-2 pilot Francis Gary Powers was shot down and captured during a spying mission over the Soviet Union.

1 May 1960, a United States U-2 spy plane was shot down by the Soviet Air Defence Forces while conducting photographic aerial reconnaissance deep inside Soviet territory. The single-seat aircraft, flown by American pilot Francis Gary Powers, had taken off from Peshawar, Pakistan, and crashed near Sverdlovsk (present-day Yekaterinburg), after being hit by an S-75 Dvina (SA-2 Guideline) surface-to-air missile. Powers parachuted to the ground safely and was captured.



In Cuban missile crisis

On October 27, 1962, U-2 pilot Rudolf Anderson Jr. was shot down during the Cuban Missile Crisis.
Shortly after Anderson entered Cuban air space, his unarmed, high-altitude U-2 spy plane appeared as a blip on Soviet radar. As the Soviet military tracked the intruding aircraft,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…