GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Tucheze tu kupata Uzoefu na Kujifunza mengi kutoka Kwao waliotuzidi karibia kila Kitu na kamwe tusianze kupeana Moyo Kipumbavu, kutoleana mfano wa kuitoa Zamalek FC 2003 Kwao na kuanza Kuaminishana na Vispika vyetu Mitaani kuwa tukaujaze Uwanja sijui Mwarabu anakufa.
Kudadadeki Mwarabu hafi Dar wala Casablanca. Ifike muda tuwe Wakweli na Watu wa Uhalisia na tuache Unafiki kuwa tuna Ubavu wa Kucheza hadi Kushindana na Timu ambayo Gharama tu ya Mchezaji wake Mmoja ni sawa na Bajeti yetu Mo Dewji Wapeana Moyo FC kwa mwaka mzima.
Ukiununia huu Uzi wangu GENTAMYCINE nakushauri chagua moja wapo kati ya Kunywa Sumu ya Panya ufe kabisa au mtafute upesi Daktari Mkaguzi aliyemkagua Afande Rama wa Zanzibar na kukuta Uwazi ( Njia iko wazi Kitambo hicho ) ili akukague nawe sawa?
Imeisha hiyo.......!!!!!!
Kudadadeki Mwarabu hafi Dar wala Casablanca. Ifike muda tuwe Wakweli na Watu wa Uhalisia na tuache Unafiki kuwa tuna Ubavu wa Kucheza hadi Kushindana na Timu ambayo Gharama tu ya Mchezaji wake Mmoja ni sawa na Bajeti yetu Mo Dewji Wapeana Moyo FC kwa mwaka mzima.
Ukiununia huu Uzi wangu GENTAMYCINE nakushauri chagua moja wapo kati ya Kunywa Sumu ya Panya ufe kabisa au mtafute upesi Daktari Mkaguzi aliyemkagua Afande Rama wa Zanzibar na kukuta Uwazi ( Njia iko wazi Kitambo hicho ) ili akukague nawe sawa?
Imeisha hiyo.......!!!!!!