Dodoma leo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,336
- 1,658
Umepewa ulichoomba! Lkn wewe ni mwanayanga kweli??Nikiwa kama mwana Yanga kindaki ndaki naomba tupangwe na Club Africain tuonyeshe ubabe wetu AFRICA.
Ukiachana na hiyo naskia kulikuwa na mashuti 9 yaliyogonga mwamba
Slogan ya sasa iweMwaka wa tabu huu! Kuanzia tena nyumbani, siyi jambo jepesi hata kidogo kwa wananchi.
Wekeni hapa record yao kwenye soka la Africa tuache mbambamba, Sasa Kipanga na Zalan wana tofauti gani?Ukiachana na hiyo naskia kulikuwa na mashuti 9 yaliyogonga mwamba
We unaisema mechi ya mwisho ambayo Kipanga alikuwa away, hapo ilikuwa ni Kipanga akiwa ZenjiMhhh mbona nilioga aggr kama 7 kwa sufuri au ni nini kile?
Hio timu unaifagilia sana ni ya kawaida tu ilipotea muda mrefu kwenye mashindano ya kimataifa ndo imerudi hivo kama Yanga itaweka mikakati mizuri inawezekanaAchana na Kipanga, yapo vizuri. Ni kama kina Berkane na Pyramid tu. Hawapati nafasi champions kwa sababu ya matimu makubwa yanaingia 2
I thought u always too smart for this. Lakini nimegundua Kolo ni kolo tu siku zoteeHuu ussenge sasa. Yani Barbara anafanya fitina tupangiwe na waarabu Club African ili tutolewe mapema?
Tusikubali huu uonevu wana yanga, tusikubali.
Kilichobaki ni wewe kuingiza timu yako kwenye maombi idadi ya goli ipungueWekeni hapa record yao kwenye soka la Africa tuache mbambamba, Sasa Kipanga na Zalan wana tofauti gani?
Timu za Zanzibar zipambane kwanza kuchukuwa kombe la mapinduzi ndio uwalete huku, kumbe la mapinduzi tu linawashinda.
Fact ya kwanza ya kuzingatia kabla hujaangalia rekodi unatakiwa ujue timu ambayo ni mbovu ndio huanzia nyumbaniWekeni hapa record yao kwenye soka la Africa tuache mbambamba, Sasa Kipanga na Zalan wana tofauti gani?
Timu za Zanzibar zipambane kwanza kuchukuwa kombe la mapinduzi ndio uwalete huku, kumbe la mapinduzi tu linawashinda.
Kwa hiyo imerudi kama ilivyokuwa? November sio mbaliHio timu unaifagilia sana ni ya kawaida tu ilipotea muda mrefu kwenye mashindano ya kimataifa ndo imerudi hivo kama Yanga itaweka mikakati mizuri inawezekana
Mkuu ww ni Yanga!!???
Wakuu droo inafanyika leo kuanzia saa 8 mchana. Kupitia Azam HD tutajua ndugu zetu Utopolo watapangiwa na nani.
POTS for CAF Confederation Cup PLAY-OFF ROUND!
POT 1
๐จ๐ฉ TP Mazembe
๐จ๐ฎ ASEC Mimosas
๐ฒ๐ฑ Djoliba
๐ฑ๐พ Ahli Tripoli
๐ฆ๐ด Primeiro de Agosto
๐ธ๐ฟ Royal Leopards
๐ง๐ซ Kadiogo / ๐จ๐ฉ Vita Club
POT 2
๐จ๐ฎ Gagnoa
๐ฒ๐ฑ AS Real
๐ฑ๐พ Al Akhdar
๐ฟ๐ฆ Royal AM
๐จ๐ฉ Eloi Lupopo
๐ฟ๐ฆ Marumo Gallants
๐ฒ๐ฆ AS FAR
๐ช๐ฌ Future FC
๐จ๐ฌ Diables Noirs
POT 3
๐ณ๐ฌ Rivers United
๐ณ๐ฌ Plateau United
๐ณ๐ช Nigelec
๐น๐ณ US Monastir
๐ธ๐จ La Passe
๐น๐ฌ ASKO de Kara
๐ง๐ฎ Flambeau du Centre
๐ฟ๐ฆ Cape Town City
๐น๐ฟ Young Africans
POT 4
๐ฉ๐ฟ USMA
๐ฒ๐ฆ RS Berkane
๐ช๐ฌ Pyramids
๐น๐ณ CS Sfaxien
๐ฑ๐พ El Nasr
๐น๐ณ Club Africain
๐จ๐ฉ DCMP
Droo itafanyika kwa Timu za Pot 1 kwa Pot 2. Pia Pot 3 kwa Pot 4. Timu 2 zitakazobaki itafanyika droo ya zenyewe kwa zenyewe.
Mungu ibariki Yanga ipangiwe kati ya Berkane, USMA, Pyramids, CS Sfaxien na Club Africain. Kisha watujibu kama hili ni kombe la looser au vepe
Updates
Young Africans vs Club Africain
Kifupi wameingia mtumbwi wa vibwengo. Ataanzia hapa kisha ugenini
SawaWe unaisema mechi ya mwisho ambayo Kipanga alikuwa away, hapo ilikuwa ni Kipanga akiwa Zenji
View attachment 2391031
Kuna shida gani ukiweka record yao hapa tujuwe ubora wao? Timu yenyewe ndio tunaisikia leo, Yanga imecheza na miamba ya Misri achana na hivi vitimu vya Wasapu.Kilichobaki ni wewe kuingiza timu yako kwenye maombi idadi ya goli ipungue
Niombe radhi,siwezi kuwa YangaMkuu ww ni Yanga!!???
unatufatilia kila kona!!?