FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
- Thread starter
- #101
Ma shaa Allah tena nasikia cha kwanza wameweka sehemu ya muda ya kusalia ndani ya bandari.Mikataba na hao maharamia hata sitaki kuiskia.
Nnauhakika wakianza rasmi kazi wataweka kitu kama cha DP World jJabel Ali Port👇🏾
Hapo sasa.