Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee...so ule mradi JNHEP umekinukisha hadi Dubai.🤣😂🤣🤣Tulikuwa tunalalamika bure mafuriko Arusha na rufiji.
Unalalamika ilii!!? Hujapoteza hata jeroo...Eti tunalalamika bure 🤣
Kwa hiyo kama Dubai wana mafuriko Tanzania hawatakiwi kulalamika mafuriko sio
Acha uoga, vita ni muhimu sana ili kuleta heshima.Dunia iachane navita hizo za kilasiku....mabomu hayo yanayeyusha kila siku anga.....tutaangamia wote kiutaniutani tu🙄
SawaAcha uoga, vita ni muhimu sana ili kuleta heshima.
wacha wachapane kuwe na Balance of powerDunia iachane navita hizo za kilasiku....mabomu hayo yanayeyusha kila siku anga.....tutaangamia wote kiutaniutani tu🙄
Sawa mkuuwacha wachapane kuwe na Balance of power
😅🤣😃Tujadili mafuriko ya Arusha, Rufiji, maporomoko huko Mbeya na kwingineko nchini kabla ya kuhangaika na hayo ya mabeberu.
Hauwezi kimbilia kuokoa kwa jirani wakati kwako kunateketea.
Nimeona Black BMW inaoga na kunywa vikombe vya kutoshaBuguruni kuna GTX, Buguruni kuna Royce, Buguruni kuna JEEP mzee huoni chuma izo warabu wanazichezea tu kweny matope na hawajali wala nin
Wapigane huko huko wakitugusa Africa wajiandikie wamekwishawacha wachapane kuwe na Balance of power
Unamaanisha maradhi na utapiamlo?Mafuriko huwezi kuzuia ila nini kinatokea baada ya mafuriko hapo ndio utajua tofauti ya Dubai na Rufiji....
Warabu wana jeuri sana ya Pesa akifika home akiona linasumbua anagiza jipya tenaNimeona Black BMW inaoga na kunywa vikombe vya kutosha
Maana zinakunywa tu vikombe hapo Mtoni kwa Aziz AllyWarabu wana jeuri sana ya Pesa akifika home akiona linasumbua anagiza jipya tena
Chadema watalalamika knomaYani kumbe dunia inaweza zama kwa sekunde tu..
🙄🙄🤷
Naliitaga pepo Hilo ni masculine car haswasema awa jamaa wana pesa za kuchezea kuna mpuzi naona ana GTX ilo ila kalitia ivo ivo kwenye maji hawazi wala nin
Naliitaga pepo Hilo ni masculine car haswa Van Disel analiwezea Sana ilo dude ukiwa na kichwa cha panzi linakuwahisha Mbinguni uwahi kuimba mapambio