Dubai wakumbwa na mafuriko baada ya mvua kubwa kunyesha

Dubai wakumbwa na mafuriko baada ya mvua kubwa kunyesha

Eti tunalalamika bure 🤣
Kwa hiyo kama Dubai wana mafuriko Tanzania hawatakiwi kulalamika mafuriko sio
Unalalamika ilii!!? Hujapoteza hata jeroo...
😂🤣😂🤣😂😂
 
Tujadili mafuriko ya Arusha, Rufiji, maporomoko huko Mbeya na kwingineko nchini kabla ya kuhangaika na hayo ya mabeberu.

Hauwezi kimbilia kuokoa kwa jirani wakati kwako kunateketea.
😅🤣😃
 
Back
Top Bottom