Dudu Baya: Kinachofanya Tanzania itulie tofauti na jirani zetu ni kuwa sisi tumenyimwa elimu ya haki zetu. Wenzetu wanayo

Dudu Baya: Kinachofanya Tanzania itulie tofauti na jirani zetu ni kuwa sisi tumenyimwa elimu ya haki zetu. Wenzetu wanayo

Ngumi jiwe, kasema kweli kabisa. Hao ndiyo Watanzania halisi. Maadui zetu sisi ni vijana wanaoishabikia ccm, kwa maslahi yao, ya kutaka uongozi ndani ya chama na bunge. Hawa wanarudisha nyuma, juhudi za kukichomoa hiki chama kongwe Tz.
CCM ni washirikina sn
 
Na kingine ni uoga na ubinafsi, utasikia mtu anasema mimi nife halafu waje kula wengine! Utafikiri kwenye kundi la walaji wa sasa na yeye yumo!
 
Wanawajua sana akina Etugrubey na akina Pasha wa Uturuki 😂😅👍
Ndo ivo mkuu, hizi mambo zinaanzia chini kabisa, sisi enzi zetu ilikua ikifika saa mbili ni taarifa ya habari.
Tulikua hatupendi lakini walau ilikua inafanya tunakua updated na kinachojiri serikalini.
 
Waafrika hasa watanzania wana upumbavu wa milele.
Unadhani ni wapumbavu la hasha bado hatujachoka mateso, usidhani hizo nchi kama somalia, mali, bukinafaso, kongo, burundi wanatuzidi sisi kwa ushupavu. Ila Mateso yetu yanavumilika. Mpaka ifike shingoni kama wamasai wala hakuna atakaye hamasishwa kudai haki yake.
 
Unadhani ni wapumbavu la hasha bado hatujachoka mateso, usidhani hizo nchi kama somalia, mali, bukinafaso, kongo, burundi wanatuzidi sisi kwa ushupavu. Ila Mateso yetu yanavumilika. Mpaka ifike shingoni kama wamasai wala hakuna atakaye hamasishwa kudai haki yake.
Point 🙌👍
 
Akizungumza kwenye moja ya blog za mitandaoni msanii huyo mkongwe amesema kuwa inayoitwa amani tuliyonayo Tanzania ni kwa vile tu wananchi wamenyimwa elimu ya haki zao.

Amesema kwa mtanzania akiwasha runinga akaona kipindi kinaongelea mambo ya katiba anahamisha hiyo chanel haraka sana atatafuta mipira au mziki ama tamthilia ila kuongelea mambo yanayohusu mustakabali wa maisha yao wanaona hayawahusu.

Amesema hicho ndo tunatofautiana na jirani zetu kwa wenzetu asilimia kubwa ya raia wanaelewa haki zao hivyo ikitokea zinachezewa hawataki masihara kabisa.
Nakubaliana nae 💯 %, suala hili lili nisukuma kushiriki katika SoC04
 
Unadhani ni wapumbavu la hasha bado hatujachoka mateso, usidhani hizo nchi kama somalia, mali, bukinafaso, kongo, burundi wanatuzidi sisi kwa ushupavu. Ila Mateso yetu yanavumilika. Mpaka ifike shingoni kama wamasai wala hakuna atakaye hamasishwa kudai haki yake.
Nahisi ccm wanajua kula na kipofu
 
Back
Top Bottom