Dah, noma sana. Hiyo "piwa" naona inatokana na "pure".piwa ni gongo isiyo changanywa na maji
yaan gongo og
ukitaka kuelewa madhara ya piwa au Pure njoo huku katesh hasa maeneo ya dirima,waama na changanyikeni.Dah, nima sana. Hiyo "piwa" naona inwtikana na "pure".
Hiyo unaunguza sana viungo mwilini. Ukipiga hiyo tena ukute kula hujala inaenda straight kuunguza viungo.
Kule BUKOBA wanaiitaga NUMBER ONE yaani uki iwasha na kibiriti inawaka yaani Kama petrol.Dah, nima sana. Hiyo "piwa" naona inwtikana na "pure".
Hiyo unaunguza sana viungo mwilini. Ukipiga hiyo tena ukute kula hujala inaenda straight kuunguza viungo.
Hiyo inaua mpaka macho.Kule BUKOBA wanaiitaga NUMBER ONE yaani uki iwasha na kibiriti inawaka yaani Kama petrol.
Ina mchanganyiko wa methanol (Macho kwisha) ujue siyo ethanol pekee yakeHiyo inaua mpaka macho.
Hatari sanaa.Hiyo inaua mpaka macho.
GT lugha uliyotumia ina makali sana.Kama yasemwayo ya ukweli basi jamaa jinga kweli....kila siku yupo youtube kukosoa maisha ya watu wengine.
Ni pure gongo..wakafupisha kuhiita pure, lafudhi ya kichaga tu ndo imezoeleka PiwaWanaita pombe kali jina lingine ni gongo. Inakuwa nyeupe kama konyagi ila ni ya kienyeji.
Duh!Huyo dudu baya mwenyewe anashinda anakunywa makonyagi kila siku,sidhani kama kuna la maana anaweza kumsaidia huyo mlevi nwenzie.
Kweli eti?Akijiitq Dudu Zuri mambo yatamwendea vizuri
Yapo madudu mazuri kama lile la tabora lililo mng'ata YangaDudu ni dudu haliwezi kuwa zuri
Ndio anatafuta maisha hapo kwa kiki angalau andelee kuonekana na show moja mbili hata za katoro huko..!Kama yasemwayo ya ukweli basi jamaa jinga kweli....kila siku yupo youtube kukosoa maisha ya watu wengine.
Dudubaya habebeki alifunguliwa milango yeye anaamini maisha ya vita wasafi pale sera yao ni biashara.Kwani huyu jamaa diamond alishindwa kumnyanyua awe chawa wake
Upo Musoma?Gongo.