kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
Ukiona hivyo ujue Kuna shida Katika utendaji wa idara zingine hujakutana na shida had unataman kufaUle ujinga wa maigizo hatutaki,safi Sana Rais..
Haiwezekani kila mwenye tatizo amtafute Rais.
Sawasawa...Nimekwambia Rais hawezi kushughulikiwa individual problems,sio majukumu ya Rais,ndio maana kawatolea wito wahusika.
Hapo sasa ndiyo pa kufanyia kazi lakini siyo kazi ya Rais wa Nchi yenye watu 60 Milioni kumjibu Mtanzania mmoja mmoja.Kama hizo delegation of power, specialization of labor zingekuwa zinafanya kazi kwa weledi hao watu wasingekuwa wanafika kuanika mabango kwenye hafla na hotuba za raisi
Wacha uwongo wewe, Magufuli kaliza watu wengi kuliko hao wanaolia sasa hivi.Nikweli unalosema ila haijawahi kukutokea ukapitia changamoto,wajanja wanawapiga makofi ya nyani watu wote hadi RC.na Mahakama.....Utaenda wapi? Nchi hii dhulma ni waziwazi, inawezekana nikweli JPM kulikuwa na kasoro hizo,ila Kuna machozi ya watu wengi na hakuna pa kupata haki yao
Raisi ni wa Watanzania wote na sio wanyonge..Rais wa wanyonge kaenda zake
Mama zetu wasingetumiwa kwenda majukwaani kumkatisha Kiongozi akihutubia.,Hii ndio tofauti kati ya kiongozi na mtawala
Harafu kuna mazuzu wanasapoti
Jaribu kuwa na fikra chanya
Angekuwa mama ako ndo anajibiwa ivo na rais ingekupa picha gan?
Duu ni shida ustaarabu niliousema ndio huu badala ya kujibu hoja wao ni matusi eti wanamtetea Magu. Hovyo kabisa huku sio kumtete Magu bali ni kumdhalilisha, tuwe wastaarabu kutatusaidia zaidi ya matusi.Wewe ni mpumbavu sana sijui ata una umri gani.
Kama umenisoma vizuri utakuwa umenielewa. Nchi zote duniani mwananchi usikilizwa. Na ikishindikana unaruhusiwa kumuona mtu wa juu au chombo maalum kinachosikiliza wananchi wenye malalamiko. Kwa Tanzania hatuna huo mfumo. Rais Ana madaraka yote.
Nilishawahi kuandika humu ndani, mfano. Kuna bibi haki ya mtoto wake alicheleweshwa kwa miaka 20 toka mwanae afariki kwa ajali. Yule bibi aliishi mikoani. Alikuwa bibi maskini na aliachiwa familia ya mtoto wake. Bibi alifuatilia haki ya mwanae kwa miaka hiyo bila mafanikio.
Huko wizarani alizungushwa. Alifikisha malalamiko kwa mkuu wa mkoa.
Mkuu huyo alijitahidi kushughulika lkn kwa kuwa yeye awezi mwamuru katibu mkuu wa wizara, mambo bado yalikuwa ni magumu. Katibu wa Wizara alikuwa anakubali atafatilia lakini mama hapati haki yake.
Mpaka hapo Rais alipotembelea mkoa ule, huyu mama alipewa nafasi ya kuonana na rais aeleze tatizo lake. Rais alitoa maagizo, na haki ya huyu mama ikashughulikiwa baada ya mika 20 kupita. Si yeye tu wapo wengi. Hao maDC na ma Rc unaosema kwa muundo wa mfumo wa serikali yetu kuna sehemu wanakwama hawawezi kumaliza kila kitu.
Uko shallowHawezi kuamua mambo magumu.
Vyombo vyenyewe ndo km polisi....aibu tupu!Kuna vyombo husika, Sio kila jambo ni Raisi....Alietangalia alifanya kwa maana yake.
Amewasema wote. POLISI, MAHAKAMA watoe haki kwa raia....Vyombo vyenyewe ndo km polisi....aibu tupu!
==========
Mama mmoja amesikika akimuomba Msheshimiwa Rais, Mama Samia Suluhu Hassani kuwa anaomba atendewe haki, mama huyo amerudia mara 3 kusema anaomba atendewe haki, Lakini Rais Samia alimjibu kuwa hawa hapa wapo umeshatuandikia litanifikia nenda kakae. Rais Samia Aliendelea kusema kuwa ona yanajitokeza hata hapa. Hivyo kusisitiza mahakama zitende haki kwa kuangalia utu wa mtu.
Sijui. Siwezi kuwapangia.Kwahiyo tufenyeje? Na cc tunaompenda tumchukie??
Mh.. unazani kila kitu kinagusa mahakama?.Uko shallow
Naona anauruka vizuri sana mtego wa kuingilia mahakama
Mama zetu wasingetumiwa kwenda majukwaani kumkatisha Kiongozi akihutubia.,
Ni wachache wanatumiwa kwa jinsi ile, Mama akastukia mchezo.
Hata hivyo jambo lake limesikilizwa palepale japo sio jukwaani.
Alipaswa kutoa kauli Kama kiongozi na sio majibu ya kitawala vile kwani nilazma ajiaibishe kwa kumkalipia vile mbele ya kameraMama zetu wasingetumiwa kwenda majukwaani kumkatisha Kiongozi akihutubia.,
Ni wachache wanatumiwa kwa jinsi ile, Mama akastukia mchezo.
Hata hivyo jambo lake limesikilizwa palepale japo sio jukwaani.
Huko nyuma kulikuwa na majibu ya ajabu kuliko hayo tena mtu akiitwa mbele ya kamera!! Imekuwa miaka mingi sana mpaka tumeanza kusahau?!?!Alipaswa kutoa kauli Kama kiongozi na sio majibu ya kitawala vile kwani nilazma ajiaibishe kwa kumkalipia vile mbele ya kamera
Mawazo ya kikundi flani kuhusu Mama...sina uhakika kama na wewe umo 😂 😂 😂 😂Kanuni ya mawasiliano HANA au HAJUI.
Ukitaka kuzungumza na mtoto shuka katika kimo chake.
She is standing tall all over the time