kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,892
- 7,780
==========
Mama mmoja amesikika akimuomba Msheshimiwa Rais, Mama Samia Suluhu Hassani kuwa anaomba atendewe haki, mama huyo amerudia mara 3 kusema anaomba atendewe haki, Lakini Rais Samia alimjibu kuwa hawa hapa wapo umeshatuandikia litanifikia nenda kakae. Rais Samia Aliendelea kusema kuwa ona yanajitokeza hata hapa. Hivyo kusisitiza mahakama zitende haki kwa kuangalia utu wa mtu.
Amekaa kikazi tu hana uchungu wa moyoni na shida za wanyonge. Mwenda zake angetaka kujua shida ya huyo mama na angefanya uamuzi.