T-Bagwell
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 1,243
- 2,378
10M,?? Haitoshi Mkuu
1.Mfamasia pekee anataka approximately 1M per Month na huwa wanataka hela ya kuanzia miezi 6
1000000×6= 6M Kumbuka huyu sheria inamwambia atleast akae pharmacy kuanzia masaa 4 kwa wiki.. hii inamaa akikaa masaa manne kwa wiki huwezi mfanya chochote
2.Pharmacy Technician approximately analipwa 500k na hawezi kuwa mmoja lazima wawe atleast wawili
500,000 X 2 = 1,000,000
3.Lazima upate labda Assistant Pharm-Tech, Dispenser, Nurse au Addo ambao mshahara wao ni approximately 300k
Pharmacist miezi 6 6,000,000
Technician wawili 1,000,000
Assistant 300,000
Umeme 30,000
Kodi 100,000x6 600,000
Mtaji wa Dawa 2,000,000
Alminium na ufundi 4,000,000
Fridge 500,000
Hiyo ni summary tuu mkuu bado kuna cost zinaweza ongezeka au kupungua ....
1.Mfamasia pekee anataka approximately 1M per Month na huwa wanataka hela ya kuanzia miezi 6
1000000×6= 6M Kumbuka huyu sheria inamwambia atleast akae pharmacy kuanzia masaa 4 kwa wiki.. hii inamaa akikaa masaa manne kwa wiki huwezi mfanya chochote
2.Pharmacy Technician approximately analipwa 500k na hawezi kuwa mmoja lazima wawe atleast wawili
500,000 X 2 = 1,000,000
3.Lazima upate labda Assistant Pharm-Tech, Dispenser, Nurse au Addo ambao mshahara wao ni approximately 300k
Pharmacist miezi 6 6,000,000
Technician wawili 1,000,000
Assistant 300,000
Umeme 30,000
Kodi 100,000x6 600,000
Mtaji wa Dawa 2,000,000
Alminium na ufundi 4,000,000
Fridge 500,000
Hiyo ni summary tuu mkuu bado kuna cost zinaweza ongezeka au kupungua ....