Kwakuwa unaanza, unaweza kuongea na mfamasia ukampa hata 200K kwa mwezi.
Biashara ikiwa inakuwa na wewe unamuongezea.
Anaemlipa hiyo 1M ni mtu mwenye mtaji wa 50M na kuendelea na faida yake ni zaidi ya 5M kwa mwezi.
Sent using
Jamii Forums mobile app
Ha ha umpe Mfamasia laki 2 , mmh
Halafu ushauri; ukienda kwa hao wafamasia ukimwambia Unaanza Biashara Na mil 20 , honestly hutopata mtu .
Hatokubali hata siku moja , anauhakika mtasumbuana, Na for sure mtasumbuana.
maana wewe utakuwa na expectation zako na yeye utakuwa expectation zake.
Halafu nimesoma comment nyingi; wengi wanaandika kwa hearsay not buy realistic .kuna watu wataandika ukweli na kuna watu watakupa moyo pasipokuwa na knowledge. So ni wewe kuwa makini usijekujikuta unajichanga mil 17 ambayo unaweza ku invest kwenye Biashara nzuri na simple na ikazalisha pesa; badala yake unaenda kwenye business pasua kichwa kwa kuanza na mil 17 , totally impractical.
Nimeona mdau hapo anasema wewe fungua then utakopa dawa kwa wafanyabiashara wakubwa...... wapo wanaofanya hivo kwa riba na ni lazima uwe na advance . Sasa once unapowekewa riba maana yake unamfanyia mtu kazi. Maana dawa zikiexpire hiyo pesa utalipa tu. Unakula hasara mara 2.
Michezo hiyo hufanya maduka ambayo yapo kwenye game muda na wanajua movements ya biashara: Sasa wewe uanze na kuanza ukafanye michezo ya kukopa dawa .... my friend ...... !
Ndio maana nasema wengi humu wana comments kama zile inspirational speeches na mahesabu ya matikiti kwenye heka moja........
ukisoma mahesabu, unasema miezi 6 babake nimeuaga umaskini......
Nenda kalime Sasa ........ndio utajua kwanini ugali hauwekwi Chumvi LoL
utashinda na matikiti yako juani mwishoe uanze kuwapa majirani zako wale Bure.
Watizedi tujifunze kuwa realistic, tusipende sana blah blah