Duka la waarabu Alwasif lanunua kipande cha lami Kariakoo, parking system wamuuzia parking 3 ila hapaki hata gari

Duka la waarabu Alwasif lanunua kipande cha lami Kariakoo, parking system wamuuzia parking 3 ila hapaki hata gari

Hili ni duka la waarabu la kuuza vitambaa Kariakoo, mtaa wa Ndanda na Narun'gombe, anamikiki duka moja tu ila amenunua maeneo ya frame mbili zingine pembeni ya duka lake ,

Lengo lake la kununua kipande cha barabara ni kuzuia harakati zozote za watanzania wengine kujitafutia kipato,

Hizi ni open space kwa ajili ya parking, sasa yeye amezinunua kwa kulipia ili tu watanzania wasizitumie ingawa hata yeye hapaki gari yoyote hapo.

At least angenunua moja tungeelewa, lakini parking tatu na hapaki gari yoyote zaidi ya kuweka mavitambara yake hii si sahihi kabisa,

Tunaipenda Tanzania yetu so mwarabu anakuja kutunyanyasa hivi kweli ni haki?
Kweli muuza inchi ni mwanainchi

Weusi wenzetu watu wa parking wamemuuzia mwarabu Tanzania yetu
Maadamu analipia hakuna shida kwani wewe hilo eneo unalihitaji kwa ajili ya nini maana yeye kaona fursa kwa ajili ya bidhaa zake za vitambaa hana kosa kosa ni Council tax collectors.
 
Takbir
1731648308806.jpg
 
Sio habari ya display, yaani anaonekana vizuri tu kwake, ila haya maduka mengineyo yasiyo yake kwanini amenunua hizi parking ambazo si zake? Yaani hao jiji wamekula hela na ndio kumpa maeneo sio yake?

Kama sehemu haina gari na si yake basi iwanufaishe wengine, sasa yeye hii haitumii na anazuia watu wasiitumie na si yake

HUU NI UKABURU
sasa hivi kakkoo imekua tafrani . katikat ya barabara mbele ya maduka ya watu wanolipa kodi unakuta banda la chips na majiko ya moto katikat ya barabara na ndizi za kuchoma na mafenes. this is too much. mnadhulum hak za waenda kwa miguu. hongera mwarabu
 
Mleta mada huna akili, usitake kuficha ajenda yako nyuma ya huyo jamaa kuwa mwarabu.
Hutakiwi kuwa na digree kumi kuelewa anchofanya mwarabu, kanunua parking na hapaki gari sababu hataki duka lake li zibwe na pengine anataka aachie nafasi kwa ajili ya wateja wake. Wakifika pale wasipate tabu na sehemu ya kupaki.


Asipende kujianika upunguani wako mbele za watu hivi. Acha ujinga!
Hawa washazoea kulundikana lundikana tu

Ova
 
Sasa na nyie si mnunue lami yote iliyobaki pande zote halafu mzungushe na ukuta kabisa?
Kweli unaandika kabisa eti mwarabu na mtanzania mara mwenye nchi
Tunasema wazungu wabaguzi daaa ukisoma hii utajua ubaguzi mbaya upo huko
Kama ni kosa kafanya si mfungue kesi
Poleni sana ila ubaguzi ni mbaya sana haujawahi kuwa na amani
 
Usiniambie waAfrica nitajie wabongo wangapi wapo India ,China , Turkey ,Dubai nk wanafanya uchuuzi mitaani ,Leta hapa facts .
Au wewe ndio unadhani umetembea kuliko wengine humu !
Acha ujinga wewe ,by the way idadi ya hao wachuuzi huko hailingani na gharama tunayolipa kama taifa la watu milioni 65 kwa kuruhusu hawa parasites kuexist humu kwa kazi za uchuuzi .
Kama unataka kuwa mchuuzi Asia nenda wewe
Ni mtu asiye na akili ndio atawaza kama unavyowaza wewe
Una mdomo mchafu utadhani unakula mavi,ebu jadili hoja kwa sitaha akuna asiye jua kutukanana.

Mm nimetembea na nina uwelewa juu ya mambo mengi ya dunia kuliko ww ndio maana nakuelimisha.

Ukienda mashariki ya kati ,China, Uturuki wanao fanya umachinga ni waafrica

Kwani hao waswahili wamekatazwa kufanya huo uchuuzi, alafu waasia wakaruhusiwa wafanye peke yao?
Dunia ya sasa ni dunia ya kibepari akili yako ndo itakayo kufanya ufanikiwe na kama ww ni kilaza utakuwa masikini na ukoo wako wote.

Kitendo cha waasia kutoka huko watokako na kuja hapa na kutafuta fursa za huo unao uita uchuuzi na kufanikiwa wakati nyinyi wenyeji mpo inaonesha jinsi gani mlivyo wajinga na vilaza.
Yaani dhahabu imedondoka njiani ila kwa sababu ya ukosefu wenu wa akili mnaiona kama jiwe la kawaida alafu mtu mwenye akili kutoka mbali aje aiokote akaiuze akatajirike muaze kelele?

Ina kuwaje watu wageni wana kuja kutoka mbali na wanafanikiwa kuteka wateja kuliko nyinyi wenyeji?
Kwann na nyinyi msitumie hizo akili kama wanazo tumia waasia ili mfanikiwe?
Wachuuzi wenyewe wa bongo ni wamejaa utapeli mtupu uaminifu zero,kitu cha 1000 analazimisha akuuzie 20,000.

Amin ali wafukuza wahindi ebu niambie Waganda walipata maendeleo gani?
Mgabe aliwanyaganya mashamba wazungu niambie wazimbabwe wana maendeleo gani?
Waafrica tutaedelea iwapo tutakubaliana ya kuwa umasikini wetu unasababishwa na ukosefu wetu wa akili badala ya kusingizia waraabu wahindi na wazungu.
 
Mkuu punguza hasira umekula mchana? by the way wabongo ni waoga hata tukisafiri huko nje ya mipaka safari za mbali unajikuta uko peke yako, wabongo wanaenda dubai na china na uturuki kwa uchache, ila wenzetu majirani na wa afrika ya magharibi wanajilipua sana sisi waoga mno.

Sio waoga mkuu .
Fursa zinatafutwa na serikali kwa niaba ya wananchi wake.

Tuna viongozi wachuuzi wa rasilimali za nchi sio kuwainua wananchi .

China wanakuja mpaka wafungwa kufanya kazi bongo na wa anafadhili wa na nchi zao.

Jiulize nani alifungua geti kwa wachina kuja kuchoma mpaka mahindi.

Watoto wa wakubwa badala ya kusafirisha tangawizi kwenda Dubai wanaosafirisha unga wa kubwia.

Badala ya Waziri wa kilimo kwenda Vietinam na wakulima kutoka mbalizi kujifunza kilimo cha kisasa katika mazingira ya wakulima wa chini anasafiri na wachekeshaji wakajifunza na wasanii wa kupamba.
Mkuu wa nchi anaonoka na umati wa wasanii waandishi wa habari na machawa kwenda Thailand badala ya kuondoka na wamachinga hamsini wakapate connection na uzoefu wa safari za nje na ujasiri.
Mpaka leo kuna watu hawana hata kitambulisho cha Taifa achilia mbali Passport .

Mikopo yenye riba nafuu inatolewa kwa machawa wa 5 tena, badala ya wafanyabiashara wadogo.
Take masoko ya Mipakani yako wapi?
Angalia jinsi wafanyabiashara wa kibongo wanavyosumbiliwa mipakani tena zaidi wanasumbuliwa na watanzania wenzetu wa uhamiaji?

Kama Dubai wananunua Wanyama hai kwa nini watanzania wasipewe vibali vya kubeba swala na kwenda kuuza wenyewe kwa bei ya kule au ni Waarabu wanaopewa mbuga nzima wahamishie wanyama uarabuni kisha waje waturithishe misikiti ambayo tungeku na fedha tungejenga wenyewe.

Wanafunzi wa vyuo vikuu vya kilimo wanwezeshwaje kutumia elimu yao ? Ardhi yote wanapewa wageni kwa rushwa ili walime wao na kusafirisha wao sawa mtanzania ataenda wapi na atapeleka nini huko ugenini ?
Hao watanzania wenye mitaji ya kwenda China na Thailand mbona wengi ni wale wale wake na waume na mahawara wao tu. Watanzania Watangayika walipotaka kuifanya kariakoo kuwa Soko kubwa la bidhaa kwa nchi za Kongo na Ukanda wote wa maziwa makuu walikuja madalali wakauza mpaka bandari ziwe mali ya Waarabu ili wapate pesa wakajenge Kwao Dubai wabongo wabaki kupiga kura za marehemu mana waliopo hai hawahitajiki kwenye hii nchi.

Kama wetu wanahujumiwa kwenye kuchagua viongozi wao itakuaje kwenye mali zinazosimamiwa na hao hao wanaonunua uongozi ?

Bila kuondoa hili janga linaloitwa CCM watanzania watabagi kama walivyo na nchi na uchumi wake utatawaliwa na Wachina ,wahindi na waarabu huku wakisingiziwa kuwa ni wavivu na waoga kumbe kuna kundi dogo limeamua kuigeuza nchi kuwa ya wasanii ,waandishi wa habari wa online TVs na wachekeshaji ili baadae nchi iwe kama Kongo na muziki na ushirikina huku rasilimali zikiwa zinachotwa kwenda Ulaya na Uarabuni.
Mitano tena lakini hatujui ni ya nini kama sio ya kumaiza kuwakabidhi na hati ya Muungano wawekezaji😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Una mdomo mchafu utadhani unakula mavi,ebu jadili hoja kwa sitaha akuna asiye jua kutukanana.

Mm nimetembea na nina uwelewa juu ya mambo mengi ya dunia kuliko ww ndio maana nakuelimisha.

Ukienda mashariki ya kati ,China, Uturuki wanao fanya umachinga ni waafrica

Kwani hao waswahili wamekatazwa kufanya huo uchuuzi, alafu waasia wakaruhusiwa wafanye peke yao?
Dunia ya sasa ni dunia ya kibepari akili yako ndo itakayo kufanya ufanikiwe na kama ww ni kilaza utakuwa masikini na ukoo wako wote.

Kitendo cha waasia kutoka huko watokako na kuja hapa na kutafuta fursa za huo unao uita uchuuzi na kufanikiwa wakati nyinyi wenyeji mpo inaonesha jinsi gani mlivyo wajinga na vilaza.
Yaani dhahabu imedondoka njiani ila kwa sababu ya ukosefu wenu wa akili mnaiona kama jiwe la kawaida alafu mtu mwenye akili kutoka mbali aje aiokote akaiuze akatajirike muaze kelele?

Ina kuwaje watu wageni wana kuja kutoka mbali na wanafanikiwa kuteka wateja kuliko nyinyi wenyeji?
Kwann na nyinyi msitumie hizo akili kama wanazo tumia waasia ili mfanikiwe?
Wachuuzi wenyewe wa bongo ni wamejaa utapeli mtupu uaminifu zero,kitu cha 1000 analazimisha akuuzie 20,000.

Amin ali wafukuza wahindi ebu niambie Waganda walipata maendeleo gani?
Mgabe aliwanyaganya mashamba wazungu niambie wazimbabwe wana maendeleo gani?
Waafrica tutaedelea iwapo tutakubaliana ya kuwa umasikini wetu unasababishwa na ukosefu wetu wa akili badala ya kusingizia waraabu wahindi na wazungu.


Bila amini kuwafukuza waganda leo huo Uganda ingekuwa imegawanyika kama Sudani .

Iddi hakuna jambo kubwa kama wananchi kushika 80% ya uchumi wa nchi yao wenyewe na ardhi yao .

Huu ujinga wa kusifia wanyonyaji ni wa kupuuzwa sana .

Hivi unawezaje kuwaleta waarabu kuja kulima mpunga Tanganyika ?
Unagawa ardhi kwa waarabu walime mkonge ni akili kweli au ni kuhujumu Taifa lako ?
Kuna mjordan amepewa elari elfu sita alime ufuta halafu akashindwa kuzuia ndege sasa amekimbilia kwenye mkonge maana ni rahisi kulima wakati huo huo wananchi waliomba hata Hekari tanotano walime mkonge wananyimwa sasa hapo unataka waende China wakauze midoli wakati mipango mibovu ya watawala inawakosesha hata fursa za nyumbani?
 
Hili ni duka la waarabu la kuuza vitambaa Kariakoo, mtaa wa Ndanda na Narun'gombe, anamikiki duka moja tu ila amenunua maeneo ya frame mbili zingine pembeni ya duka lake ,

Lengo lake la kununua kipande cha barabara ni kuzuia harakati zozote za watanzania wengine kujitafutia kipato,

Hizi ni open space kwa ajili ya parking, sasa yeye amezinunua kwa kulipia ili tu watanzania wasizitumie ingawa hata yeye hapaki gari yoyote hapo.

At least angenunua moja tungeelewa, lakini parking tatu na hapaki gari yoyote zaidi ya kuweka mavitambara yake hii si sahihi kabisa,

Tunaipenda Tanzania yetu so mwarabu anakuja kutunyanyasa hivi kweli ni haki?
Kweli muuza inchi ni mwanainchi

Weusi wenzetu watu wa parking wamemuuzia mwarabu Tanzania yetu
We nawe huna akili,picha zipo wapi
 
Hili ni duka la waarabu la kuuza vitambaa Kariakoo, mtaa wa Ndanda na Narun'gombe, anamikiki duka moja tu ila amenunua maeneo ya frame mbili zingine pembeni ya duka lake ,

Lengo lake la kununua kipande cha barabara ni kuzuia harakati zozote za watanzania wengine kujitafutia kipato,

Hizi ni open space kwa ajili ya parking, sasa yeye amezinunua kwa kulipia ili tu watanzania wasizitumie ingawa hata yeye hapaki gari yoyote hapo.

At least angenunua moja tungeelewa, lakini parking tatu na hapaki gari yoyote zaidi ya kuweka mavitambara yake hii si sahihi kabisa,

Tunaipenda Tanzania yetu so mwarabu anakuja kutunyanyasa hivi kweli ni haki?
Kweli muuza inchi ni mwanainchi

Weusi wenzetu watu wa parking wamemuuzia mwarabu Tanzania yetu
🤔🙄💭
 
Acheni ubaguzi wa kishamba, tumieni lugha za staha kuweka mambo sawa, pengine huyo ni mtanzania halali kabisa na analipa kodi kamili kuliko wewe, hao waliomkodishia ni serikali, sasa nenda kaulize ni utaratibu upi waliotumia kumpa mfanyabiashara sehemu ya parking na kuigeuza kuwa sehemu ya biashara
🙋‍♂️🎯👍👌👊👏🤝🙏
 
Yaani hawa wapumbavu wanawaita MAWINGA wameanza kujiona wao wanahaki ya kupanga takataka zao za kichina barabarani,,,,,hali ya kutowazuia sasa wnaataka kujipa umuhimu usiwahusu.
 
Amenunua parking ya duka lake, hamna shida

Sasa hizi parking za maduka mawili mengine kwanini nazo anazuia?ameweka na vibao kabisa za jina lake
Halafu sio mtanzania sasa
Mkuu shida yako wewe ni nini?? Yeye kulipia parking au ni uraia wake??

Kwa taarifa yako wapo waarabu, wahindi wachina na wazungu watanzania.
 
Back
Top Bottom