Dunia haibagui, wanajeshi pamoja na kutamba wanaongoza kuchapiwa wake zao

Dunia haibagui, wanajeshi pamoja na kutamba wanaongoza kuchapiwa wake zao

Ndio kweli sijakataa kwamba wapo wanaokengeuka baadhi maana fujo ni tabia tu ya mtu sio kwamba ni mwanajeshi basi atakua ana fujo kwa raia, mkuu mimi nmeishi nao na still naishi nao ndio maana nakwambia hivyo, km ni fujo basi itakua ni tabia tu ya mtu sio kwamba kisa eti ni mwanajeshi basi ni mtu wa fujo kwa raia hapana,

Ila km ukiwaingilia kambini kwao na kwenda kufanya uhalifu basi wakikudaka lazima watakufunza adabu ukiwa kambini hapo hapo hawanaga masuala ya kumpeleka mtu polisi sijui nini yaani wanamalizana na wewe pasu kwa pasu maana umewaingilia kambini na umewafanyia uhuni au uhalifu Ila kwa mtaani hua hawana fujo kwa raia,
Kambini kwao sawa,ila mbona mtaani kila mala utawasikia mala wamepiga raia,kisa malaya,mala wamempiga trafiki police kisa eti wamekaa sana kwenye foleni!!kesi nyingi sana mtaani za mauaji zinazofanywa na wanajeshi utakuta ni hawa wenye vyeo vya chini na hususani vijana vijana?!!yeye akivaa gwanda hilo anajiona kama ni sawa na rais wa nchi!!hawezi kuwajibishwa kirahisi!!mbona maafisa hawako hivyo?
 
Kambini kwao sawa,ila mbona mtaani kila mala utawasikia mala wamepiga raia,kisa malaya,mala wamempiga trafiki police kisa eti wamekaa sana kwenye foleni!!kesi nyingi sana mtaani za mauaji zinazofanywa na wanajeshi utakuta ni hawa wenye vyeo vya chini na hususani vijana vijana?!!yeye akivaa gwanda hilo anajiona kama ni sawa na rais wa nchi!!hawezi kuwajibishwa kirahisi!!mbona maafisa hawako hivyo?
Ndio maana nimekwambia fujo ni tabia ya mtu sio kazi ya mtu, sio kila mwanajeshi ni mtu wa fujo, jaribu kuelewa walau kidogo tu mkuu
 
Kambini kwao sawa,ila mbona mtaani kila mala utawasikia mala wamepiga raia,kisa malaya,mala wamempiga trafiki police kisa eti wamekaa sana kwenye foleni!!kesi nyingi sana mtaani za mauaji zinazofanywa na wanajeshi utakuta ni hawa wenye vyeo vya chini na hususani vijana vijana?!!yeye akivaa gwanda hilo anajiona kama ni sawa na rais wa nchi!!hawezi kuwajibishwa kirahisi!!mbona maafisa hawako hivyo?
Wajinga hao wakijua una pesa kuwazidi ni mafala sana, utavisikia kiongozi, mara kamanda, hahahaaa mpaka wanyooke mabwege hao. Hawa wanaobadilishana kwenda mission tunawanyoshea migongo na viuno vya wake na mademu zao.
.
 
Ndio maana nimekwambia fujo ni tabia ya mtu sio kazi ya mtu, sio kila mwanajeshi ni mtu wa fujo, jaribu kuelewa walau kidogo tu mkuu
Ni sawa lakini kwanini mala zote iwe ni kwa hawa vijana vijana?wasiokuwa na vyeo(nadhani MOB SYCHOLOGY itakuwa ndio inawasumbua)
 
Kwa hiyo ww hapo ulipo huna mzinzi mwenzio mliojipa jina la wapenzi?
Kila mtu na mnyonge wake karma is real and her other name is a bitch that's an ideal pathetic apathy that does hold with realism.
 
Ni sawa lakini kwanini mala zote iwe ni kwa hawa vijana vijana?wasiokuwa na vyeo(nadhani MOB SYCHOLOGY itakuwa ndio inawasumbua)
Vinakuwa kwenye level ya kuendelea kubalehe na kuuenzi umugia umugia wa kazi na ule uhuru wa 6 years without official marriage
 
Kila mtu na mnyonge wake karma is real and her other name is a bitch that's an ideal pathetic apathy that does hold with realism.
Bara hao wana jeshi ni wanyonge kwako mtu mwenye hela na nadhifu kuliko ww mwenye hela na nadhifu kuwa mnyonge wa wanyoa viduku wa mitaani wasio kuwa na kazi.
 
Ndio maana nimekwambia fujo ni tabia ya mtu sio kazi ya mtu, sio kila mwanajeshi ni mtu wa fujo, jaribu kuelewa walau kidogo tu mkuu
Hasa vile vilevi Levi hua vinashangaa hyneness na other whisky vikiwa na laki2 mfukoni vinakunywa safari, konyagi, smart gin na kvant
 
Bara hao wana jeshi ni wanyonge kwako mtu mwenye hela na nadhifu kuliko ww mwenye hela na nadhifu kuwa mnyonge wa wanyoa viduku wa mitaani wasio kuwa na kazi.
Haina kupoa kila mtu na mnyonge wake hawa wa Darfur na DRC tunawanyorosha wake zao.
 
Kila mtu na mnyonge wake!

Hakuna watu wa ajabu wanajikutaga kama wanajeshi, kujimwambafy kwingi mara wakiwa bar kujishaua kwingi na vipesa vyao vya kawaida sana.

wakipanga mtaani vurugu nyingi sauti za mziki kubwa za fujo hata usiku wa manane, usiombe ndio awe na kijigari kama uniform maana kwa kuigana hawajambo.

Hawa jamaa hujifanya wanajua sana kupiga shoo za wake za wenzao na mademu za watu kitaa.

Cha ajabu nimefanya utafiti karibia kila mwanajeshi alieoa anachapiwq mke wake kama sio na mwenzake, basi jirani zake, vijana wa kitaa na sisi mabaharia wenye pesa pesa na magari mazuri kuliko uniform zao.

Walioenda Dharfur na Congo DR tumezaa na wake zao, kati ya watoto watatu wawili sio wao, kati. ya watoto watano watatu sio wao.

Tunaongea kwa uhakika , kuchapiwa kupo ila hawa jamaa tunawachapia sana.

Wanajeshi wakubali ukweli sisi raia wenye kipato kuwazidi tunawachapia sana.

Na hatuachi vita ni vita hadi mkianza kuishi kwa ustaarabu ndio tutawaonea huruma.

Nidhamu ya kambini au kazini ionekane na mtaani.

Wadiz a gallant stateman who is makusudically mounting discipline on indiscipline officers.
Mnaletaga point za msingi katika kurekebisha sheria ya ndoa ila sanyingine wana mnajidharaulisha sana. Sijui, ila mwanaume kujisifu kwakufanya uzinzi na mke wa mwenzio naona kama ni aina fulani ya ujinga au upumbavu maishani. Hichi kitu kinaonyesha jinsi gani ukomavu wenu wa akili bado upo chini sana tena sana. Hii ni kwakuwa matendo hayo ya uchafu wafanya na mwanamke/mke wake husika yeye wala hausiki ila kwasababu sijui ya inferiority complex au sijui nini, wewe waona ni habari kubwa ya kumkomoa mwanaume mwenzio ambayo hata kumjua haumjui. Yaani kwaujumla umepotea kifikra na kimtazamo kwakuwa tendo unalofanya kwa dakika kadhaa ndani ya siku na ambalo sio constant linadetermine direction ya maisha yako, kwakuwa umelipa uthamini kuliko hata thamani ya maisha yako, unaliwaza sana kuliko unavyowaza fikra za maendeleo. Anyways ujana ni maji ya moto, utumie vizuri maana unaishaga. Kwasababu nakwambia kama hiki kitu kingekuwa cha mafanikio usingesita kuwaambia wazazi au ndugu walezi wako kama mjomba nawengineo. Ukiona umeshindwa jua ulichoongea ni ujinga. Kudos
 
Mnaletaga point za msingi katika kurekebisha sheria ya ndoa ila sanyingine wana mnajidharaulisha sana. Sijui, ila mwanaume kujisifu kwakufanya uzinzi na mke wa mwenzio naona kama ni aina fulani ya ujinga au upumbavu maishani. Hichi kitu kinaonyesha jinsi gani ukomavu wenu wa akili bado upo chini sana tena sana. Hii ni kwakuwa matendo hayo ya uchafu wafanya na mwanamke/mke wake husika yeye wala hausiki ila kwasababu sijui ya inferiority complex au sijui nini, wewe waona ni habari kubwa ya kumkomoa mwanaume mwenzio ambayo hata kumjua haumjui. Yaani kwaujumla umepotea kifikra na kimtazamo kwakuwa tendo unalofanya kwa dakika kadhaa ndani ya siku na ambalo sio constant linadetermine direction ya maisha yako, kwakuwa umelipa uthamini kuliko hata thamani ya maisha yako, unaliwaza sana kuliko unavyowaza fikra za maendeleo. Anyways ujana ni maji ya moto, utumie vizuri maana unaishaga. Kwasababu nakwambia kama hiki kitu kingekuwa cha mafanikio usingesita kuwaambia wazazi au ndugu walezi wako kama mjomba nawengineo. Ukiona umeshindwa jua ulichoongea ni ujinga. Kudos
Mapembelo kijana wa Gwimile
 
Mapembelo kijana wa Gwimile
Sijui ulichomaanisha, ila mada hizi hamjui kuwa mnapambania jambo linalodharaulisha jinsia ya kiume vibaya sana. Mada za kuchapiwa sijui twasherehekea nini hasa sisi kama wanaume maana kwenye hayo matendo na sisi wanaume tumo halafu unaitumia kuisagia sumu jinsia yako tena au unayatumia kuonyesha udhaifu wa mwanamke, yaani it's very illogical [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijawahi ona.
 
Back
Top Bottom