Dunia haibagui, wanajeshi pamoja na kutamba wanaongoza kuchapiwa wake zao

Dunia haibagui, wanajeshi pamoja na kutamba wanaongoza kuchapiwa wake zao

Jamaa hawana fujo kwa raia, na ikibainika kafanya fujo kwa raia basi anafukuzwa kazi na anaweza kukabidhiwa kwa polisi ashtakiwe km raia wengine ingawa hua wana mahakama zao za kijeshi
Wewe jamaa ID Yako inazingua sana. Nimesoma comment #8 , naona jamaa ana likes kadhaa and "4400 others" . Sasa najiuliza huyu jamaa comment yake ina likes nyingi namna hii!? Sasa ndio nagundua kuwa hii "4400 others" ni ID tu wala si number of likes.
 
We acha uongo ni wakorofi na mafujo, mi juz nimetoka kuwapeleka polisi kwa fujo zao,wako wananililia hapa nisiende kwa mkubwa wao watafukuzwa kazi,
Unayajua makosa ya kufukuzwa wanajeshi...
 
All the best. Na nakukumbusha pia kua hao ndio wanaongoza kwa GRID YA TAIFA. a.k.a umeme.
 
Back
Top Bottom