Dunia haibagui, wanajeshi pamoja na kutamba wanaongoza kuchapiwa wake zao

Achana nae... Attention seeker Huyo
Jaribu kufatilia alivoviandika
Mwenye pesa hayuko hivo
Mcheza kamari ana pesa Nyingi mpk anapata jeuri ya kutembea na wake za wajeda...
Tupo hapa Ipo siku utatia simanzi.
 
Ila tu jamaa asije kukujua aseee...! ukatili ambao unaweza kufanyiwa hauelezeki.
 
Na wanaongoza kuchapa wagoni wao!! Kuchapiwa siyo udhaifu majukumu yao ya ulinzi wa taifa kwa kuwa mbali na familia. Siku wakiwafuma wagoni wao huwa tunaapa sigusi mke wa mjeshi.
 
Big up saaana mwamba[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Swala la kugongewa mkuu, hamna atakayesalimika anagongewa raisi, ndoa au mahusiano ni mchezo mchafu mkuu anagongewa shekhe au asikofu anahongewa tajiri na hata masikini hakuna asiyegongewa mkuu hata hao wanaume wanagonga sana nje- KATAA NDOA
 

Wewe nae achaga uongo kuruta si mwanajeshi kuruta ni wale wa mafunzoni ambao wapo jkt

Ukishapata ajira huitwi tena kurutaa [emoji2955][emoji2955][emoji2955]
 
Wewe nae achaga uongo kuruta si mwanajeshi kuruta ni wale wa mafunzoni ambao wapo jkt

Ukishapata ajira huitwi tena kurutaa [emoji2955][emoji2955][emoji2955]
Nilishawahi kukudanganya nini???

Umeelewa maelezo yangu??

Haya nitaacha uongo mama.
 
Haya ndo malipo unayowalipa defenders of the nation watu ambao ni wa mwisho kuitoroka nchi inapovamiwa na adui?

Wanajeshi wanaongozwa na sheria kali sana, ndo maana wana mahakama na polisi jeshi MP ambao ni watunza nidhamu lakini kama alivyosema mdau huko juu mwanajeshi ni binadamu kama walivyo wengine kwahiyo wapo watulivu wenye nidhamu A, wapo wachache wakorofi ambao pindi wanapobainika hutemeshwa "mwenge" so kaa ukijua tabia za mtu mmoja asiejielewa hazibebi taswira ya jeshi zima.
 
Mi naish nao jirani,na tabia zote alizozitaja ni kweli wasumbufu , makelele yaani ujuaji ,ubabe wa kijinga, wanakera kwa kweli
 
Mi naish nao jirani,na tabia zote alizozitaja ni kweli wasumbufu , makelele yaani ujuaji ,ubabe wa kijinga, wanakera kwa kweli
Jirani kivipi mimi nimewapangisha nakwambia sio wasumbufu na hawana makuu, unabishana na ukweli?
 
We acha uongo ni wakorofi na mafujo, mi juz nimetoka kuwapeleka polisi kwa fujo zao,wako wananililia hapa nisiende kwa mkubwa wao watafukuzwa kazi,
 
We acha uongo ni wakorofi na mafujo, mi juz nimetoka kuwapeleka polisi kwa fujo zao,wako wananililia hapa nisiende kwa mkubwa wao watafukuzwa kazi,
Wapi unazungumzia? Maeneo hayafanani wewe unazungumzia wapi?
 
Mimi nipo Dar, kwa hio location na watu watu hawafanani huku mda mwingi wanajeshi wapo kambini hawana huo mda wa kusumbuana na raia kijingajinga, na hawa niliowapangisha sasa hivi wapo Zanzibar nahisi watakua wameenda kwenye course hua wanarudi mara moja moja sio wakukaa hapa mda wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…