Dunia haina huruma, Vijana tunapitia mengi sanaaa kwenye huu Ulimwengu. Soma hii Mikuki

Dunia haina huruma, Vijana tunapitia mengi sanaaa kwenye huu Ulimwengu. Soma hii Mikuki

Usisahau - Ufunuo Choir

...

Usisahau hata kidogo, usisahau kumshukuru,

Yale yote Mungu aliyo, kutendea usisahau kumshukuru mungu,

usisahau hata kidogo, usisahau kumshukuru ,

Yale yote Mungu aliyo , kutendea usisahau kumshukuru mungu

Usisahau hata kidogo, usisahau kumshukuru ,

Yale yote Mungu aliyo , kutendea usisahau kumshukuru Mungu

Basi hapo, moyo wako wewe usiinuke ukamsahau Mungu wakoo aliye kutoa katika nchi ya misiri , aliye kutoa katika nyumba ya utumwa

basi hapo , moyo wako wewe usiinuke ukamsahau

Mungu wakoo aliye kutoa katika nchi ya misiri, aliye kutoa katika nyumba ya utumwa

aliye kuongoza katika jangwa Lile kubwa,

lenye vitisho lenye nyoka za moto,

lenye nge nchi yenye kiu, nchi isiyokua na maji,

aliyee kuongoza katika jangwa Lile kubwa

lenye vitisho lenye nyoka za moto

lenye nge nchi yenye kiu nchi isiyokua na maji

aliye kutolea maji katika mwamba mkuu saana

aliye kuongoza njia katika safari yako,aliye kulisha jangwani kwa maana maana usiyoijia baba zako......

aliye kutolea maji katika mwamba mkuu saana

aliye kuongoza njia katika safari yako,aliye kulisha jangwani kwa maana maana usiyoijua baba zako......

aliye kutolea maji katika mwamba mkuu saana

aliye kuongoza njia katika safari yako,aliye kulisha jangwani kwa maana maana usiyoijua baba zako......

katika mema yako na katika mafanikio yako

wala usiseme moyoni mwako nguvu zangu na uwezo wangu ndio ulionipatia utajirii Mungu..

katika mema yako na katika mafanikio yako

wala usiseme moyoni mwako nguvu zangu na uwezo wangu ndio ulionipatia utajirii Mungu..

(bali mkumbuke),Bali mkumbuke bwana wako maana,(maaana maana )ndiye akupae nguvu za kupata utajiri (ili afanye) ili afanye imara agano lake bwana

bali mkumbuke),Bali mkumbuke bwana wako maana,(maaana maana )ndiye akupae nguvu za kupata utajiri (ili afanye) ili afanye imara agano lake bwana

Basi yatupasa kutambua bwana Mungu ndiye ndiye

atanguliaye mbele yako kama moto,

uteketezao na kuangamiza walio watesi wako

wako wako wakooo

Basi yatupasa kutambua bwana Mungu ndiye ndiye

atanguliaye mbele yako kama moto,

uteketezao na kuangamiza walio watesi wako

wako wako wakooo,

katika mema yako na katika mafanikio yako,

wala usiseme moyoni mwako nguvu zangu,, na uwezo wangu ndio ulionipatia utajirii..mungu

katika mema yako na katika mafanikio yako,

wala usiseme moyoni mwako nguvu zangu,, na uwezo wangu ndio ulionipatia utajirii..mungu

bali mkumbuke bwana wako maana maana ndiye akupae nguvu za kupata utajiri ili afanye imara agano lake bwana

bali mkumbuke bwana wako maana maana ndiye akupae nguvu za kupata utajiri ili afanye imara agano lake bwana

usisahau hata kidogo usisahau kumshukuru

Yale yote Mungu aliyo kutendea usisahau kumshukuru Mungu, usisahau hata kidogo

usisahau kumshukuru Yale yote Mungu aliyo kutendea usisahau kumshukuru Mungu

Daah wew jamaa umefanya niimbe hii nyimbo halafu naipendaa mno ubarikiwe [emoji120]
 
Kwanza kabisa nikupongeze kwa kuweza kuikwepa hiyo mikuki kishundu lakini zaidi ,hii habari yako inatuma ujumbe serikalini na kwa vijana wasaka ajira kuwa pambana uwezeavyo uanzishe hata biashara maana hta walio serikalini Wana njaa sana tu .

Kwahiyo kijana usijionee huruma kuwa huna ajira ya serikali basi maisha yatakuwa magumu sana sio kweli nao ni omba omba .

Mwisho ni serikali iwakumbuke watumishi wa halmashauri wananuka jasho la shida ndiyo maana mleta mada anawanyima Senti zake .

Lakini la zaidi ikiwa hautajali ndugu yangu ,rafiki yangu ,mdogo wangu bwana Liverpool VPN nisaidie namba ya dada wa chunya huyo MD ,Nina Jambo naweza kushare naye katika mambo ya afya
 
Usisahau - Ufunuo Choir

...

Usisahau hata kidogo, usisahau kumshukuru,

Yale yote Mungu aliyo, kutendea usisahau kumshukuru mungu,

usisahau hata kidogo, usisahau kumshukuru ,

Yale yote Mungu aliyo , kutendea usisahau kumshukuru mungu

Usisahau hata kidogo, usisahau kumshukuru ,

Yale yote Mungu aliyo , kutendea usisahau kumshukuru Mungu

Basi hapo, moyo wako wewe usiinuke ukamsahau Mungu wakoo aliye kutoa katika nchi ya misiri , aliye kutoa katika nyumba ya utumwa

basi hapo , moyo wako wewe usiinuke ukamsahau

Mungu wakoo aliye kutoa katika nchi ya misiri, aliye kutoa katika nyumba ya utumwa

aliye kuongoza katika jangwa Lile kubwa,

lenye vitisho lenye nyoka za moto,

lenye nge nchi yenye kiu, nchi isiyokua na maji,

aliyee kuongoza katika jangwa Lile kubwa

lenye vitisho lenye nyoka za moto

lenye nge nchi yenye kiu nchi isiyokua na maji

aliye kutolea maji katika mwamba mkuu saana

aliye kuongoza njia katika safari yako,aliye kulisha jangwani kwa maana maana usiyoijia baba zako......

aliye kutolea maji katika mwamba mkuu saana

aliye kuongoza njia katika safari yako,aliye kulisha jangwani kwa maana maana usiyoijua baba zako......

aliye kutolea maji katika mwamba mkuu saana

aliye kuongoza njia katika safari yako,aliye kulisha jangwani kwa maana maana usiyoijua baba zako......

katika mema yako na katika mafanikio yako

wala usiseme moyoni mwako nguvu zangu na uwezo wangu ndio ulionipatia utajirii Mungu..

katika mema yako na katika mafanikio yako

wala usiseme moyoni mwako nguvu zangu na uwezo wangu ndio ulionipatia utajirii Mungu..

(bali mkumbuke),Bali mkumbuke bwana wako maana,(maaana maana )ndiye akupae nguvu za kupata utajiri (ili afanye) ili afanye imara agano lake bwana

bali mkumbuke),Bali mkumbuke bwana wako maana,(maaana maana )ndiye akupae nguvu za kupata utajiri (ili afanye) ili afanye imara agano lake bwana

Basi yatupasa kutambua bwana Mungu ndiye ndiye

atanguliaye mbele yako kama moto,

uteketezao na kuangamiza walio watesi wako

wako wako wakooo

Basi yatupasa kutambua bwana Mungu ndiye ndiye

atanguliaye mbele yako kama moto,

uteketezao na kuangamiza walio watesi wako

wako wako wakooo,

katika mema yako na katika mafanikio yako,

wala usiseme moyoni mwako nguvu zangu,, na uwezo wangu ndio ulionipatia utajirii..mungu

katika mema yako na katika mafanikio yako,

wala usiseme moyoni mwako nguvu zangu,, na uwezo wangu ndio ulionipatia utajirii..mungu

bali mkumbuke bwana wako maana maana ndiye akupae nguvu za kupata utajiri ili afanye imara agano lake bwana

bali mkumbuke bwana wako maana maana ndiye akupae nguvu za kupata utajiri ili afanye imara agano lake bwana

usisahau hata kidogo usisahau kumshukuru

Yale yote Mungu aliyo kutendea usisahau kumshukuru Mungu, usisahau hata kidogo

usisahau kumshukuru Yale yote Mungu aliyo kutendea usisahau kumshukuru Mungu
Noma
 
INTRODUCTION:-
Sina mengi, hebu soma hizi screenshots..!!!

SCENARIOS:-

PISI YA KWANZA.
School mate wa Advance PCB,

Nilipost picha Insta nipo nanenane na wateja (waliohudhuria banda letu la maonyesho) nawaelezea fursa mbalimbali.

Wakati nafundisha/naelekeza raia, Afisa Habari wetu akanipiga picha, ile picha nikaipenda na kuipost Insta.

Pisi moja niliyosoma nayo Dar Advance msuli mnene PCB akaiona.
Pisi ipo Chunya, ni MD huko wa kituo cha Afya.
Anataka kuja kuniona ila NITUME NAULI..!!!

View attachment 3064262

Yaani yeye ndio kaiona picha, akanifata PM, akaniuliza kama niko mbeya.

Anahamu ya kuniona, ila nitume nauli aje kukaa siku mbili ..!!
Shida zake ila mimi ndio NIGHARAMIE..!!!

PISI YA PILI.
Hii ni pisi yangu ya miaka hiyo (2020).
Yupo Mbozi, ila tushaachanaga zamani.
Ni PS wa moja wapo ya Idara pale Mbozi Halmashauri.

Anataka kabla sijaondoka Mbeya nimuite aje anione halafu nifanye kama picha inavyosema.

Sasa najiuliza, ""huyu Mnyia tokea 2020 tuachane mpaka leo HANA MUME?""

Anataka kuja kulala nami Mbeya, kwake ataaga vipi??

View attachment 3064264

PISI 3.
Hii ni Pisi ipo Mbeya Mjini.
Hii Pisi inafanya kazi Private company kubwa tu Mbeya.

Wakati wa kukaribia kwa sikukuu za nanenane alinitafuta na kuniuliza kama nakuja nanenane Mbeya.
Nilimwambia nakuja.
Siku mbili kabla ya nanenane nilimwambia nakuja ila hatujalipwa (tulilipwa tokea 27/07).

Kwahiyo nilitengeneza mazingira ya kwamba nakuja ila sina hela..!!
Sababu namjua sanaa tabia zake kwenye hela.

Na tokea nifike Mbeya ""Namkwepa sanaa, maana huyu mngoni ni gold digger balaaa""
Kwahiyo tunaishia kuchat tu..!!!
Sitaki nimuone.

Sasa mimi naishi mbali nae, nimekuja Mbeya kwa kipindi tu ""KWANI HANA MWANA ANAYE MKULA HAPA MBEYA??""

View attachment 3064266

PISI YA 4.
Pisi ya kinyamwanga, ila anaishi Mbeya.

Ni pisi yangu, tulionana 2023 Tunduma boda kwenye msala wa kukamatiwa Appy Pine zangu pale Tunduma Custom.
Na yeye alikuwa na vitenge vyake.
Tulikuwa tunahangaika kuvikomboa, tukaunda team ili kurahisisha jambo.

Baada ya kumchunguza, ni mtumishi wa serikali katika moja ya vyuo vikuu vya serikali Mbeya.

Huyu yeye tokea nifike Mbeya
1. Anataka ajue niko wapi wakati wote
2. Kila nikiwa nakula bata, anataka tuwe wote, yaani kama anilinde/anichunge hivi

Ana mtoto (single maza) anaishi na mwanae.
Wakati nakuja Mbeya, alitaka nifikie kwake ili mtoto anizoeee.

Cha ajabu huwa nakujaga Mbeya mara moja moja sanaa..!!!
Ila anataka kunitawala.

View attachment 3064270

Nilisahahu na hii ...
PISI YA TANO

PISI 5.
Huyu alikuwa baby mama.
Anaishi Chimala.
Mara zote nikija Mbeya nilikuwa najilia tu.
Mwaka jana (2023) mwezi 5 alipost picha kavaa shela kapendeza.

Nikaingia PM, kumuhoji kumbe kafanyiwa Sendoff ila hakunitaarifa.

Alisema ""Si uliniambia wewe huoi, mi naona bora niolewe tu umri unaenda""

Nilimpongeza tukaishia hapo na namba ya simu nikafuta.
Nikamsahau kabisaaaaaa.

Jana kanitafuta baada ya kuona picha yangu INSTA.

Akaniuliza: ""Upo Mbeya, nataka kukuona?""

Sikutaka mengi niliiju nia yake, Nikamjibu: ""Nilikuja Mbeya kuleta wajasiriamali na kuondoka, sikukaaa.""

Akasema: ""Unanidanganya, upo Mbeya nataka tuonane""

Na ni ukweli nipo Mbeya

Nikajibu kwa kumuuliza ""Wewe sasa hivi si mke wa mtu? Siwezi kuwa na uhusiano na wewe, maana ni mali ya mtu na umeolewa ndoa takatifu.""

Cheki alichonijibu??

View attachment 3064280

CONCLUSION.
Bila hata kuficha hawa wote wanauhusiano mwengine.

Na hawa wote wana ajira zao tena asilimia kubwa ni serikalini..!!!
Ila ni full OMBAOMBA kama MATONYA..!!!

Kumbuka:
Mimi nimekuja Mbeya kuhudhuria nanenane tu na ikiisha narudi hukoo ndichi ambapo nitakuwa mbali nao.

Na hawa ndio WAKE ZENU.
Na hawa ndio WAKE ZENU WATARAJIWA.

NDOA TAMUUU.

NB:-
Muogope sanaa
1. X wa mkeo
2. Mchungaji wangu wa mkeo
3. Bodaboda wangu wa mkeo
4. School mate wa mkeo.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Wacha nikae kimya
 
Kwanza kabisa nikupongeze kwa kuweza kuikwepa hiyo mikuki kishundu lakini zaidi ,hii habari yako inatuma ujumbe serikalini na kwa vijana wasaka ajira kuwa pambana uwezeavyo uanzishe hata biashara maana hta walio serikalini Wana njaa sana tu .

Kwahiyo kijana usijionee huruma kuwa huna ajira ya serikali basi maisha yatakuwa magumu sana sio kweli nao ni omba omba .

Mwisho ni serikali iwakumbuke watumishi wa halmashauri wananuka jasho la shida ndiyo maana mleta mada anawanyima Senti zake .

Lakini la zaidi ikiwa hautajali ndugu yangu ,rafiki yangu ,mdogo wangu bwana Liverpool VPN nisaidie namba ya dada wa chunya huyo MD ,Nina Jambo naweza kushare naye katika mambo ya afya
Hahaaaaaa kijana acha hizo,unataka kutumia fursa hiyo adhimu...
 
YESU KRISTO alijaribiwa katika Mambo matatu na ibilisi

1/ NJAA πŸ‘‰geuza jiwe kua mkate

2/UZEMBE/UPUUZI πŸ‘‰ jilushe kwa maana imeandikwa Baba yako atakusaidia

3/TAMAAπŸ‘‰vyote ni vyangu ukinisujudia nitakupa


Na alishinda Yote hakushawishika wala kudanganyika na ibilisi anazungukia hapo hapo kwenye binadamu wa vizazi vyote kwenye NJAA, UZEMBE NA TAMAA


Mahali penye njaa , Pana uzembe na Tamaa πŸ‘‰ penye uzembe pana njaa na tamaa πŸ‘‰ penye TAMAA pana njaa na uzembe


Wakuu MTU mwenye NJAA, UZEMBE/UPUUZI na TAMAA ni HATARI kwake yeye mwenyewe binafsi na kwa jamii na kwa taifa kwa ujumla
 
Ndoa ni kiwanda cha kupata watoto na sio kupendana............

Mapenz ya kwel ni primary school na o level kidogoooooooooooooooooooo sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Mapenz ya chuo....... scumming

Mapenz ya mtaani.... Betting

Mapenz ya ndoa.....scrumb and partion
 
INTRODUCTION:-
Sina mengi, hebu soma hizi screenshots..!!!

SCENARIOS:-

PISI YA KWANZA.
School mate wa Advance PCB,

Nilipost picha Insta nipo nanenane na wateja (waliohudhuria banda letu la maonyesho) nawaelezea fursa mbalimbali.

Wakati nafundisha/naelekeza raia, Afisa Habari wetu akanipiga picha, ile picha nikaipenda na kuipost Insta.

Pisi moja niliyosoma nayo Dar Advance msuli mnene PCB akaiona.
Pisi ipo Chunya, ni MD huko wa kituo cha Afya.
Anataka kuja kuniona ila NITUME NAULI..!!!

View attachment 3064262

Yaani yeye ndio kaiona picha, akanifata PM, akaniuliza kama niko mbeya.

Anahamu ya kuniona, ila nitume nauli aje kukaa siku mbili ..!!
Shida zake ila mimi ndio NIGHARAMIE..!!!

PISI YA PILI.
Hii ni pisi yangu ya miaka hiyo (2020).
Yupo Mbozi, ila tushaachanaga zamani.
Ni PS wa moja wapo ya Idara pale Mbozi Halmashauri.

Anataka kabla sijaondoka Mbeya nimuite aje anione halafu nifanye kama picha inavyosema.

Sasa najiuliza, ""huyu Mnyia tokea 2020 tuachane mpaka leo HANA MUME?""

Anataka kuja kulala nami Mbeya, kwake ataaga vipi??

View attachment 3064264

PISI 3.
Hii ni Pisi ipo Mbeya Mjini.
Hii Pisi inafanya kazi Private company kubwa tu Mbeya.

Wakati wa kukaribia kwa sikukuu za nanenane alinitafuta na kuniuliza kama nakuja nanenane Mbeya.
Nilimwambia nakuja.
Siku mbili kabla ya nanenane nilimwambia nakuja ila hatujalipwa (tulilipwa tokea 27/07).

Kwahiyo nilitengeneza mazingira ya kwamba nakuja ila sina hela..!!
Sababu namjua sanaa tabia zake kwenye hela.

Na tokea nifike Mbeya ""Namkwepa sanaa, maana huyu mngoni ni gold digger balaaa""
Kwahiyo tunaishia kuchat tu..!!!
Sitaki nimuone.

Sasa mimi naishi mbali nae, nimekuja Mbeya kwa kipindi tu ""KWANI HANA MWANA ANAYE MKULA HAPA MBEYA??""

View attachment 3064266

PISI YA 4.
Pisi ya kinyamwanga, ila anaishi Mbeya.

Ni pisi yangu, tulionana 2023 Tunduma boda kwenye msala wa kukamatiwa Appy Pine zangu pale Tunduma Custom.
Na yeye alikuwa na vitenge vyake.
Tulikuwa tunahangaika kuvikomboa, tukaunda team ili kurahisisha jambo.

Baada ya kumchunguza, ni mtumishi wa serikali katika moja ya vyuo vikuu vya serikali Mbeya.

Huyu yeye tokea nifike Mbeya
1. Anataka ajue niko wapi wakati wote
2. Kila nikiwa nakula bata, anataka tuwe wote, yaani kama anilinde/anichunge hivi

Ana mtoto (single maza) anaishi na mwanae.
Wakati nakuja Mbeya, alitaka nifikie kwake ili mtoto anizoeee.

Cha ajabu huwa nakujaga Mbeya mara moja moja sanaa..!!!
Ila anataka kunitawala.

View attachment 3064270

Nilisahahu na hii ...
PISI YA TANO

PISI 5.
Huyu alikuwa baby mama.
Anaishi Chimala.
Mara zote nikija Mbeya nilikuwa najilia tu.
Mwaka jana (2023) mwezi 5 alipost picha kavaa shela kapendeza.

Nikaingia PM, kumuhoji kumbe kafanyiwa Sendoff ila hakunitaarifa.

Alisema ""Si uliniambia wewe huoi, mi naona bora niolewe tu umri unaenda""

Nilimpongeza tukaishia hapo na namba ya simu nikafuta.
Nikamsahau kabisaaaaaa.

Jana kanitafuta baada ya kuona picha yangu INSTA.

Akaniuliza: ""Upo Mbeya, nataka kukuona?""

Sikutaka mengi niliiju nia yake, Nikamjibu: ""Nilikuja Mbeya kuleta wajasiriamali na kuondoka, sikukaaa.""

Akasema: ""Unanidanganya, upo Mbeya nataka tuonane""

Na ni ukweli nipo Mbeya

Nikajibu kwa kumuuliza ""Wewe sasa hivi si mke wa mtu? Siwezi kuwa na uhusiano na wewe, maana ni mali ya mtu na umeolewa ndoa takatifu.""

Cheki alichonijibu??

View attachment 3064280

CONCLUSION.
Bila hata kuficha hawa wote wanauhusiano mwengine.

Na hawa wote wana ajira zao tena asilimia kubwa ni serikalini..!!!
Ila ni full OMBAOMBA kama MATONYA..!!!

Kumbuka:
Mimi nimekuja Mbeya kuhudhuria nanenane tu na ikiisha narudi hukoo ndichi ambapo nitakuwa mbali nao.

Na hawa ndio WAKE ZENU.
Na hawa ndio WAKE ZENU WATARAJIWA.

NDOA TAMUUU.

NB:-
Muogope sanaa
1. X wa mkeo
2. Mchungaji wangu wa mkeo
3. Bodaboda wangu wa mkeo
4. School mate wa mkeo.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Seriously! Mi nirifikili unazungumzia ugumu wa kutafuta fweza na changamoto, kumbe ngono tu,!
Ngono, bia, mpira, starehe, viburudani,
Ndio kila, kitu kwa Genz wa, bongo,
Sasa ungekuwa na mkwwnja kama Benjamin ferndez, boss wa NALA, tena unaishi Newyork, sio makumbusho, si ingekuwa balaa
 
Bora hyo ps namba tano haijaonesha njaa,yeye anataka kitombo tu

Ila hzo zingine mpaka zinatia hasira ni pesa pesa tu,utazan wew hupend pesa zako

Kuna wanawake unakuta mlipotezana muda mrefu na unaona ana dalili za kutaka kitombo lakin akishatanguliza inshu za pesa huwa nawapotezea,kuna wakat hadi huwa nawaza huenda wamebadilisha namna ya kuomba kitombo,labda wanaona wakiomba hela ukiwapa ndo wewe ujiongeze kuomba kitombo
 
INTRODUCTION:-
Sina mengi, hebu soma hizi screenshots..!!!

SCENARIOS:-

PISI YA KWANZA.
School mate wa Advance PCB,

Nilipost picha Insta nipo nanenane na wateja (waliohudhuria banda letu la maonyesho) nawaelezea fursa mbalimbali.

Wakati nafundisha/naelekeza raia, Afisa Habari wetu akanipiga picha, ile picha nikaipenda na kuipost Insta.

Pisi moja niliyosoma nayo Dar Advance msuli mnene PCB akaiona.
Pisi ipo Chunya, ni MD huko wa kituo cha Afya.
Anataka kuja kuniona ila NITUME NAULI..!!!

View attachment 3064262

Yaani yeye ndio kaiona picha, akanifata PM, akaniuliza kama niko mbeya.

Anahamu ya kuniona, ila nitume nauli aje kukaa siku mbili ..!!
Shida zake ila mimi ndio NIGHARAMIE..!!!

PISI YA PILI.
Hii ni pisi yangu ya miaka hiyo (2020).
Yupo Mbozi, ila tushaachanaga zamani.
Ni PS wa moja wapo ya Idara pale Mbozi Halmashauri.

Anataka kabla sijaondoka Mbeya nimuite aje anione halafu nifanye kama picha inavyosema.

Sasa najiuliza, ""huyu Mnyia tokea 2020 tuachane mpaka leo HANA MUME?""

Anataka kuja kulala nami Mbeya, kwake ataaga vipi??

View attachment 3064264

PISI 3.
Hii ni Pisi ipo Mbeya Mjini.
Hii Pisi inafanya kazi Private company kubwa tu Mbeya.

Wakati wa kukaribia kwa sikukuu za nanenane alinitafuta na kuniuliza kama nakuja nanenane Mbeya.
Nilimwambia nakuja.
Siku mbili kabla ya nanenane nilimwambia nakuja ila hatujalipwa (tulilipwa tokea 27/07).

Kwahiyo nilitengeneza mazingira ya kwamba nakuja ila sina hela..!!
Sababu namjua sanaa tabia zake kwenye hela.

Na tokea nifike Mbeya ""Namkwepa sanaa, maana huyu mngoni ni gold digger balaaa""
Kwahiyo tunaishia kuchat tu..!!!
Sitaki nimuone.

Sasa mimi naishi mbali nae, nimekuja Mbeya kwa kipindi tu ""KWANI HANA MWANA ANAYE MKULA HAPA MBEYA??""

View attachment 3064266

PISI YA 4.
Pisi ya kinyamwanga, ila anaishi Mbeya.

Ni pisi yangu, tulionana 2023 Tunduma boda kwenye msala wa kukamatiwa Appy Pine zangu pale Tunduma Custom.
Na yeye alikuwa na vitenge vyake.
Tulikuwa tunahangaika kuvikomboa, tukaunda team ili kurahisisha jambo.

Baada ya kumchunguza, ni mtumishi wa serikali katika moja ya vyuo vikuu vya serikali Mbeya.

Huyu yeye tokea nifike Mbeya
1. Anataka ajue niko wapi wakati wote
2. Kila nikiwa nakula bata, anataka tuwe wote, yaani kama anilinde/anichunge hivi

Ana mtoto (single maza) anaishi na mwanae.
Wakati nakuja Mbeya, alitaka nifikie kwake ili mtoto anizoeee.

Cha ajabu huwa nakujaga Mbeya mara moja moja sanaa..!!!
Ila anataka kunitawala.

View attachment 3064270

Nilisahahu na hii ...
PISI YA TANO

PISI 5.
Huyu alikuwa baby mama.
Anaishi Chimala.
Mara zote nikija Mbeya nilikuwa najilia tu.
Mwaka jana (2023) mwezi 5 alipost picha kavaa shela kapendeza.

Nikaingia PM, kumuhoji kumbe kafanyiwa Sendoff ila hakunitaarifa.

Alisema ""Si uliniambia wewe huoi, mi naona bora niolewe tu umri unaenda""

Nilimpongeza tukaishia hapo na namba ya simu nikafuta.
Nikamsahau kabisaaaaaa.

Jana kanitafuta baada ya kuona picha yangu INSTA.

Akaniuliza: ""Upo Mbeya, nataka kukuona?""

Sikutaka mengi niliiju nia yake, Nikamjibu: ""Nilikuja Mbeya kuleta wajasiriamali na kuondoka, sikukaaa.""

Akasema: ""Unanidanganya, upo Mbeya nataka tuonane""

Na ni ukweli nipo Mbeya

Nikajibu kwa kumuuliza ""Wewe sasa hivi si mke wa mtu? Siwezi kuwa na uhusiano na wewe, maana ni mali ya mtu na umeolewa ndoa takatifu.""

Cheki alichonijibu??

View attachment 3064280

CONCLUSION.
Bila hata kuficha hawa wote wanauhusiano mwengine.

Na hawa wote wana ajira zao tena asilimia kubwa ni serikalini..!!!
Ila ni full OMBAOMBA kama MATONYA..!!!

Kumbuka:
Mimi nimekuja Mbeya kuhudhuria nanenane tu na ikiisha narudi hukoo ndichi ambapo nitakuwa mbali nao.

Na hawa ndio WAKE ZENU.
Na hawa ndio WAKE ZENU WATARAJIWA.

NDOA TAMUUU.

NB:-
Muogope sanaa
1. X wa mkeo
2. Mchungaji wangu wa mkeo
3. Bodaboda wangu wa mkeo
4. School mate wa mkeo.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Haha kama sijakosea wewe jamaa umesoma pandahill
 
Back
Top Bottom