Dunia haina huruma, Vijana tunapitia mengi sanaaa kwenye huu Ulimwengu. Soma hii Mikuki

Dunia haina huruma, Vijana tunapitia mengi sanaaa kwenye huu Ulimwengu. Soma hii Mikuki

Ndoa ni kiwanda cha kupata watoto na sio kupendana............

Mapenz ya kwel ni primary school na o level kidogoooooooooooooooooooo sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Mapenz ya chuo....... scumming

Mapenz ya mtaani.... Betting

Mapenz ya ndoa.....scrumb and partion
Hii comment ngoja nikaiwekee lamination
 
INTRODUCTION:-
Sina mengi, hebu soma hizi screenshots..!!!

SCENARIOS:-

PISI YA KWANZA.
School mate wa Advance PCB,

Nilipost picha Insta nipo nanenane na wateja (waliohudhuria banda letu la maonyesho) nawaelezea fursa mbalimbali.

Wakati nafundisha/naelekeza raia, Afisa Habari wetu akanipiga picha, ile picha nikaipenda na kuipost Insta.

Pisi moja niliyosoma nayo Dar Advance msuli mnene PCB akaiona.
Pisi ipo Chunya, ni MD huko wa kituo cha Afya.
Anataka kuja kuniona ila NITUME NAULI..!!!

View attachment 3064262

Yaani yeye ndio kaiona picha, akanifata PM, akaniuliza kama niko mbeya.

Anahamu ya kuniona, ila nitume nauli aje kukaa siku mbili ..!!
Shida zake ila mimi ndio NIGHARAMIE..!!!

PISI YA PILI.
Hii ni pisi yangu ya miaka hiyo (2020).
Yupo Mbozi, ila tushaachanaga zamani.
Ni PS wa moja wapo ya Idara pale Mbozi Halmashauri.

Anataka kabla sijaondoka Mbeya nimuite aje anione halafu nifanye kama picha inavyosema.

Sasa najiuliza, ""huyu Mnyia tokea 2020 tuachane mpaka leo HANA MUME?""

Anataka kuja kulala nami Mbeya, kwake ataaga vipi??

View attachment 3064264

PISI 3.
Hii ni Pisi ipo Mbeya Mjini.
Hii Pisi inafanya kazi Private company kubwa tu Mbeya.

Wakati wa kukaribia kwa sikukuu za nanenane alinitafuta na kuniuliza kama nakuja nanenane Mbeya.
Nilimwambia nakuja.
Siku mbili kabla ya nanenane nilimwambia nakuja ila hatujalipwa (tulilipwa tokea 27/07).

Kwahiyo nilitengeneza mazingira ya kwamba nakuja ila sina hela..!!
Sababu namjua sanaa tabia zake kwenye hela.

Na tokea nifike Mbeya ""Namkwepa sanaa, maana huyu mngoni ni gold digger balaaa""
Kwahiyo tunaishia kuchat tu..!!!
Sitaki nimuone.

Sasa mimi naishi mbali nae, nimekuja Mbeya kwa kipindi tu ""KWANI HANA MWANA ANAYE MKULA HAPA MBEYA??""

View attachment 3064266

PISI YA 4.
Pisi ya kinyamwanga, ila anaishi Mbeya.

Ni pisi yangu, tulionana 2023 Tunduma boda kwenye msala wa kukamatiwa Appy Pine zangu pale Tunduma Custom.
Na yeye alikuwa na vitenge vyake.
Tulikuwa tunahangaika kuvikomboa, tukaunda team ili kurahisisha jambo.

Baada ya kumchunguza, ni mtumishi wa serikali katika moja ya vyuo vikuu vya serikali Mbeya.

Huyu yeye tokea nifike Mbeya
1. Anataka ajue niko wapi wakati wote
2. Kila nikiwa nakula bata, anataka tuwe wote, yaani kama anilinde/anichunge hivi

Ana mtoto (single maza) anaishi na mwanae.
Wakati nakuja Mbeya, alitaka nifikie kwake ili mtoto anizoeee.

Cha ajabu huwa nakujaga Mbeya mara moja moja sanaa..!!!
Ila anataka kunitawala.

View attachment 3064270

Nilisahahu na hii ...
PISI YA TANO

PISI 5.
Huyu alikuwa baby mama.
Anaishi Chimala.
Mara zote nikija Mbeya nilikuwa najilia tu.
Mwaka jana (2023) mwezi 5 alipost picha kavaa shela kapendeza.

Nikaingia PM, kumuhoji kumbe kafanyiwa Sendoff ila hakunitaarifa.

Alisema ""Si uliniambia wewe huoi, mi naona bora niolewe tu umri unaenda""

Nilimpongeza tukaishia hapo na namba ya simu nikafuta.
Nikamsahau kabisaaaaaa.

Jana kanitafuta baada ya kuona picha yangu INSTA.

Akaniuliza: ""Upo Mbeya, nataka kukuona?""

Sikutaka mengi niliiju nia yake, Nikamjibu: ""Nilikuja Mbeya kuleta wajasiriamali na kuondoka, sikukaaa.""

Akasema: ""Unanidanganya, upo Mbeya nataka tuonane""

Na ni ukweli nipo Mbeya

Nikajibu kwa kumuuliza ""Wewe sasa hivi si mke wa mtu? Siwezi kuwa na uhusiano na wewe, maana ni mali ya mtu na umeolewa ndoa takatifu.""

Cheki alichonijibu??

View attachment 3064280

CONCLUSION.
Bila hata kuficha hawa wote wanauhusiano mwengine.

Na hawa wote wana ajira zao tena asilimia kubwa ni serikalini..!!!
Ila ni full OMBAOMBA kama MATONYA..!!!

Kumbuka:
Mimi nimekuja Mbeya kuhudhuria nanenane tu na ikiisha narudi hukoo ndichi ambapo nitakuwa mbali nao.

Na hawa ndio WAKE ZENU.
Na hawa ndio WAKE ZENU WATARAJIWA.

NDOA TAMUUU.

NB:-
Muogope sanaa
1. X wa mkeo
2. Mchungaji wangu wa mkeo
3. Bodaboda wangu wa mkeo
4. School mate wa mkeo.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Achana na hayo makoloni.
 
INTRODUCTION:-
Sina mengi, hebu soma hizi screenshots..!!!

SCENARIOS:-

PISI YA KWANZA.
School mate wa Advance PCB,

Nilipost picha Insta nipo nanenane na wateja (waliohudhuria banda letu la maonyesho) nawaelezea fursa mbalimbali.

Wakati nafundisha/naelekeza raia, Afisa Habari wetu akanipiga picha, ile picha nikaipenda na kuipost Insta.

Pisi moja niliyosoma nayo Dar Advance msuli mnene PCB akaiona.
Pisi ipo Chunya, ni MD huko wa kituo cha Afya.
Anataka kuja kuniona ila NITUME NAULI..!!!

View attachment 3064262

Yaani yeye ndio kaiona picha, akanifata PM, akaniuliza kama niko mbeya.

Anahamu ya kuniona, ila nitume nauli aje kukaa siku mbili ..!!
Shida zake ila mimi ndio NIGHARAMIE..!!!

PISI YA PILI.
Hii ni pisi yangu ya miaka hiyo (2020).
Yupo Mbozi, ila tushaachanaga zamani.
Ni PS wa moja wapo ya Idara pale Mbozi Halmashauri.

Anataka kabla sijaondoka Mbeya nimuite aje anione halafu nifanye kama picha inavyosema.

Sasa najiuliza, ""huyu Mnyia tokea 2020 tuachane mpaka leo HANA MUME?""

Anataka kuja kulala nami Mbeya, kwake ataaga vipi??

View attachment 3064264

PISI 3.
Hii ni Pisi ipo Mbeya Mjini.
Hii Pisi inafanya kazi Private company kubwa tu Mbeya.

Wakati wa kukaribia kwa sikukuu za nanenane alinitafuta na kuniuliza kama nakuja nanenane Mbeya.
Nilimwambia nakuja.
Siku mbili kabla ya nanenane nilimwambia nakuja ila hatujalipwa (tulilipwa tokea 27/07).

Kwahiyo nilitengeneza mazingira ya kwamba nakuja ila sina hela..!!
Sababu namjua sanaa tabia zake kwenye hela.

Na tokea nifike Mbeya ""Namkwepa sanaa, maana huyu mngoni ni gold digger balaaa""
Kwahiyo tunaishia kuchat tu..!!!
Sitaki nimuone.

Sasa mimi naishi mbali nae, nimekuja Mbeya kwa kipindi tu ""KWANI HANA MWANA ANAYE MKULA HAPA MBEYA??""

View attachment 3064266

PISI YA 4.
Pisi ya kinyamwanga, ila anaishi Mbeya.

Ni pisi yangu, tulionana 2023 Tunduma boda kwenye msala wa kukamatiwa Appy Pine zangu pale Tunduma Custom.
Na yeye alikuwa na vitenge vyake.
Tulikuwa tunahangaika kuvikomboa, tukaunda team ili kurahisisha jambo.

Baada ya kumchunguza, ni mtumishi wa serikali katika moja ya vyuo vikuu vya serikali Mbeya.

Huyu yeye tokea nifike Mbeya
1. Anataka ajue niko wapi wakati wote
2. Kila nikiwa nakula bata, anataka tuwe wote, yaani kama anilinde/anichunge hivi

Ana mtoto (single maza) anaishi na mwanae.
Wakati nakuja Mbeya, alitaka nifikie kwake ili mtoto anizoeee.

Cha ajabu huwa nakujaga Mbeya mara moja moja sanaa..!!!
Ila anataka kunitawala.

View attachment 3064270

Nilisahahu na hii ...
PISI YA TANO

PISI 5.
Huyu alikuwa baby mama.
Anaishi Chimala.
Mara zote nikija Mbeya nilikuwa najilia tu.
Mwaka jana (2023) mwezi 5 alipost picha kavaa shela kapendeza.

Nikaingia PM, kumuhoji kumbe kafanyiwa Sendoff ila hakunitaarifa.

Alisema ""Si uliniambia wewe huoi, mi naona bora niolewe tu umri unaenda""

Nilimpongeza tukaishia hapo na namba ya simu nikafuta.
Nikamsahau kabisaaaaaa.

Jana kanitafuta baada ya kuona picha yangu INSTA.

Akaniuliza: ""Upo Mbeya, nataka kukuona?""

Sikutaka mengi niliiju nia yake, Nikamjibu: ""Nilikuja Mbeya kuleta wajasiriamali na kuondoka, sikukaaa.""

Akasema: ""Unanidanganya, upo Mbeya nataka tuonane""

Na ni ukweli nipo Mbeya

Nikajibu kwa kumuuliza ""Wewe sasa hivi si mke wa mtu? Siwezi kuwa na uhusiano na wewe, maana ni mali ya mtu na umeolewa ndoa takatifu.""

Cheki alichonijibu??

View attachment 3064280

CONCLUSION.
Bila hata kuficha hawa wote wanauhusiano mwengine.

Na hawa wote wana ajira zao tena asilimia kubwa ni serikalini..!!!
Ila ni full OMBAOMBA kama MATONYA..!!!

Kumbuka:
Mimi nimekuja Mbeya kuhudhuria nanenane tu na ikiisha narudi hukoo ndichi ambapo nitakuwa mbali nao.

Na hawa ndio WAKE ZENU.
Na hawa ndio WAKE ZENU WATARAJIWA.

NDOA TAMUUU.

NB:-
Muogope sanaa
1. X wa mkeo
2. Mchungaji wangu wa mkeo
3. Bodaboda wangu wa mkeo
4. School mate wa mkeo.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Mi na wewe tunafanana vitu vingi sana...

1. Kuwa na Mademu wengi (sema Mimi n bahili sana)

2. Shabiki lialia wa Liverpool

3. Shabiki lialia wa Dar Young African

4. Mtu wa bata

Tofauti yangu na wewe nu moja Tu

NIMEKUBALI NDOA [emoji81][emoji1787]
 
Mi na wewe tunafanana vitu vingi sana...

1. Kuwa na Mademu wengi (sema Mimi n bahili sana)

2. Shabiki lialia wa Liverpool

3. Shabiki lialia wa Dar Young African

4. Mtu wa bata

Tofauti yangu na wewe nu moja Tu

NIMEKUBALI NDOA [emoji81][emoji1787]
Umesahau moja ulisoma HKL mimi nilisoma PCB..!!!

#YNWA
 
Ndoa ni kiwanda cha kupata watoto na sio kupendana............

Mapenz ya kwel ni primary school na o level kidogoooooooooooooooooooo sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Mapenz ya chuo....... scumming

Mapenz ya mtaani.... Betting

Mapenz ya ndoa.....scrumb and partion
We mbwa una MASTERS OF SCIENCE NI MAPENZI-OLOGY
Unajua hatari...!!!

To yeye huyu mwamba anafaa kutunzwa sanaaa
Ni HAZINA YA TAIFA.

#YNWA
 
INTRODUCTION:-
Sina mengi, hebu soma hizi screenshots..!!!

SCENARIOS:-

PISI YA KWANZA.
School mate wa Advance PCB,

Nilipost picha Insta nipo nanenane na wateja (waliohudhuria banda letu la maonyesho) nawaelezea fursa mbalimbali.

Wakati nafundisha/naelekeza raia, Afisa Habari wetu akanipiga picha, ile picha nikaipenda na kuipost Insta.

Pisi moja niliyosoma nayo Dar Advance msuli mnene PCB akaiona.
Pisi ipo Chunya, ni MD huko wa kituo cha Afya.
Anataka kuja kuniona ila NITUME NAULI..!!!

View attachment 3064262

Yaani yeye ndio kaiona picha, akanifata PM, akaniuliza kama niko mbeya.

Anahamu ya kuniona, ila nitume nauli aje kukaa siku mbili ..!!
Shida zake ila mimi ndio NIGHARAMIE..!!!

PISI YA PILI.
Hii ni pisi yangu ya miaka hiyo (2020).
Yupo Mbozi, ila tushaachanaga zamani.
Ni PS wa moja wapo ya Idara pale Mbozi Halmashauri.

Anataka kabla sijaondoka Mbeya nimuite aje anione halafu nifanye kama picha inavyosema.

Sasa najiuliza, ""huyu Mnyia tokea 2020 tuachane mpaka leo HANA MUME?""

Anataka kuja kulala nami Mbeya, kwake ataaga vipi??

View attachment 3064264

PISI 3.
Hii ni Pisi ipo Mbeya Mjini.
Hii Pisi inafanya kazi Private company kubwa tu Mbeya.

Wakati wa kukaribia kwa sikukuu za nanenane alinitafuta na kuniuliza kama nakuja nanenane Mbeya.
Nilimwambia nakuja.
Siku mbili kabla ya nanenane nilimwambia nakuja ila hatujalipwa (tulilipwa tokea 27/07).

Kwahiyo nilitengeneza mazingira ya kwamba nakuja ila sina hela..!!
Sababu namjua sanaa tabia zake kwenye hela.

Na tokea nifike Mbeya ""Namkwepa sanaa, maana huyu mngoni ni gold digger balaaa""
Kwahiyo tunaishia kuchat tu..!!!
Sitaki nimuone.

Sasa mimi naishi mbali nae, nimekuja Mbeya kwa kipindi tu ""KWANI HANA MWANA ANAYE MKULA HAPA MBEYA??""

View attachment 3064266

PISI YA 4.
Pisi ya kinyamwanga, ila anaishi Mbeya.

Ni pisi yangu, tulionana 2023 Tunduma boda kwenye msala wa kukamatiwa Appy Pine zangu pale Tunduma Custom.
Na yeye alikuwa na vitenge vyake.
Tulikuwa tunahangaika kuvikomboa, tukaunda team ili kurahisisha jambo.

Baada ya kumchunguza, ni mtumishi wa serikali katika moja ya vyuo vikuu vya serikali Mbeya.

Huyu yeye tokea nifike Mbeya
1. Anataka ajue niko wapi wakati wote
2. Kila nikiwa nakula bata, anataka tuwe wote, yaani kama anilinde/anichunge hivi

Ana mtoto (single maza) anaishi na mwanae.
Wakati nakuja Mbeya, alitaka nifikie kwake ili mtoto anizoeee.

Cha ajabu huwa nakujaga Mbeya mara moja moja sanaa..!!!
Ila anataka kunitawala.

View attachment 3064270

Nilisahahu na hii ...
PISI YA TANO

PISI 5.
Huyu alikuwa baby mama.
Anaishi Chimala.
Mara zote nikija Mbeya nilikuwa najilia tu.
Mwaka jana (2023) mwezi 5 alipost picha kavaa shela kapendeza.

Nikaingia PM, kumuhoji kumbe kafanyiwa Sendoff ila hakunitaarifa.

Alisema ""Si uliniambia wewe huoi, mi naona bora niolewe tu umri unaenda""

Nilimpongeza tukaishia hapo na namba ya simu nikafuta.
Nikamsahau kabisaaaaaa.

Jana kanitafuta baada ya kuona picha yangu INSTA.

Akaniuliza: ""Upo Mbeya, nataka kukuona?""

Sikutaka mengi niliiju nia yake, Nikamjibu: ""Nilikuja Mbeya kuleta wajasiriamali na kuondoka, sikukaaa.""

Akasema: ""Unanidanganya, upo Mbeya nataka tuonane""

Na ni ukweli nipo Mbeya

Nikajibu kwa kumuuliza ""Wewe sasa hivi si mke wa mtu? Siwezi kuwa na uhusiano na wewe, maana ni mali ya mtu na umeolewa ndoa takatifu.""

Cheki alichonijibu??

View attachment 3064280

CONCLUSION.
Bila hata kuficha hawa wote wanauhusiano mwengine.

Na hawa wote wana ajira zao tena asilimia kubwa ni serikalini..!!!
Ila ni full OMBAOMBA kama MATONYA..!!!

Kumbuka:
Mimi nimekuja Mbeya kuhudhuria nanenane tu na ikiisha narudi hukoo ndichi ambapo nitakuwa mbali nao.

Na hawa ndio WAKE ZENU.
Na hawa ndio WAKE ZENU WATARAJIWA.

NDOA TAMUUU.

NB:-
Muogope sanaa
1. X wa mkeo
2. Mchungaji wangu wa mkeo
3. Bodaboda wangu wa mkeo
4. School mate wa mkeo.

#YNWA
#YANGA_BINGWA

...aya
...kabra
...ela

Hao ni wasomi wanaandika hivyo
 
Mkuu hata tukisoma wote na hawawezi kuisha lakini mkuu haibadilishi ukweli kwamba hawa watu wanatofautiana kama ambavyo hata sisi wanaume tuna tofautiana.
Mjomba inaonekana ulivokua na mahusiano nao ulikua unagawa sana pesa aisee.
Yaani ni mmoja tu ndo anataka umnjunje wengine wote wanataka utume muamala...

Mwanangu una pesa kula kula kula tuu 😂😂😂😂🙌🙌🙌

Kuna hii PISI bwana nilikutana nayo 31/07 Rombo Bar juzi nikachukua namba.
Tarehe 02/08 nikaitafuta na kuchat nayo.
Ikaniambia inataka hela ya Nanenane ikafanye shopping, nilimuahidi nitamkupa.

Sasa tokea asubuhi ameniganda, kwamba aje nanenane nimpe hela ye afanye shopping.

Nikaona anakomaa.
Sasa cheki jibu nililomjibu..!!

Screenshot_20240808-122451.jpg


Anaenda kupewa hela guest@Kabwe.

Yaani simjui HANIJUI, Anataka nimpe hela kirahisii kisa nimeomba namba.

#YNWA
#YANGA BINGWA.
 
Back
Top Bottom