Dunia haina huruma, Vijana tunapitia mengi sanaaa kwenye huu Ulimwengu. Soma hii Mikuki

Dunia haina huruma, Vijana tunapitia mengi sanaaa kwenye huu Ulimwengu. Soma hii Mikuki

Sawa tumekuelewa. Ila kuoa tutaoa tu.

Hao shetani wawili, watatu hawawezi kututoa kwenye reli na kuwachafua malaika kibao tunaowajua na tusiowajua.
Ukute huyo unatesema ni malaika,kuna meseji yake hapo kwa mdau,SIRI zinafanya mambo yaonekane sawa.
 
Kuna hii PISI bwana nilikutana nayo 31/07 Rombo Bar juzi nikachukua namba.
Tarehe 02/08 nikaitafuta na kuchat nayo.
Ikaniambia inataka hela ya Nanenane ikafanye shopping, nilimuahidi nitamkupa.

Sasa tokea asubuhi ameniganda, kwamba aje nanenane nimpe hela ye afanye shopping.

Nikaona anakomaa.
Sasa cheki jibu nililomjibu..!!

View attachment 3064492

Anaenda kupewa hela guest@Kabwe.

Yaani simjui HANIJUI, Anataka nimpe hela kirahisii kisa nimeomba namba.

#YNWA
#YANGA BINGWA.
Ety Yanga bingwa daah
 
Kuna hii PISI bwana nilikutana nayo 31/07 Rombo Bar juzi nikachukua namba.
Tarehe 02/08 nikaitafuta na kuchat nayo.
Ikaniambia inataka hela ya Nanenane ikafanye shopping, nilimuahidi nitamkupa.

Sasa tokea asubuhi ameniganda, kwamba aje nanenane nimpe hela ye afanye shopping.

Nikaona anakomaa.
Sasa cheki jibu nililomjibu..!!

View attachment 3064492

Anaenda kupewa hela guest@Kabwe.

Yaani simjui HANIJUI, Anataka nimpe hela kirahisii kisa nimeomba namba.

#YNWA
#YANGA BINGWA.
Mzee unaombwaje hela kama unadaiwa? Yan anakwambia unanipa hela au hunipi? Serious bro? Na unajibu kwa heshima na stara. Anapata wapi audacity ya kuomba kwa style hiyo

Mkuu hawa wanawake unaochat nao naanza kupata picha namna gani wewe ulivyo.
 
INTRODUCTION:-
Sina mengi, hebu soma hizi screenshots..!!!

SCENARIOS:-

PISI YA KWANZA.
School mate wa Advance PCB,

Nilipost picha Insta nipo nanenane na wateja (waliohudhuria banda letu la maonyesho) nawaelezea fursa mbalimbali.

Wakati nafundisha/naelekeza raia, Afisa Habari wetu akanipiga picha, ile picha nikaipenda na kuipost Insta.

Pisi moja niliyosoma nayo Dar Advance msuli mnene PCB akaiona.
Pisi ipo Chunya, ni MD huko wa kituo cha Afya.
Anataka kuja kuniona ila NITUME NAULI..!!!

View attachment 3064262

Yaani yeye ndio kaiona picha, akanifata PM, akaniuliza kama niko mbeya.

Anahamu ya kuniona, ila nitume nauli aje kukaa siku mbili ..!!
Shida zake ila mimi ndio NIGHARAMIE..!!!

PISI YA PILI.
Hii ni pisi yangu ya miaka hiyo (2020).
Yupo Mbozi, ila tushaachanaga zamani.
Ni PS wa moja wapo ya Idara pale Mbozi Halmashauri.

Anataka kabla sijaondoka Mbeya nimuite aje anione halafu nifanye kama picha inavyosema.

Sasa najiuliza, ""huyu Mnyia tokea 2020 tuachane mpaka leo HANA MUME?""

Anataka kuja kulala nami Mbeya, kwake ataaga vipi??

View attachment 3064264

PISI 3.
Hii ni Pisi ipo Mbeya Mjini.
Hii Pisi inafanya kazi Private company kubwa tu Mbeya.

Wakati wa kukaribia kwa sikukuu za nanenane alinitafuta na kuniuliza kama nakuja nanenane Mbeya.
Nilimwambia nakuja.
Siku mbili kabla ya nanenane nilimwambia nakuja ila hatujalipwa (tulilipwa tokea 27/07).

Kwahiyo nilitengeneza mazingira ya kwamba nakuja ila sina hela..!!
Sababu namjua sanaa tabia zake kwenye hela.

Na tokea nifike Mbeya ""Namkwepa sanaa, maana huyu mngoni ni gold digger balaaa""
Kwahiyo tunaishia kuchat tu..!!!
Sitaki nimuone.

Sasa mimi naishi mbali nae, nimekuja Mbeya kwa kipindi tu ""KWANI HANA MWANA ANAYE MKULA HAPA MBEYA??""

View attachment 3064266

PISI YA 4.
Pisi ya kinyamwanga, ila anaishi Mbeya.

Ni pisi yangu, tulionana 2023 Tunduma boda kwenye msala wa kukamatiwa Appy Pine zangu pale Tunduma Custom.
Na yeye alikuwa na vitenge vyake.
Tulikuwa tunahangaika kuvikomboa, tukaunda team ili kurahisisha jambo.

Baada ya kumchunguza, ni mtumishi wa serikali katika moja ya vyuo vikuu vya serikali Mbeya.

Huyu yeye tokea nifike Mbeya
1. Anataka ajue niko wapi wakati wote
2. Kila nikiwa nakula bata, anataka tuwe wote, yaani kama anilinde/anichunge hivi

Ana mtoto (single maza) anaishi na mwanae.
Wakati nakuja Mbeya, alitaka nifikie kwake ili mtoto anizoeee.

Cha ajabu huwa nakujaga Mbeya mara moja moja sanaa..!!!
Ila anataka kunitawala.

View attachment 3064270

Nilisahahu na hii ...
PISI YA TANO

PISI 5.
Huyu alikuwa baby mama.
Anaishi Chimala.
Mara zote nikija Mbeya nilikuwa najilia tu.
Mwaka jana (2023) mwezi 5 alipost picha kavaa shela kapendeza.

Nikaingia PM, kumuhoji kumbe kafanyiwa Sendoff ila hakunitaarifa.

Alisema ""Si uliniambia wewe huoi, mi naona bora niolewe tu umri unaenda""

Nilimpongeza tukaishia hapo na namba ya simu nikafuta.
Nikamsahau kabisaaaaaa.

Jana kanitafuta baada ya kuona picha yangu INSTA.

Akaniuliza: ""Upo Mbeya, nataka kukuona?""

Sikutaka mengi niliiju nia yake, Nikamjibu: ""Nilikuja Mbeya kuleta wajasiriamali na kuondoka, sikukaaa.""

Akasema: ""Unanidanganya, upo Mbeya nataka tuonane""

Na ni ukweli nipo Mbeya

Nikajibu kwa kumuuliza ""Wewe sasa hivi si mke wa mtu? Siwezi kuwa na uhusiano na wewe, maana ni mali ya mtu na umeolewa ndoa takatifu.""

Cheki alichonijibu??

View attachment 3064280

CONCLUSION.
Bila hata kuficha hawa wote wanauhusiano mwengine.

Na hawa wote wana ajira zao tena asilimia kubwa ni serikalini..!!!
Ila ni full OMBAOMBA kama MATONYA..!!!

Kumbuka:
Mimi nimekuja Mbeya kuhudhuria nanenane tu na ikiisha narudi hukoo ndichi ambapo nitakuwa mbali nao.

Na hawa ndio WAKE ZENU.
Na hawa ndio WAKE ZENU WATARAJIWA.

NDOA TAMUUU.

NB:-
Muogope sanaa
1. X wa mkeo
2. Mchungaji wangu wa mkeo
3. Bodaboda wangu wa mkeo
4. School mate wa mkeo.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Ukitaka kuishi kwa Amani kuwa na mentality ya kwamba mkeo ni mwanadamu mwenzako ambaye mnaishi naye pamoja ila sio wako pekeako. Akipigwa poa na asipopigwa mshukuru Mungu
 
Mzee unaombwaje hela kama unadaiwa? Yan anakwambia unanipa hela au hunipi? Serious bro? Na unajibu kwa heshima na stara. Anapata wapi audacity ya kuomba kwa style hiyo

Mkuu hawa wanawake unaochat nao naanza kupata picha namna gani wewe ulivyo.
Nacheza na mentality yake.
Nachotaka ni mbuny(e).

Huyu mi simjui, nilionana nae 31/07 Hukuhuku Mbeya.

Na-act mpole na viticm ili aingie line.

Akishaliwa na HABARI ITAISHIA HAPO.

NB:-
Nakushauri jifunze kucheza na akili zao.

#YNWA
 
Akili zao tunacheza nao na bado hawezi niamrisha kwa lolote. Hela nitoe na bado aniambie natuma au situmi? Bruh thats insane
Mimi ni bahili hasaa kuhonga, nina ndoto kubwa sanaaa.

Akiondoka na hela nyingiii ni 10k hapo kajitahidi kunipa mauno ya haja.

Play your game, let me play mine

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
INTRODUCTION:-
Sina mengi, hebu soma hizi screenshots..!!!

SCENARIOS:-

PISI YA KWANZA.
School mate wa Advance PCB,

Nilipost picha Insta nipo nanenane na wateja (waliohudhuria banda letu la maonyesho) nawaelezea fursa mbalimbali.

Wakati nafundisha/naelekeza raia, Afisa Habari wetu akanipiga picha, ile picha nikaipenda na kuipost Insta.

Pisi moja niliyosoma nayo Dar Advance msuli mnene PCB akaiona.
Pisi ipo Chunya, ni MD huko wa kituo cha Afya.
Anataka kuja kuniona ila NITUME NAULI..!!!

View attachment 3064262

Yaani yeye ndio kaiona picha, akanifata PM, akaniuliza kama niko mbeya.

Anahamu ya kuniona, ila nitume nauli aje kukaa siku mbili ..!!
Shida zake ila mimi ndio NIGHARAMIE..!!!

PISI YA PILI.
Hii ni pisi yangu ya miaka hiyo (2020).
Yupo Mbozi, ila tushaachanaga zamani.
Ni PS wa moja wapo ya Idara pale Mbozi Halmashauri.

Anataka kabla sijaondoka Mbeya nimuite aje anione halafu nifanye kama picha inavyosema.

Sasa najiuliza, ""huyu Mnyia tokea 2020 tuachane mpaka leo HANA MUME?""

Anataka kuja kulala nami Mbeya, kwake ataaga vipi??

View attachment 3064264

PISI 3.
Hii ni Pisi ipo Mbeya Mjini.
Hii Pisi inafanya kazi Private company kubwa tu Mbeya.

Wakati wa kukaribia kwa sikukuu za nanenane alinitafuta na kuniuliza kama nakuja nanenane Mbeya.
Nilimwambia nakuja.
Siku mbili kabla ya nanenane nilimwambia nakuja ila hatujalipwa (tulilipwa tokea 27/07).

Kwahiyo nilitengeneza mazingira ya kwamba nakuja ila sina hela..!!
Sababu namjua sanaa tabia zake kwenye hela.

Na tokea nifike Mbeya ""Namkwepa sanaa, maana huyu mngoni ni gold digger balaaa""
Kwahiyo tunaishia kuchat tu..!!!
Sitaki nimuone.

Sasa mimi naishi mbali nae, nimekuja Mbeya kwa kipindi tu ""KWANI HANA MWANA ANAYE MKULA HAPA MBEYA??""

View attachment 3064266

PISI YA 4.
Pisi ya kinyamwanga, ila anaishi Mbeya.

Ni pisi yangu, tulionana 2023 Tunduma boda kwenye msala wa kukamatiwa Appy Pine zangu pale Tunduma Custom.
Na yeye alikuwa na vitenge vyake.
Tulikuwa tunahangaika kuvikomboa, tukaunda team ili kurahisisha jambo.

Baada ya kumchunguza, ni mtumishi wa serikali katika moja ya vyuo vikuu vya serikali Mbeya.

Huyu yeye tokea nifike Mbeya
1. Anataka ajue niko wapi wakati wote
2. Kila nikiwa nakula bata, anataka tuwe wote, yaani kama anilinde/anichunge hivi

Ana mtoto (single maza) anaishi na mwanae.
Wakati nakuja Mbeya, alitaka nifikie kwake ili mtoto anizoeee.

Cha ajabu huwa nakujaga Mbeya mara moja moja sanaa..!!!
Ila anataka kunitawala.

View attachment 3064270

Nilisahahu na hii ...
PISI YA TANO

PISI 5.
Huyu alikuwa baby mama.
Anaishi Chimala.
Mara zote nikija Mbeya nilikuwa najilia tu.
Mwaka jana (2023) mwezi 5 alipost picha kavaa shela kapendeza.

Nikaingia PM, kumuhoji kumbe kafanyiwa Sendoff ila hakunitaarifa.

Alisema ""Si uliniambia wewe huoi, mi naona bora niolewe tu umri unaenda""

Nilimpongeza tukaishia hapo na namba ya simu nikafuta.
Nikamsahau kabisaaaaaa.

Jana kanitafuta baada ya kuona picha yangu INSTA.

Akaniuliza: ""Upo Mbeya, nataka kukuona?""

Sikutaka mengi niliiju nia yake, Nikamjibu: ""Nilikuja Mbeya kuleta wajasiriamali na kuondoka, sikukaaa.""

Akasema: ""Unanidanganya, upo Mbeya nataka tuonane""

Na ni ukweli nipo Mbeya

Nikajibu kwa kumuuliza ""Wewe sasa hivi si mke wa mtu? Siwezi kuwa na uhusiano na wewe, maana ni mali ya mtu na umeolewa ndoa takatifu.""

Cheki alichonijibu??

View attachment 3064280

CONCLUSION.
Bila hata kuficha hawa wote wanauhusiano mwengine.

Na hawa wote wana ajira zao tena asilimia kubwa ni serikalini..!!!
Ila ni full OMBAOMBA kama MATONYA..!!!

Kumbuka:
Mimi nimekuja Mbeya kuhudhuria nanenane tu na ikiisha narudi hukoo ndichi ambapo nitakuwa mbali nao.

Na hawa ndio WAKE ZENU.
Na hawa ndio WAKE ZENU WATARAJIWA.

NDOA TAMUUU.

NB:-
Muogope sanaa
1. X wa mkeo
2. Mchungaji wangu wa mkeo
3. Bodaboda wangu wa mkeo
4. School mate wa mkeo.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Nimesikitishwa sana hili
 
INTRODUCTION:-
Sina mengi, hebu soma hizi screenshots..!!!

SCENARIOS:-

PISI YA KWANZA.
School mate wa Advance PCB,

Nilipost picha Insta nipo nanenane na wateja (waliohudhuria banda letu la maonyesho) nawaelezea fursa mbalimbali.

Wakati nafundisha/naelekeza raia, Afisa Habari wetu akanipiga picha, ile picha nikaipenda na kuipost Insta.

Pisi moja niliyosoma nayo Dar Advance msuli mnene PCB akaiona.
Pisi ipo Chunya, ni MD huko wa kituo cha Afya.
Anataka kuja kuniona ila NITUME NAULI..!!!

View attachment 3064262

Yaani yeye ndio kaiona picha, akanifata PM, akaniuliza kama niko mbeya.

Anahamu ya kuniona, ila nitume nauli aje kukaa siku mbili ..!!
Shida zake ila mimi ndio NIGHARAMIE..!!!

PISI YA PILI.
Hii ni pisi yangu ya miaka hiyo (2020).
Yupo Mbozi, ila tushaachanaga zamani.
Ni PS wa moja wapo ya Idara pale Mbozi Halmashauri.

Anataka kabla sijaondoka Mbeya nimuite aje anione halafu nifanye kama picha inavyosema.

Sasa najiuliza, ""huyu Mnyia tokea 2020 tuachane mpaka leo HANA MUME?""

Anataka kuja kulala nami Mbeya, kwake ataaga vipi??

View attachment 3064264

PISI 3.
Hii ni Pisi ipo Mbeya Mjini.
Hii Pisi inafanya kazi Private company kubwa tu Mbeya.

Wakati wa kukaribia kwa sikukuu za nanenane alinitafuta na kuniuliza kama nakuja nanenane Mbeya.
Nilimwambia nakuja.
Siku mbili kabla ya nanenane nilimwambia nakuja ila hatujalipwa (tulilipwa tokea 27/07).

Kwahiyo nilitengeneza mazingira ya kwamba nakuja ila sina hela..!!
Sababu namjua sanaa tabia zake kwenye hela.

Na tokea nifike Mbeya ""Namkwepa sanaa, maana huyu mngoni ni gold digger balaaa""
Kwahiyo tunaishia kuchat tu..!!!
Sitaki nimuone.

Sasa mimi naishi mbali nae, nimekuja Mbeya kwa kipindi tu ""KWANI HANA MWANA ANAYE MKULA HAPA MBEYA??""

View attachment 3064266

PISI YA 4.
Pisi ya kinyamwanga, ila anaishi Mbeya.

Ni pisi yangu, tulionana 2023 Tunduma boda kwenye msala wa kukamatiwa Appy Pine zangu pale Tunduma Custom.
Na yeye alikuwa na vitenge vyake.
Tulikuwa tunahangaika kuvikomboa, tukaunda team ili kurahisisha jambo.

Baada ya kumchunguza, ni mtumishi wa serikali katika moja ya vyuo vikuu vya serikali Mbeya.

Huyu yeye tokea nifike Mbeya
1. Anataka ajue niko wapi wakati wote
2. Kila nikiwa nakula bata, anataka tuwe wote, yaani kama anilinde/anichunge hivi

Ana mtoto (single maza) anaishi na mwanae.
Wakati nakuja Mbeya, alitaka nifikie kwake ili mtoto anizoeee.

Cha ajabu huwa nakujaga Mbeya mara moja moja sanaa..!!!
Ila anataka kunitawala.

View attachment 3064270

Nilisahahu na hii ...
PISI YA TANO

PISI 5.
Huyu alikuwa baby mama.
Anaishi Chimala.
Mara zote nikija Mbeya nilikuwa najilia tu.
Mwaka jana (2023) mwezi 5 alipost picha kavaa shela kapendeza.

Nikaingia PM, kumuhoji kumbe kafanyiwa Sendoff ila hakunitaarifa.

Alisema ""Si uliniambia wewe huoi, mi naona bora niolewe tu umri unaenda""

Nilimpongeza tukaishia hapo na namba ya simu nikafuta.
Nikamsahau kabisaaaaaa.

Jana kanitafuta baada ya kuona picha yangu INSTA.

Akaniuliza: ""Upo Mbeya, nataka kukuona?""

Sikutaka mengi niliiju nia yake, Nikamjibu: ""Nilikuja Mbeya kuleta wajasiriamali na kuondoka, sikukaaa.""

Akasema: ""Unanidanganya, upo Mbeya nataka tuonane""

Na ni ukweli nipo Mbeya

Nikajibu kwa kumuuliza ""Wewe sasa hivi si mke wa mtu? Siwezi kuwa na uhusiano na wewe, maana ni mali ya mtu na umeolewa ndoa takatifu.""

Cheki alichonijibu??

View attachment 3064280

CONCLUSION.
Bila hata kuficha hawa wote wanauhusiano mwengine.

Na hawa wote wana ajira zao tena asilimia kubwa ni serikalini..!!!
Ila ni full OMBAOMBA kama MATONYA..!!!

Kumbuka:
Mimi nimekuja Mbeya kuhudhuria nanenane tu na ikiisha narudi hukoo ndichi ambapo nitakuwa mbali nao.

Na hawa ndio WAKE ZENU.
Na hawa ndio WAKE ZENU WATARAJIWA.

NDOA TAMUUU.

NB:-
Muogope sanaa
1. X wa mkeo
2. Mchungaji wangu wa mkeo
3. Bodaboda wangu wa mkeo
4. School mate wa mkeo.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Hatari Sana
 
Back
Top Bottom