Dunia haina huruma, Vijana tunapitia mengi sanaaa kwenye huu Ulimwengu. Soma hii Mikuki


Daah wew jamaa umefanya niimbe hii nyimbo halafu naipendaa mno ubarikiwe [emoji120]
 
Kwanza kabisa nikupongeze kwa kuweza kuikwepa hiyo mikuki kishundu lakini zaidi ,hii habari yako inatuma ujumbe serikalini na kwa vijana wasaka ajira kuwa pambana uwezeavyo uanzishe hata biashara maana hta walio serikalini Wana njaa sana tu .

Kwahiyo kijana usijionee huruma kuwa huna ajira ya serikali basi maisha yatakuwa magumu sana sio kweli nao ni omba omba .

Mwisho ni serikali iwakumbuke watumishi wa halmashauri wananuka jasho la shida ndiyo maana mleta mada anawanyima Senti zake .

Lakini la zaidi ikiwa hautajali ndugu yangu ,rafiki yangu ,mdogo wangu bwana Liverpool VPN nisaidie namba ya dada wa chunya huyo MD ,Nina Jambo naweza kushare naye katika mambo ya afya
 
Noma
 
Wacha nikae kimya
 
Hahaaaaaa kijana acha hizo,unataka kutumia fursa hiyo adhimu...
 
YESU KRISTO alijaribiwa katika Mambo matatu na ibilisi

1/ NJAA πŸ‘‰geuza jiwe kua mkate

2/UZEMBE/UPUUZI πŸ‘‰ jilushe kwa maana imeandikwa Baba yako atakusaidia

3/TAMAAπŸ‘‰vyote ni vyangu ukinisujudia nitakupa


Na alishinda Yote hakushawishika wala kudanganyika na ibilisi anazungukia hapo hapo kwenye binadamu wa vizazi vyote kwenye NJAA, UZEMBE NA TAMAA


Mahali penye njaa , Pana uzembe na Tamaa πŸ‘‰ penye uzembe pana njaa na tamaa πŸ‘‰ penye TAMAA pana njaa na uzembe


Wakuu MTU mwenye NJAA, UZEMBE/UPUUZI na TAMAA ni HATARI kwake yeye mwenyewe binafsi na kwa jamii na kwa taifa kwa ujumla
 
Ndoa ni kiwanda cha kupata watoto na sio kupendana............

Mapenz ya kwel ni primary school na o level kidogoooooooooooooooooooo sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Mapenz ya chuo....... scumming

Mapenz ya mtaani.... Betting

Mapenz ya ndoa.....scrumb and partion
 
Seriously! Mi nirifikili unazungumzia ugumu wa kutafuta fweza na changamoto, kumbe ngono tu,!
Ngono, bia, mpira, starehe, viburudani,
Ndio kila, kitu kwa Genz wa, bongo,
Sasa ungekuwa na mkwwnja kama Benjamin ferndez, boss wa NALA, tena unaishi Newyork, sio makumbusho, si ingekuwa balaa
 
Bora hyo ps namba tano haijaonesha njaa,yeye anataka kitombo tu

Ila hzo zingine mpaka zinatia hasira ni pesa pesa tu,utazan wew hupend pesa zako

Kuna wanawake unakuta mlipotezana muda mrefu na unaona ana dalili za kutaka kitombo lakin akishatanguliza inshu za pesa huwa nawapotezea,kuna wakat hadi huwa nawaza huenda wamebadilisha namna ya kuomba kitombo,labda wanaona wakiomba hela ukiwapa ndo wewe ujiongeze kuomba kitombo
 
Haha kama sijakosea wewe jamaa umesoma pandahill
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…