Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Sasa hao waliotoa taarifa wewe mlaji ulizila kupitia nini si hizo hizo media mzee au ulizilaje?Hapana mkuu; Vita ipo na inaendelea kwani wahusika wamesema hayo wao wenyewe i.e. From the Horse's mouth. Sasa hawa watoa taarifa (Media) ya ni nini kinaendelea ndo shida.
Wewe ni mpalestina,muirani,mlebanoni au ni muathirika tu wa ukoloni wa kiarabu?Dunia iwazuie hawa mayahudi. Wameua yena Kamanda Mwandamizi (Senior Commander) wa Hezbollah huko Lebanon.
Jamaa wanapiga kila sehemu hawa Waisrael nashindwa waelewa. Wanaenda piga kuua maadui hadi nchi nyingine? Dunia inaangalia tu. Ni nini hiki jamani? Hali ni mbaya kwa sasa jamaa wameamua kupiga kila anapoonekana adui. Nauliza ni suala la mateka tu au jingine? Mbona ni kama wana hasira sana? Russia na China ingilieni please. Iran unasubiri nini wewe Taifa kubwa?
Hawa Mayazuni wameyatimba sasa.... Nakuambia watakwisha. Makafir hawa wanatunyanya hivi? Hatutaacha kupambana nao kwenye mitandao mpaka nao waishe.
Ritz Malaria 2 ChoiceVariable tusikate tamaa ndugu zanguni. Nasi tulipize humu JF tusiwaache wenzetu ukiwa. Mpaka makafir waombe poooh.
====
A senior Hezbollah commander was killed in an Israeli drone strike on his car in southern Lebanon, a Lebanese security source told CNN on Monday, as fears of a wider regional conflict escalate.
The official, Wissam Tawil, is the most senior member of the Shiite militant group to be killed in an Israeli strike since Hezbollah and Israel began trading fire across the Lebanese-Israeli border on October 8, the day after Hamas carried out the deadliest terror attack in Israel’s history.
In a statement, Hezbollah also acknowledged the death of Tawil, who also went by the nom de guerre Hajj Jawad, in an Israeli attack. The paramilitary group shared pictures of him alongside other top Hezbollah officials and Qasem Soleimani, the former commander of the Iranian elite unit that handles the country’s overseas operations who was killed in a US airstrike fouryears ago, an apparent indication of Tawil’s stature.
Israel later claimed responsibility for Tawil’s death. “As for the hit in south Lebanon, we did take responsibility,” Israel’s foreign minister Israel Katz said in an interview with Israel’s Channel 14, “This is part of our war.”
“We are targeting Hezbollah’s people, the infrastructure, the systems they managed to put in place in order to deter Israel,” Katz said.
“We make them pay a price; we did not set a goal to thwart 150,000 missiles. We set a goal to restore security to the residents of the north, to restore security to the residents of the south and to the state of Israel,” the minister said.
CCN
Tuko pamoja mkuu.Sasa hao waliotoa taarifa wewe mlaji ulizila kupitia nini si hizo hizo media mzee au ulizilaje?
Kwenye media ukweli upo ila uongo upo sana hasa kwenye suala la vita
Inatakiwa ufanye mchujo sana kupata taarifa sahihi
Mchujo unaufanyaje ama unaupataje unapitia vyombo ama media zaidi ya moja za mirengo yote west east na ambavyo vipo haviegemei popote
Naelewa hofu na mashaka yako pia naungana nayo
duniani watu wabishi hawaishagi mzeeWataisha Kweli Subili Mpaka Desember ndo Utajua Ujui Watu Wapo Serious na Kutoa Roho za Mnyazi
Ni Kweli Wabishi Hawaishi lakini hawadumu Bora Uwe Mpole Uzeeke Na Amaniduniani watu wabishi hawaishagi mzee
Endeleeni kujifariji na ujinga wakati wenzenu huko Palestina wanapukutika kama nzige. Viongozi wa magaidi wanauawawa kila leo, halafu utegemee kuna uhai wa hivyo vikundi vya kigaidi kweli?Wao wanaua mtu mmoja Hizbullah wenzao wanakunja kambi nzima
Halaf idadi wanawaachieni wenyewe mkitoa msitoe shauri zenu
Huyo amejificha kama kunguniIsrael watakuwa hawafanyi chochote kama hawatamwondoa mtu anayeitwa Hassan Nasrallah kinara wa kundi la kigaidi la Hamas maanake ndio gaidi mkuu.
Imeandikwa( nitampiga mchungaji na kondoo watatawanyika)Wao wanaua mtu mmoja Hizbullah wenzao wanakunja kambi nzima
Halaf idadi wanawaachieni wenyewe mkitoa msitoe shauri zenu
Mitandaoni huko wanasema wamelipiza kwa kupiga idf northern command headquarter hao hizbullah wanaguts wao wakipiga individuals wao wanafumua structure ya jeshi na mifumo yake ili kikiwaka waanze kutafutana
Suluhisho ni amani dialogue hizi piga nikupige zinafanya idf izoelekee na kuonekana si chochote si lolote wao akina Netanyahu na usa wakaombe pooh kwa wairan wazungumze wasitishie usalama wa existence ya islamic govt ya wairan hapo ndio wataenjoy peace middle east la sivyo itakuwa kuwindana kila siku piga nikupige.
Tofauti ya hebollah, Hamas na Israel ni kuwa Israel imewekeza kulinda raia wake lakini Hezbollah na Hamas wanawatumia raia kama kingaLile jengo walilokua wanafugia kuku
Uzuri nikwamba hakuna siku kambi za mazayuni na marekani zinapigwa zikaua watu
Siku zote hua zinaharibu majengo tu kwahio acha tu Hizbullah waendelee kuyaharibu hayo hayo majengo sio mbaya wala nini
Kama yanaharibu majengo tu waregesheni wale wazayuni kule kaskazini walipo hama msiwarundike sehem moja kama nyanya
Kila muisrael kapitia mafunzo ya kijeshiusimkadilie mwarabu
Ivi watu wanavyosema Israel mtoa roho mnafikiri walikuwa wanamaanisha nini
Dunia iwe inaingilia kati kwa usawa yanapotokea kwa wayahudi na Gaza
Leo ni siku ngumu sana kwa IDF huko Gaza. Wamekufa zaidi ya askari 100
Kiukweli hii vita kwa upande wa Israeli imekua ngumu sanaa tangu kuanza kwa ground invasion. Siku ya leo ni katika siku ngumu sanaa IDF wamepoteza wanajeshi zaidi ya 100 katika shambulio la ghafla wakijiandaa kufunga mizigo kurudi Nyumbani. Al qassam brigade siku hii ya leo pia wameipiga Tel...www.jamiiforums.com
Hio nidhamu ya uoga tunayo mimi na wewe mzeeeNi Kweli Wabishi Hawaishi lakini hawadumu Bora Uwe Mpole Uzeeke Na Amani
Endelea kuimba imba taarab jiulize muasisi wa hamas yuko wapi halaf baada ya kufa yeye hamas leo iko wapiEndeleeni kujifariji na ujinga wakati wenzenu huko Palestina wanapukutika kama nzige. Viongozi wa magaidi wanauawawa kila leo, halafu utegemee kuna uhai wa hivyo vikundi vya kigaidi kweli?
😂🤣Yaani uchokoze halafu utegemee dunia iingilie kwa usawa , usawa upi pale , I feel sorry for children and innocent people of Gaza , Hamas wamewaponza !
Wakat huo wewe upo zako kwenye kibod nenda kawasaidie wazayuni wenzako ila ubaya nikwamba hata mshirikiane dunia nzima kama mfanyavyo sasaMaliza magaidi yote ya kiislamu.
Kama wangekua wanaweza kulinda raia wake wangeenda kuwaokoa kwanza magaidi wao waliotekwaTofauti ya hebollah, Hamas na Israel ni kuwa Israel imewekeza kulinda raia wake lakini Hezbollah na Hamas wanawatumia raia kama kinga