Dunia iingilie kati, wameua tena Kamanda wa Hezbollah Lebanon

Sasa kama waisrael wanaendelea kufa Kwa wingi mbona mnawalalamikia vita waisitishe?🤣🤣
 
ngoja wavunje miguu yake kwanza ikifika kichwa bas kujirud kama zaman inakuwa ngumu
Israel wanamsemo wao "WE NEVER FORGET" wakimaanisha HATUSAHAU
mkuu huyo jamaa ni suala la muda tu🤣🤣🤣
 
Ardhi ya watu ni ipi? Kwani Palestine ilishawahi kuwepo mbona hata Quran hakuna sehemu imelitaja taifa la wapalestina ila Israel imetajwa kwenye Quran sasa sijui huwa ni ardhi ipi ya wapalestina huwa mnadai labda Gaza ndio saizi yao
Unaiamini qur an?
 
Humu mlituambia Israel inawaogopa Hezbollah kama ukoma Leo Hezbollah wanatandikwa kila uchwao na viongozi wao wa ngazi za juu wauawa lakini hatuoni jibu LA maana zaidi ya kurusha vijiroketi na kuharibu majengo[emoji23][emoji23][emoji23].
Kama huoni itakua umekua kipofu kijana hayo majengo yanafugiwa kuku?
 
Mbona wapo hapo Gaza wanaendelea kuigeuza Gaza kuwa majivu na kuteka maeneo ya Hamas na kuuawa viongozi Hamas phase 3 ndio tutawaokoa mateka tunajua wapo nje ya Gaza
Kwani mna fesi ngapi[emoji1787]
Mateka wapo nje ya ghaza tena mara moja hiii
Endeleeni kubet hivyo hivyo
 
Sidhanii kama israhell kama walikua wanatafuta sababu

Israhell chini ya mama ake uk na ant yake us akiamua kufanya anafanya tuuu
Ili kuepuka lawama lazima apate sababu.

Na kashaipata sasa ni kutembeza kipigo tu.
 
Ili kuepuka lawama lazima apate sababu.

Na kashaipata sasa ni kutembeza kipigo tu.
Israhell haiogopi lawama kudhania israhell inaogopa lawama nikujidanganya

Kama wanaambiwa waruhusu chakula kiingie wanagoma itakua hio sababu ya kuwapiga
 
Unaongea kishambenga
 
Hiyo ndio intelijensia katika ubora wake, ukiona kamanda mkubwa anauliwa,ujue kuna intelijensia kubwa imefanyika kujua mienendo yake, hapo utakuta, Mpishi wake, au, baadhi ya walinzi, wake, ni maspy wa Mossad, au utakuta yule kiongozi wao mkubwa anayevaa vilemba na madela, ndio spy wa mossad,
 
Mtu kajishibia ugali wa mlenda huko maeneo ya kwa Tumbo, anatoa ushauri wa kivita kwa Israeli.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Israeli hatangazi idadi ila wewe unaijua, hoja nyingine vichekesho.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…