Dunia ijiandae kushuhudia kile kitakachompata Israel -Tehran

Iran imetangaza kupitia stesheni ya chaneli 3 iliyopo mjini Tehran ya kuwa masaa machache yajayo ulimwengu ujiandae kushuhudia jambo kubwa la kihistoria.
Aliyekuwa Raisi wa Russia Medvedev anasema vita ndo njia pekee ya kuleta amani mashariki ya kati.
 

Attachments

  • Screenshot_20240801-173648.png
    386.2 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240801-173607.png
    213.6 KB · Views: 1
Iran ilipigana na Iraq ya Saddam Hussein miaka 10 na hawakushinda, sasa wamvae muisrael watafutika kabisa.
dogo we nani anaye kuambia Iraq pia ilishinda 😄 Iran wakati anapigana na Iraq alikuwa hana hata missiles au ndege za kivita za mana. Iran wakati anapigana na Iraq nchi zote za kiarabu zilikuwa zinamsaidia Iraq+America na Western. Fatilia hio story ni UN ndio walio ingilia kusimamisha hio vita na Iran ndio alikuwa hataki kusimamisha vita sio Iraq.

Aliye anzisha vita akawa yeye ndiye mwenye kuomba vita isimame.

Iran ni level ingine we sio huyo bwege ni jina tu Israel lakini hana uamuzi bila amri za baba zake UK na US.
 
Iran imetangaza kupitia stesheni ya chaneli 3 iliyopo mjini Tehran ya kuwa masaa machache yajayo ulimwengu ujiandae kushuhudia jambo kubwa la kihistoria.
Marekani imeshapeleka meli vita 12 na meli kubwa yenye shehena ya ndege vita na askari wa ndege vita 4000 kutoa onyo kwa iran na washirika wake baadaye tena marekani kaongeza meli nyingine ya Abrahamu licon na ndege zingine na kikosi cha nyongeza na meli za ubaribifu (destroyer) zenye mfumo wa kujikinga na mashambulizi ya balstic ya iran kwa ajili ya kuilinda israel
 
Unajichanganya sana, mara Iran maneno mengi ya kutishia mara wasije kuomba msaada baada ya kujitutumua.

Iran asijaribu kucheza na moto, ma-ayatollah na majenerali wa jeshi legelege la IRG wataikimbia Tehran kwenda mafichoni kwa kipigo kikali hadi maandamano ya raia mitaani kupata sababu ya kuwalaani viongozi wao kutokana na hali ngumu zaidi ya maisha itakayowapata kuliko ya sasa, Israeli ikiishambulia njia zote kuu za kiuchumi na miundombinu.


View: https://m.youtube.com/watch?v=D9lI2iHfbII
 
Nahis netanyau analiwa kichwa au ikulu inashambuliwa hilo ndio litakua tukio zuri tutakalo
 


Wamarekani wenyewe wanaanza kuamka

Your browser is not able to display this video.
 
Iran wako vizur mnoo kwanza hii mnaona kama anatoa vitisho unachukuliaga poa ila hivi vitisho vinawapa mateso raia wa Israel maana hawajui wapi patalipuka au nn kitatokea
Ndio maana mpk wanakimbia nchi
 
Nuclear waitoe wapi Iran
Ripoti mwaka huu May ilitolewa na Nuclear watch dogs kuwa Iran wamepitiliza asilimia ya urutubishaji wa nuke weapons.
Na inahofiwa huwenda walishaamua kuunda hizo silaha maana jumuiya ya kimataifa iliwaondolea vikwazo kasoro USA na allies wake tu.
 
Iran acheni matangazo, kama kweli mmeamua pigeni tu, maneno ya nini?
 
Unasema Israel anamlia timing ilhali sasa hivi Wazayuni wengine wanahama nchi!?
AISEE Wabongo mnajua sana kuropoka.
Raia wa Israel wanalalamika huko juu ya maamuzi ya viongozi wao maana washachoka kuwa internally displaced,wengine wamesusa jana wamekata tiketi maelfu kuondoka Israel kwa muda.
Netanyahu simu kuelekea Washington haziishi,wewe keyboard warrior upo JF ukisema eti Israel anamlia timing Iran.
Wazayuni wakikusikia watakupiga makofi.
 
Russia analinda stock yake,kuomba silaha Iran haimaanishi kuwa kaishiwa silaha mkuu.
Na hapo sidhani kama kuna silaha iliyoletwa zaidi ya ADS tu za kulinda anga la Iran.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…