Dunia imechelewa mno kuishtukia Marekani kuhusu utawala wa pesa yake DOLA katika uchumi wa dunia. Angalau sasa wameishtukia

Dunia imechelewa mno kuishtukia Marekani kuhusu utawala wa pesa yake DOLA katika uchumi wa dunia. Angalau sasa wameishtukia

Kama ni kuhusu usafirishaji wa bidhaa duniani, hakuna taifa linalouza bidhaa nyingi duniani kama China. Marekani wanategemea kuanzisha vita duniani ili wauze silaha. Marekani wana mgogoro wa kuchapisha dola!!! Arobaini yao imefika, mataifa mengi yameshaanza kuishtukia! Na inahaha kweli!!
Hivi unatumia ubingo kufikiri au makalio. Nan kakwambia USA anategemea silaha tu. Vitu vya marekani zinazouzwa afrika ni asilmia 1

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna sehemu niliyosema inflation ya double digits
Ndio sasa hivi kuna inflation ya Double Digit huko, overall inflation ni asilimia 8.5 mwezi huu, na energy inafika hadi 32%, haijawahi tokea marekani kwa zaidi ya miaka 40 iliopita. Hivyo imezidi Effect ya Corona.

Kwa Nchi kama Us ambayo haitegemei energy Ya mrusi na Ukraine kwanini Iathirike kuliko Rest of the world?
 
vipi kuhusu paundi na dolla... muingereza anazalisha bidhaa nyingi?
Thamani ya fedha inategemea na utegemezi wa bidhaa na mahitaji ya nchi yako.

USA thamani ya fedha yake ni kubwa kwa sababu anazalisha bidhaa nyingi zinazotegemewa na watumiaji wengi duniani

Sasa wewe ulazimishe itumike fedha katika mauzo ya bidhaa ipi?
 
Pesa hutiwa nguvu na hasa na mali asili zinazomilikiwa na nchi na nchi kuwa tayari kuziingiza soko la kimataifa. Kwa kigezo hicho marekani huwezi kuilinganisha na nchi kama Urusi na China. Biashara kubwa ya marekani ni silaha! wakati wa amani hakuna anayehitaji silaha, na ni mataifa mengi yanayozalisha silaha kwa bei nafuu zaidi. kwa hiyo silaha haiwezi kuwa na mchango kwenye thamani ya silaha. Ndiyo maana marekani wanachochea sana vita duniani.
Apana sio mali za asili tuu dunia imeshatoka huko saa ivi kuna service economy, rasimali watu, wee ingekuwa hivyo unafikiri uchumi wa Japani ungekuwa mkubwa kama ulivyo
 
Toa Hoja, Nimewapa Hoja China ni Nchi ya Pili duniani kwanini Hela yake Haitumiki sana? Kwanini Pound inatumika sana kwetu Kuliko hela ya China?
China anashutumiwa kwa kuidogodisha thamani pesa yake ili aweze kufanya biashara, watu waweze kununua bidhaa zake kwa thamani ya kawaida/ndogo kuliko akitumia kuifanya pesa yake kuwa na thamani kubwa kama za waarabu au pound... mmarekani ana mmind mchina ktk maswala haya ya kukontuloo karensi yake...
 
Ongeza na sisi Tanzania tuna TISS.

Tanzania Inter-bank Settlement System, which is the country's payments settlement system that processes high value and time sensitive payments on real time basis.
joseph1989 Kilimbaym TISS huu mfumo wafanyakazi wengi waserikali wana ufahamu hasa wahasibu...

na wenyewe tuna uita domestic na sizani kama taasisi binafsi wana utumia... na kuufanya utumike na taasisi binafsi ni ina geuka kuwa chanzo cha mapato kwa serikali...

na nikama wataweka sheria ya matumizi ya ndani utumike mfumo wetu na matumizi ya nje au kimataifa utumike huo SWIFT au mingine...

hivyo katika matumizi watalipia, na ndivyo china wanafanya na baadhi ya mataifa mengine... ila china hawakuzuia wameiacha yote itumike kwa pamoja
 
Thamani ya fedha inategemea na utegemezi wa bidhaa na mahitaji ya nchi yako.

USA thamani ya fedha yake ni kubwa kwa sababu anazalisha bidhaa nyingi zinazotegemewa na watumiaji wengi duniani

Sasa wewe ulazimishe itumike fedha katika mauzo ya bidhaa ipi?
US na UCHINA nani anazalisha vingi vinavyohitajika DUNIANI
wewe binafsi unatumia vipi na vipi toka huko US !!!??
 
Ongeza na sisi Tanzania tuna TISS.

Tanzania Inter-bank Settlement System, which is the country's payments settlement system that processes high value and time sensitive payments on real time basis.
[emoji3]
 
Apana sio mali za asili tuu dunia imeshatoka huko saa ivi kuna service economy, rasimali watu, wee ingekuwa hivyo unafikiri uchumi wa Japani ungekuwa mkubwa kama ulivyo
Rasilimali watu kiaje MKUU ongezea nyama maana kama watu wanachangia uimara wa fedha nahisi UCHINA na INDIA wangeongoza !!!!!
 
Rasilimali watu kiaje MKUU ongezea nyama maana kama watu wanachangia uimara wa fedha nahisi UCHINA na INDIA wangeongoza !!!!!
Nikisema rasilimali watu nina maana na Taifa kuwa na watu wenye fani mbalimbali. Kadri watu wanavyokuwa na fani adimi duniani ndivyo inapelekea wao na taifa lao kutengeneza bidhaa adimu: mfano katika bithaa za kielektroniki ndani yake kuna components zinaitwa chips hizi ndizo zina thamani na adimu kwelikweli. Yeye Marekani ana kampuni ambazo wanadesign hizi vitu, mbali na kuuza kwa wazalishaji wa consumer goods pia wanazo chips specific for military application, ndio maana katika vikwazo vya kwanza kabisa mrusi kula ilikuwa ni kununua hizo chip na vifaa vingine vya kivita.
Katika hii vita tunaona drone za mturuki zikipewa pongezi lakin ukiingia deep utakuta baathi ya components muhimu kwenye hiz drone zinatoka kwa campun za kimarekani.
Hivyo taifa ili lifanikiwe kwenye nyanja ya uchumi sio kuwa na watu wengi tu kama tulivyokuwa tukihimizwa bali watu wenye ujuzi, kama malighafi mtaagiza kutoka kwa wale wasio na ujuzi, alafu mkishatengeneza bithaa mnawauzia tena bei mara nne yake. mchina anatoboa kwa sababu watu wake wana ujuzi mbalimbali, na nikisema ujuzi sio utalamu ule wa ndani..ata sio hivyo ujuzi hata wa kupanga vitu ndani ya box vikaenea na sio kwa kubahatisha.
 
Nadhani hoja haijajibiwa $ kabla hata ya utandawazi ndio ilikuwa inatumika kama pesa ya manunuzi sasa product kama hii window unayosema imekuja dola inatumika. kumbuka pia hizi kampuni za kia america hata Google kuna watu wengi wana share humo hata sio watu wa USA. Lakini tukija kwenye point sababu kuu ya $ kuwa ilivyo leo ni makubaliano ya nchi 44 mwaka 1944 wanaita makubaliano ya Bretton woods agreement kuwa USA kama world reserve kutoka na kuwa na uchumi imara na uwezo wao mkubwa wa kulipa madeni yao. Miaka ya nyuma walikuwa wakilipwa dhahabu kufanya biashara na wakawa na akiba kubwa ya dhahabu duniani. baada ya dhahabu kuondoka kama sehemu ya malipo ikawa option $ kuwa pesa ya kutumika( kumbuka ni makubaliano) sababu za msingi ni utajiri wake na uwezi wa kuhudumia madeni yao, lakini hili linajulikana kuwa EURO ilipewa heshima yake ila hawakuwa na reserve moja kuu na hata wao wanakiri China ndio pekee anaweza kuireplace $ na sababu ziko nyingi akiba yake ya pesa na uchumi wao. Kikubwa wakati ule 1944 nchi tajiri duniani ilikuwa USA kwa mbali mpaka sasa ila gap limepungua sana sababu kuna utajiri mkubwa umeenea nchi zingine kama China. Kumalizia haikuwa kwa sababu wanazalisha sana hapana ila makubaliano na kulikuwa na sababu ya kuchagua $ walikuwa stable na akiba kubwa ya dhahabu duniani na pia security ya system yao reserve ilikuwa imara na mpaka sasa ila leo hata ukiwa na Yuan wanakubali ukiwa na Euro wanakubali ukiwa na na Yen wanakubali hata pound wanakubali kwa hiyo kuna ushindani sio kama ilivyokuwa huko nyuma.
Nimeongeza kitu kichwani
 
China anashutumiwa kwa kuidogodisha thamani pesa yake ili aweze kufanya biashara, watu waweze kununua bidhaa zake kwa thamani ya kawaida/ndogo kuliko akitumia kuifanya pesa yake kuwa na thamani kubwa kama za waarabu au pound... mmarekani ana mmind mchina ktk maswala haya ya kukontuloo karensi yake...
Logic nzuri mkuu, but still ina prove point yangu kwamba Currency kuwa strong haiendani na ukubwa wa uchumi pekee bali Stability pia.

Mfano Nchi za kiarabu Currency zao zipo strong, sababu mafuta ni uhakika kuuzika, uchumi unakuwa stable.

Ila unaweza ukawa na Hela ina thamani ila leo inapanda kesho inashuka, hio hela haitakuwa na nguvu.
 
Si kweli, thamani ya pesa inatokana na what you produce to the world. Kila kitu kinapatikana USA, kila nchi inahitaji kitu from USA, fedha yao itaabudiwa tu!
Umeangalia kwa upande mmoja. Dola sio imara kwa sababu tu kila kitu kupatikana US. Dola inapewa nguvu na biashara ya kimataifa. Yaani ukitaka kitu Japan, inabidi uwe na USD badala hata ya Yen ya Japan.
 
Hivi unatumia ubingo kufikiri au makalio. Nan kakwambia USA anategemea silaha tu. Vitu vya marekani zinazouzwa afrika ni asilmia 1

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Hivi unajua kiasi cha silaha za marekani zinazopelekwa duniani kote na kwa gharama gani? Pole kwa wazazi wako kutokukulea vizuri na yamkini ndio waliokufundisha matusi kwa kukutukana mwenyewe!
 
Back
Top Bottom