Hivi unatumia ubingo kufikiri au makalio. Nan kakwambia USA anategemea silaha tu. Vitu vya marekani zinazouzwa afrika ni asilmia 1Kama ni kuhusu usafirishaji wa bidhaa duniani, hakuna taifa linalouza bidhaa nyingi duniani kama China. Marekani wanategemea kuanzisha vita duniani ili wauze silaha. Marekani wana mgogoro wa kuchapisha dola!!! Arobaini yao imefika, mataifa mengi yameshaanza kuishtukia! Na inahaha kweli!!
Ndio sasa hivi kuna inflation ya Double Digit huko, overall inflation ni asilimia 8.5 mwezi huu, na energy inafika hadi 32%, haijawahi tokea marekani kwa zaidi ya miaka 40 iliopita. Hivyo imezidi Effect ya Corona.Hakuna sehemu niliyosema inflation ya double digits
anatumia USD nieleweke vyema sio USB...nasubiri akujibu ili niongeze swali la nyongeza. na asituambie anatumia smartphone za apple.
Toa Hoja, Nimewapa Hoja China ni Nchi ya Pili duniani kwanini Hela yake Haitumiki sana? Kwanini Pound inatumika sana kwetu Kuliko hela ya China?GDP ya US unaiona ya kawaida ya kabisa kama ya Tz eeh?
Thamani ya fedha inategemea na utegemezi wa bidhaa na mahitaji ya nchi yako.
USA thamani ya fedha yake ni kubwa kwa sababu anazalisha bidhaa nyingi zinazotegemewa na watumiaji wengi duniani
Sasa wewe ulazimishe itumike fedha katika mauzo ya bidhaa ipi?
Apana sio mali za asili tuu dunia imeshatoka huko saa ivi kuna service economy, rasimali watu, wee ingekuwa hivyo unafikiri uchumi wa Japani ungekuwa mkubwa kama ulivyoPesa hutiwa nguvu na hasa na mali asili zinazomilikiwa na nchi na nchi kuwa tayari kuziingiza soko la kimataifa. Kwa kigezo hicho marekani huwezi kuilinganisha na nchi kama Urusi na China. Biashara kubwa ya marekani ni silaha! wakati wa amani hakuna anayehitaji silaha, na ni mataifa mengi yanayozalisha silaha kwa bei nafuu zaidi. kwa hiyo silaha haiwezi kuwa na mchango kwenye thamani ya silaha. Ndiyo maana marekani wanachochea sana vita duniani.
China anashutumiwa kwa kuidogodisha thamani pesa yake ili aweze kufanya biashara, watu waweze kununua bidhaa zake kwa thamani ya kawaida/ndogo kuliko akitumia kuifanya pesa yake kuwa na thamani kubwa kama za waarabu au pound... mmarekani ana mmind mchina ktk maswala haya ya kukontuloo karensi yake...Toa Hoja, Nimewapa Hoja China ni Nchi ya Pili duniani kwanini Hela yake Haitumiki sana? Kwanini Pound inatumika sana kwetu Kuliko hela ya China?
joseph1989 Kilimbaym TISS huu mfumo wafanyakazi wengi waserikali wana ufahamu hasa wahasibu...Ongeza na sisi Tanzania tuna TISS.
Tanzania Inter-bank Settlement System, which is the country's payments settlement system that processes high value and time sensitive payments on real time basis.
US na UCHINA nani anazalisha vingi vinavyohitajika DUNIANIThamani ya fedha inategemea na utegemezi wa bidhaa na mahitaji ya nchi yako.
USA thamani ya fedha yake ni kubwa kwa sababu anazalisha bidhaa nyingi zinazotegemewa na watumiaji wengi duniani
Sasa wewe ulazimishe itumike fedha katika mauzo ya bidhaa ipi?
[emoji3]Ongeza na sisi Tanzania tuna TISS.
Tanzania Inter-bank Settlement System, which is the country's payments settlement system that processes high value and time sensitive payments on real time basis.
Yaani unajiuliza swali mwenyewe halaf una jijibu mwenyeweTofautisha thaman ya ela na ela kutumiwa sana kama USD nani ambaye ana angaika na hela ya Kuwait
Rasilimali watu kiaje MKUU ongezea nyama maana kama watu wanachangia uimara wa fedha nahisi UCHINA na INDIA wangeongoza !!!!!Apana sio mali za asili tuu dunia imeshatoka huko saa ivi kuna service economy, rasimali watu, wee ingekuwa hivyo unafikiri uchumi wa Japani ungekuwa mkubwa kama ulivyo
Nikisema rasilimali watu nina maana na Taifa kuwa na watu wenye fani mbalimbali. Kadri watu wanavyokuwa na fani adimi duniani ndivyo inapelekea wao na taifa lao kutengeneza bidhaa adimu: mfano katika bithaa za kielektroniki ndani yake kuna components zinaitwa chips hizi ndizo zina thamani na adimu kwelikweli. Yeye Marekani ana kampuni ambazo wanadesign hizi vitu, mbali na kuuza kwa wazalishaji wa consumer goods pia wanazo chips specific for military application, ndio maana katika vikwazo vya kwanza kabisa mrusi kula ilikuwa ni kununua hizo chip na vifaa vingine vya kivita.Rasilimali watu kiaje MKUU ongezea nyama maana kama watu wanachangia uimara wa fedha nahisi UCHINA na INDIA wangeongoza !!!!!
Nimeongeza kitu kichwaniNadhani hoja haijajibiwa $ kabla hata ya utandawazi ndio ilikuwa inatumika kama pesa ya manunuzi sasa product kama hii window unayosema imekuja dola inatumika. kumbuka pia hizi kampuni za kia america hata Google kuna watu wengi wana share humo hata sio watu wa USA. Lakini tukija kwenye point sababu kuu ya $ kuwa ilivyo leo ni makubaliano ya nchi 44 mwaka 1944 wanaita makubaliano ya Bretton woods agreement kuwa USA kama world reserve kutoka na kuwa na uchumi imara na uwezo wao mkubwa wa kulipa madeni yao. Miaka ya nyuma walikuwa wakilipwa dhahabu kufanya biashara na wakawa na akiba kubwa ya dhahabu duniani. baada ya dhahabu kuondoka kama sehemu ya malipo ikawa option $ kuwa pesa ya kutumika( kumbuka ni makubaliano) sababu za msingi ni utajiri wake na uwezi wa kuhudumia madeni yao, lakini hili linajulikana kuwa EURO ilipewa heshima yake ila hawakuwa na reserve moja kuu na hata wao wanakiri China ndio pekee anaweza kuireplace $ na sababu ziko nyingi akiba yake ya pesa na uchumi wao. Kikubwa wakati ule 1944 nchi tajiri duniani ilikuwa USA kwa mbali mpaka sasa ila gap limepungua sana sababu kuna utajiri mkubwa umeenea nchi zingine kama China. Kumalizia haikuwa kwa sababu wanazalisha sana hapana ila makubaliano na kulikuwa na sababu ya kuchagua $ walikuwa stable na akiba kubwa ya dhahabu duniani na pia security ya system yao reserve ilikuwa imara na mpaka sasa ila leo hata ukiwa na Yuan wanakubali ukiwa na Euro wanakubali ukiwa na na Yen wanakubali hata pound wanakubali kwa hiyo kuna ushindani sio kama ilivyokuwa huko nyuma.
Logic nzuri mkuu, but still ina prove point yangu kwamba Currency kuwa strong haiendani na ukubwa wa uchumi pekee bali Stability pia.China anashutumiwa kwa kuidogodisha thamani pesa yake ili aweze kufanya biashara, watu waweze kununua bidhaa zake kwa thamani ya kawaida/ndogo kuliko akitumia kuifanya pesa yake kuwa na thamani kubwa kama za waarabu au pound... mmarekani ana mmind mchina ktk maswala haya ya kukontuloo karensi yake...
Umeangalia kwa upande mmoja. Dola sio imara kwa sababu tu kila kitu kupatikana US. Dola inapewa nguvu na biashara ya kimataifa. Yaani ukitaka kitu Japan, inabidi uwe na USD badala hata ya Yen ya Japan.Si kweli, thamani ya pesa inatokana na what you produce to the world. Kila kitu kinapatikana USA, kila nchi inahitaji kitu from USA, fedha yao itaabudiwa tu!
Hivi unajua kiasi cha silaha za marekani zinazopelekwa duniani kote na kwa gharama gani? Pole kwa wazazi wako kutokukulea vizuri na yamkini ndio waliokufundisha matusi kwa kukutukana mwenyewe!Hivi unatumia ubingo kufikiri au makalio. Nan kakwambia USA anategemea silaha tu. Vitu vya marekani zinazouzwa afrika ni asilmia 1
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
kwa sababu japan anataka kununua vitu toka USA! simpleJapan,
matusi sasa ya nini? what is makalio? uwe mstaarabu. Utajibiwa vibaya ukose usingizi!Hivi unatumia ubingo kufikiri au makalio. Nan kakwambia USA anategemea silaha tu. Vitu vya marekani zinazouzwa afrika ni asilmia 1
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app