Dunia imechelewa mno kuishtukia Marekani kuhusu utawala wa pesa yake DOLA katika uchumi wa dunia. Angalau sasa wameishtukia

Dunia imechelewa mno kuishtukia Marekani kuhusu utawala wa pesa yake DOLA katika uchumi wa dunia. Angalau sasa wameishtukia

Pesa hutiwa nguvu na hasa na mali asili zinazomilikiwa na nchi na nchi kuwa tayari kuziingiza soko la kimataifa. Kwa kigezo hicho marekani huwezi kuilinganisha na nchi kama Urusi na China.

Biashara kubwa ya marekani ni silaha! wakati wa amani hakuna anayehitaji silaha, na ni mataifa mengi yanayozalisha silaha kwa bei nafuu zaidi. kwa hiyo silaha haiwezi kuwa na mchango kwenye thamani ya silaha. Ndiyo maana marekani wanachochea sana vita duniani.
Viwanda vya china /urusi haviwezi kushindana na vya USA kwa ubora, ndiyo maana huoni Ihone maduka ya mitaani. By the way, viwanda vya maana vingi uchina ni patent za USA, Am I right?
 
Mkuu US anachapisha Note, ni scandal ya Biden na ipo verified na source za kimarekani pia, wana inflation kubwa sasa hivi na naona wanataka kuanzisha pesa mpya Digital Usd.
nafanya utafiti kuhus hilo
 
Pesa hutiwa nguvu na hasa na mali asili zinazomilikiwa na nchi na nchi kuwa tayari kuziingiza soko la kimataifa. Kwa kigezo hicho marekani huwezi kuilinganisha na nchi kama Urusi na China.

Biashara kubwa ya marekani ni silaha! wakati wa amani hakuna anayehitaji silaha, na ni mataifa mengi yanayozalisha silaha kwa bei nafuu zaidi. kwa hiyo silaha haiwezi kuwa na mchango kwenye thamani ya silaha. Ndiyo maana marekani wanachochea sana vita duniani.
elewa acha kukaza fuvu , kilichokuwa kinaibeba us dollar ni kuwa marekani ana biashara karibu na kila nchi duniani ambayo huenda hiyo biashara hutoeza ipata kwa wengine mf 60% inatumia os ya us mbali na hiyo misingi ya technology nyingi inauhusiano na makampuni ya us kama sio kumilikiwa na us companies hivyo ilikuwa ni lazima us dollar kuwa juu ila kwa sasa us dollar itashuka kwasababu ya dunian kuamka na hata ile technology tuliyokuwa tunategemea kwa us tu sasa hv ipo kila kona so ni swala la mataifa kuanza kuwa na imani na makampuni ya technology mbali na yale ya US
 
nasubiri akujibu ili niongeze swali la nyongeza. na asituambie anatumia smartphone za apple.
mmarekani huez mkwepa , anafanya biashara invisible na visible , mkubwa mzima huez hata angalia unachotumia ina operatiwa na OS gan , jiulize imetokea wap ?
 
No
Huu mchezo wa kuchapa pesa ndio mchezo wao.
Marekani inaweza kuchapa pesa na kuzitia kwenye mfuko kisha kuja direct Tanzania kununua dhahabu , rubi n.k
Ila wewe huwezi kuchapa pesa zako za Kitanzania na kuzibeba kama zilivyo kwenda kununua kitu US.
weak point , kama ni hivyo mzunguko wa dollar ungekuwa mkubwa mtaani , yaan 2022 bado kuna waafrika mna akili kama za idd amin mnaamin kuchapisha ela nying kunatatua matatizo yako ?
 
Thamani ya fedha inategemea na utegemezi wa bidhaa na mahitaji ya nchi yako.

USA thamani ya fedha yake ni kubwa kwa sababu anazalisha bidhaa nyingi zinazotegemewa na watumiaji wengi duniani

Sasa wewe ulazimishe itumike fedha katika mauzo ya bidhaa ipi?
Na mchina iliwa hiki ndo kigezo basi pess yake ndo ingekua inatumika duniani, mchina sio afrika tu mpaka uko marekani anapeleka bidhaa. Kumbuka vita ya vikwazo vya kibiashara kati ya china na marekani wakati wa Trump
 
Kama ni hivyo yuan ndio ingeongoza maana vitu vingi tu vya marekani vinatengenezwa china na dunia yote inaenda china
Mbona umesema kweli kuwa patents za vitu vya china ni marekani.... si mali yao, raw matrials si ajabu supplier ni USA, hivyo hata bei inawezekana anapanga yeye na hivyo kuwa na final say ya ngawila!
 
Marekani iliipiga changa ya macho dunia kwa muda mrefu. Ikalazimisha dola iwe ndio pesa rasmi katika biashara za kimataifa na uchumi wa dunia. Wanachofanya ni kuchapisha noti tu za dola na kuipa thamani kwa kauli tu.

Dunia nayo ikawa imejikuta inakubaliana na changa hilo la macho. Lakini Urusi imeiamsha dunia na marekani imepaniki. Urusi imesema kila nchi inaweza kutumia pesa yake ya ndani kwenye miamala ya kimataifa.

Uamuzi huo ghafla ukairudishia thamani pesa yake ya ruble iliyokuwa imeshuka sana thamani kwa zaidi ya asilimia 90.

Kwa sasa mataifa kama india, China, Brazili tayari yamejifunza kitu na yataanza kutumia pesa za mataifa yao kwenye biashara baina yao na mataifa mengine yatakayokubali.

Urusi imeandaa mfumo wake kama ule wa SWIFT kwa ajili ya miamala ya kimataifa na nchi zimeshajiunga tayari na kwa kuanzia mataifa hayo (ukiacha mataifa ambayo hayaogopi kitu kama India na China) hayataainishwa ili kuyakinga na vitisho na vikwazo vya marekani.

Ndio maana Marekani inahaha kuongeza vikwazo kila siku na kupeleka silaha ukraine, si kwa kuwa inaipenda sana ukraine lakini inataka kuangusha kabisa uchumi wa urusi na kuipunguza nguvu kijeshi.

Japo mpaka sasa marekani inaonekana haijafanikiwa kwa hilo ila mambo yanaigeukia yenyewe kuwa mabaya!
Kama KENYA wanavyotupiga changa la macho afrika mashariki
 
Kawaambie Usa wenyewe sio mimi, wao ndio wanalalamika. Wanalalamika policy za Biden ndio zinasababisha.

Marekani hakutakiwa kuathiriwa na Urusi kama Ulaya, Hategemei sana Gas na Mafuta Toka Urusi
wenzio hawana akili za mafuta yamepanda bei bas vumilieni kila kitu kipande bei
 
weak point , kama ni hivyo mzunguko wa dollar ungekuwa mkubwa mtaani , yaan 2022 bado kuna waafrika mna akili kama za idd amin mnaamin kuchapisha ela nying kunatatua matatizo yako ?
huyu hajui, unazichapa nyingi kununua rubby tanzania halafu Tz inazirudisha kwako kukunu Boeing! does it make sense kweli?
 
Nani kakudanganya, US ni mwongo na mwenye majidai yasiyo yake.
Kawaambie Usa wenyewe sio mimi, wao ndio wanalalamika. Wanalalamika policy za Biden ndio zinasababisha.

Marekani hakutakiwa kuathiriwa na Urusi kama Ulaya, Hategemei sana Gas na Mafuta Toka Urusi
 
No
Huu mchezo wa kuchapa pesa ndio mchezo wao.
Marekani inaweza kuchapa pesa na kuzitia kwenye mfuko kisha kuja direct Tanzania kununua dhahabu , rubi n.k
Ila wewe huwezi kuchapa pesa zako za Kitanzania na kuzibeba kama zilivyo kwenda kununua kitu US.
sandali usitoe weak reasoning to that level! f that is the case, then tanzania tutanunua Boeing kama IST toka marekani, maana tutakuwa na madola kibao ya madini yetu!
 
Si kweli, thamani ya pesa inatokana na what you produce to the world. Kila kitu kinapatikana USA, kila nchi inahitaji kitu from USA, fedha yao itaabudiwa tu!
Naomba Kuuliza China Wana Produce Vitu Vingi Je Inaweza Kuwa Na Thamani Kuliko Dollar

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom