Dunia ina Umri gani? Mabillioni, Mamillioni, Malaki au Maelfu?

Tuamini kipi kati ya wanasayansi na vitabu vya dini?
 
Mmmm punguzen kingereza waelewe na wengine maana mada nzito nataka kuboresha hapo bado nafikiria niboreshe vp
 
Tuamini kipi kati ya wanasayansi na vitabu vya dini?
Kwa nini uamini angalia methodologies ambazo zinatumika kati ya dini na sayansi katika kujua umri wa ulimwengu kwa ujumla, mi kwa ujumla haya mambo ya dini na sayansi nayaona yana conflict sana na hatua za sayansi mpaka kitu kiwe kinakubalika zinaiweka kando sana maswala ya dini kwa mfano kwenye sayansi moja ya sifa scientific theory iwe na uwezo wa kukataliwa na kuandikwa/kuhaririwa upya ama kutolewa kabisa (ku be disapproved) pindi majaribio yanapoenda kinyume na hiyo theory hili ni tofauti kabisa na dini kwa sababu tunamaani maandiko ya mungu na mungu hakosei na hakuna dini ambayo ipo tayari maandiko yake upya.
 
na vp kuhusu upotofu wa Darwinism ndio una ukweli kweli kama ameonesha facts kwanini hutetei upande wako wa hao wakina darwin nadharia ya darwin haijatosheleza majibu yote
Creationism imejibu hoja zote
 
na vp kuhusu upotofu wa Darwinism ndio una ukweli kweli kama ameonesha facts kwanini hutetei upande wako wa hao wakina darwin nadharia ya darwin haijatosheleza majibu yote
Creationism imejibu hoja zote
Darwin kapotoka wapi!!?
Darwinism haiwezi kukosa mapungufu, na yale ambayo hayajapatiwa ufumbuzi yanaendelea kufanyiwa kazi na ndio sayansi ilivo, kila kizazi kina yachukua yalioyo achwa na kizazi kilichopita na kinaendelea kuchunguza mpaka kufikia suluhisho.
Creationist ni waongo, hawana hata evidence moja na prefer ni waamini watu wa evolution wenye ushahidi kuliko creationist.

Huyo profesa ata kupotosha , jitahidi usome vitabu tuu at least
 
Hizo tags zako hazialert chochote,...ata mimi nimeona kwa bahati, pengine ndio sababu ya kutokuwepo kwa watajwa.

Ule mnara wa Babeli ni kama safina ya Nuhu, hakuna ushahidi wa kuwepo kwake....hivyo kuchagiza imani ya kutokutokea?
Acha ushabiki wewe toa mtazamo wako, Tag niachie mimi niliyetag.
Mnara huohuo wa babeli ambao unasema haukuwepo sikukuwekea bahati mbaya maana ni wewe huyohuyo ambaye umewahi kutumia tukio hilo kujustfy baadhi ya hoja zako. Hii inaonyesha udhaifu wa kupingapinga vitu wenda kwa kusikia au kishabiki bila kuelewa unachokifanya.
 
Hapa nitapita baadae ila confirm kama unazungumzia Radiometric dating,
 
Majibu yote yanaukweli japo yanahitajika maelezo ya ziada ktk wale wanaoamini dunia ina umri wa miaka 4bilioni! Ukweli ni kwamba miaka 6000 ndiyo pekee yenye uwezo wa kujenga historia na kukidhi historia ya dunia tuliyo nayo! Nje ya miaka 6000 ni simulizi zisizo na mashiko
 
Tunaomba uonyeshe hayo mashiko kwamba dunia ina miaka 6000.
 
@ Kinachofanyika katika evolution hasa Origin of species ni Indoctrination kitu ambacho kinafanyika kwenye dini. Founder wa hiyo concept mwenyewe alikufa hajui alichokuwa anakifanya kwa sababu hakujua genetics behind living organism and the database yenye mamillioni ya information zilizofanya aone utofauti aliokuwa anauona. Angemuona albino kazaliwa na watu wawili weusi kwa akili yake angesema yule kaevolve au evolution inaendelea.

Evolution ni Dini tu ambayo Mungu wake ni Muda. Ndiomaana kila kitu kinakimbizwa miaka Mamillioni yaliyopita ili kupumbaza wafuatiliaji. Wewe unaweza kujua umri wa mtoto wako bila kujua Birthday yako. Ndio maana wenzako kwa kujua hilo wakaomba ibaki kama theory na hii ya Creation ifundishwe pia ili mtu achague anachoona ni sawa na Donors wa free school wakaja juu.
 
Asee... MSEZA MKULU nmekugawa bure!
 
Hizo habari za homo habilis kutoka arusha (oldvai gorge) mpaka bagamoyo then atengeneze ngalawa (or whatever) umezileta wewe so nadhani inafaa kutupatia evidences..!
Evolution Mtu alianza kama samaki akaevolve hadi kuwa hapo alipo. Wewe ndio uniambie Evolutionists na wanasayansi wanaounga mkono hiyo kitu wanasema binadamu wa kwanza aliishi Tanzania. Ndio maana unatakiwa usaidie jamii alitokea ziwa au bahari gani hapo oldvai gourge, pia ueleze alifikaje huko uk,india,china,s/america kutokea arusha. ili kuficha uzushi huu ikabidi wakimbilie kuwa hayo yote yalitokea miaka lukuki iliyopita. Huoni kama unahitaji imani kukubaliana na hayo. Tena Dr LEaky alitumai Carbon 14. age range ya kupima kuwa kutumia carbon 14 ni kati ya miaka 50000 hadi 60000. Ukipata nje ya hapo ni uongo mzuri tu kama ulivyoambiwa umri wa ndoano iliyokuwa patented miaka ya 1800 na kupimwa kwa vipimo hivyo kukutwa na miaka millini 300. Yaani hata wewe bibi aliyemzaa bibi wa bibi yangu tukimfukua leo tukampima ana umri gani kwa vifaa hivyo carbon dating au radiometric usishangae kumkuta anamiaka millioni 6 iliyopita.

Hicho ndicho uilichofichwa. Hakuna AGEOMETER ILIYORELIABLE KWENYE makablasha ya hao unaowaita wanasayansi wanaoamini evolution.

Bible stands to be reliable source
 
Wamuulize yesu wa nini wakati hadi yesu anakuwepo kulikuwa na record kuanzia adam mtoto wa adam SETH hadi Yesu mwenyewe. Hilo halikuwa swali kwao, limekuwa swali baada ya kuibuka miaka ya 1600 upinzani na ujanja ujanja wa kubuni miaka maelfu ili theory za watu zilete maana. miaka ni around 6000.
 
Kuna documentary inasema enzi za ice age watu wengi walitawanyika sababu bahari iligeuka na kuwa barafu,ndio sababu ya mtawanyiko huo wa watu
 
Asee... MSEZA MKULU nmekugawa bure!
karibu, athante ila ni kachangamoto kidogo ili uanze kufikiri nje ya hilo box. Jifunze EVOLUTION kama theory tu ambayo inaweza kuwa si kweli kama inavyokuwa challenged. Vinginevyo utaferi
 
Wanasayansi nao wako wa aina mbili creationist scientist na Evolutionists. Na hao wengine kwa imani yao ya uumbaji wamekuwa wakinyanyaswa na kukandamizwa. Mfano tu ni Founder wa MRI scanner alinyimwa Tuzo ya NOBEL kisa tu Haamini Evolution. Shetani anapitia huku pia kuongeza dimension ya uasi duniani.
 
Usipotezwe Bing bang Theory ni UNSCIENTIFIC MYTH which is not supported by almost every law of science and physics.

THE WORLD HAS NOT YET INVENTED AGEOMETER, looking older star (Stellar evolution) na expansion of universe has no solid ground. Uchaguzi ni wako kuwa huru lakini.
 
karibu, athante ila ni kachangamoto kidogo ili uanze kufikiri nje ya hilo box. Jifunze EVOLUTION kama theory tu ambayo inaweza kuwa si kweli kama inavyokuwa challenged. Vinginevyo utaferi
Hahahahaha we jamaa ni mjinga wa mwisho kabisa...! Poa bana... Mi ntaendelea kukushangaa tu...!
 
Hahahahaha we jamaa ni mjinga wa mwisho kabisa...! Poa bana... Mi ntaendelea kukushangaa tu...!
hujaongea chochote kuhusu unachoamini nje ya huu ujinga wangu. karibu lakini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…