Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
-
- #181
Sijapitisha 7 ila kama ushamwaga sera na anataka fedha zako ila ukimuomba anakwambia n mapema sana kupewa kaa kwa paswordπππ nimekosa mimi, nimekosa sana, siku zisizidi 7
πππ nimekosa mimi, nimekosa sana, siku zisizidiπ miezi miwili upo na mtu kila siku ni kilio cha shida. Hapana, hapana, hapanaaa siku 60 nyingi sana kutoboka.
apa ni simple tu, ABORT MISSIONSijapitisha 7 ila kama ushamwaga sera na anataka fedha zako ila ukimuomba anakwambia n mapema sana kupewa kaa kwa pasword
Inasemekana once unapomfuata ke na kuhitaji namba na ukaribu nae tayari wanakuwa wanajua kifuatacho, hapo inabaki wewe tu kumwaga sera.Kwa nini ufanye siri?
Unamjulisha lengo lako mapema kabla hujawekwa 'friend zone'
Watatoa tu hata kwa kuchelewa.Haaaahaaahaa....hiyo utatoa hutoi ndio hiyo sasa
Rudisha majeshi kambini haraka.πππ nimekosa mimi, nimekosa sana, siku zisizidi
apa ni simple tu, ABORT MISSION
Nilipigwa hivyo hivyo π€£π€£... Show yangu ilikuwa hiviπ mwaka juzi ilinitokea hiyo ila mbinu ya kuwa na akiba mfukoni au kwenye simu iliniokoa/ilituokoa.
Hii pisi ilinijulisha inakuja town imetoka mkoa tukutane nikakubali, ikajitutumua imenimiss tukae mahali tule tunywe nikataka kumpiga chenga ya mwili ila akaniambia kashaweka oda mahali ni vyema tukienda, nikakubali. Tumekula tumemaliza bill inakuja ananiambia amechanganya pochi, yenye hela kaacha nyumbani, nilikuwa na hela ya rejesho ikabidi nilipie vinginevyo ilikuwa ni kuaibishana.
Inawezekana pia mkuu
Unafurahia huu uzi wenzako huko palestina hawana internet. Yani watanzania tumekosa ubinadamu sana. Akili zetu ziko kwenye kutandaza miti tu wakati wapalestina wanauwawa kwa makundi.Moja ya nyuzi Bora jamii forums
π hayo maelekezo umetisha mkuuKama nawaona mademu na vikongwe wa humu wanavyosonya na machozi kulengalenga!...tena ushirikiano grade one yaan atoe utamu na aingize mwenyewe,ikichomoka aingize tena huku na mauno ya kutosha!si rahisi kupewa misimbazi na mtu asie nduguyo na huwa tunatoa huku nyoyo zinamwaga damu so lazma pawepo na healing center ili mzani uwe balanced!
Unataka niache kutafuna mbyususu nikapiganie ardhi za watu ?Unafurahia huu uzi wenzako huko palestina hawana internet. Yani watanzania tumekosa ubinadamu sana. Akili zetu ziko kwenye kutandaza miti tu wakati wapalestina wanauwawa kwa makundi.
100 others Alwaz brazaj adriz
Hahaha yani nyap ni muhimu kuliko maisha ya wapalestina?Unataka niache kutafuna mbyususu nikapiganie ardhi za watu ?
Kaka tafuta pa kukojolea hayu mambo ya watu utayasahau
Huwa nawaambiwa jamaa zangu, mwanaume ukitoka kukutana na ke hakikisha una bajeti yako ya kutosha kuepuka kudhalilika, hatujui ni nini walizungumza na nyoka πNilipigwa hivyo hivyo π€£π€£... Show yangu ilikuwa hivi
Bidada hatukuonana muda Sana Pindi chuoni nilimpenda Sana akanikazia ana mahusiano nikaelewa Maisha yakaendelea. After 5years naona namba ngeni kupokea yeye aka yangu ilikuwa famous chuoni aliniita hivyo, Kwanza alianza na sorry nyiiiingi then she told me "kitumbua kimeingia mchanga" sikumuelewa bana kumbe anamaanisha ana mtoto, akataka tuonane ikawa hivyo na kuna sehemu patuliivu tuonane π π kila kitu juu yake, Mimi nikawaza Hawa watu wanaweza kukuabisha ukiwasikiliza hata kama wako njema π€£π€£. Siku imefika nimefatwa na Bolt yeye akiwemo, tumefika as gentleman nikatoa Hela ya usafiri. Stori za hapa na pale mara menu hiyo baada ya order, I miss you kibaoo nilienda na Akili mbili π π , sasa huwa sitembei na wallet maana huwa na msemo wangu za wallet hazikai nyingiii, huwa nasikia raha Sana nikitoa rubber band na huwa sina hulka ya kutoa pesa nyingi mbele ya mwanamke so natenga kiasi kadhaa pembeni. Nikaenda washroom nikiwa nimehaidiwa Leo ntapewa nilivyonyimwa miaka ileee, we bana ile sehemu tuliyoenda ina garden so ukitoka washroom naiona Meza yetu, nikamwona mhudumu anaweka bill pale wakati naongea na simu huku naangalia vinanyofanyika pale Mezani bi dada kaangalia bill hakuweka chochote akafunika kitabu π€£π€£, nimefika anajifanya haoni kama bill basi nikalipa, stori zikaendelea mpaka tunaondoka nacheka moyoni..ππ , kwake nilimshusha ahadi yake alidai anaenda mchukua mtoto wake nikasema poa. All in all nilifurahi kumuona ila alikuwa na yake kichwani, later alianza vizinga Kwa njia ya mkopo hapo ana Kazi nzuri tu, nikamfutilia mbali alijua nitamzingatia Sana. Baadhi ya wanawake Mungu anawaona asee πππ
Mongolian beast umeshaanza fujo.
Mmhh mbona bado kila Siku tunasikia zile kelele za, "mwanamke akifika 30 hajaolewa ni malaya" au "mwanamke akiwa na wanaume wengi ni malaya", anyway ni heshima gani unayoongelea mkuuHuko tulishatoka mkuu yote hayo tuliyafanya ili kumheshimisha mwanamke ila kwa sasa tumegundua hamtaki hizo mishe tena.
Ha ha ha....yaan sapraiz afanye Wewe na pesa ulipe Wewe, upuuz wa wapi huu[emoji2]Wengi wabinafsi sana na hata akija na kitu atataka ukigharamikie wewe.
Kuna pisi ilinifanyia suprise ya kijinga sana, imetoa oda ya picha ya kuchora kwa mchoraji, imekamilika ananipigia simu anadaiwa nilipie ile picha nikaona huu ujinga siwezi.
Wee sijawahi bro baadhi yao Hawa huwa balaa na nusu....hata mama mzazi mwenyewe ukiwa nae anaweza kukuomba buku Tano π€£π€£π€£Huwa nawaambiwa jamaa zangu, mwanaume ukitoka kukutana na ke hakikisha una bajeti yako ya kutosha kuepuka kudhalilika, hatujui ni nini walizungumza na nyoka π
Nilimuona aibu mimi, nikasema hivi huyu mwanamke zinamtosha kweli? Sasa hiyo ndio suprise ganiHa ha ha....yaan sapraiz afanye Wewe na pesa ulipe Wewe, upuuz wa wapi huu[emoji2]