Dunia yashangazwa na kubadilika ghafla kwa Rais Samia kutoka kuwa mtenda haki na kuanza uonevu

Unajivunia umachinga pumbavu kabisa
 
Reputation ya mtu ni jambo la msingi. Kufa ukaandikwa kuwa ulikuwa katili, onevu, dikteta, asiyeheshimu kiapo chake nalo si jambo ambalo mtawala anapenda
 
Hapa hakuna M7 wala Kagame, hapa kuna Samia na Tanzania.

Tushughulike na Tanzania yetu. Waache hao wengine washughulike na ya kwao.
 
Hapa hakuna M7 wala Kagame, hapa kuna Samia na Tanzania.

Tushughulike na Tanzania yetu. Waache hao wengine washughulike na ya kwao.
🤣🤣Basi POST ni kituko....

Compatriot wako MISSILE OF THE NATION ameanza na "DUNIA YASHANGAZWA..."

Kumbe Museveni na Kagame si wakazi wa DUNIA anyway mh.Rais SSH ni AMIRI JESHI WA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA....ameapa kulinda amani na utulivu wa nchi KWA TAARIFA ZOZOTE APATAZO....

Tusubiri mahakama iseme kuwa WATUHUMIWA WA UGAIDI hawana KESI YA KUJIBU.......

#KaziIendelee
 
Wana best intelligence inayowapa up to date information ya kinachojiri.

Samia anaanza kuonekana kituko mbele ya Dunia iliyostaarabika, Sijui nani alimdanganya avunje kiapo chake cha kutenda haki bila kuonea!
Ukorofi wa CDM wa kuhakikisha nchi inachafuka kimataifa ndiyo umesababisha, raha ya CDM ni kuona TZ inatangazwa vibaya huko nje, wanafaidika nini? Haijulikani! Haiwezekani ndani ya miezi minne tu tayari Samia mbaya. But kwenye siasa ni kawaida sana, na kuna nchi zina majanga mno kuliko hii TZ yetu na maisha yanasonga
 
Ukiona kiongozi unapendwa na kila mtu jua kwamba kuna sehemu unakosea, huyo Mungu na ukamilifu wake lakini 1/3 ya malaika walimpinga
 
Hats off, umenena vizuri sana.
 
UBUNIFU UNATOKEA KAMA ANATEUA TOP CREAM YA NCHI KUWA WASAIDIZI NA VIONGOZI WA TAASISI NYETI: LAKINI KATIKA TEUZI KIGEZO CHAKE NI ZAMU YA KULA, UBUNIFU KWENYE JAMBO LO LOTE HAPA TANZANIA ITAKUWA NDOTO ZA MCHANA!
 
Huyo Mbowe ana nia ya kuleta vurugu nchi hii.Huwezi kuvitisha vyombo vya dola kisha ubaki wewe ndiye mshindi.
Hii ni serikali siyo muvi ya kihindi eti mtu kama Mbowe anajipa u starring
 
Sabaya ni mhalifu lipo wazi kabisa. Kitendo cha Samia kusema Mbowe ni Gaidi leo mtaani kimemvua nguo Samia kashapoteza uaminifu. Nimegundua Watanzania wengi kasoro ndege kama Dudumizi mnafurahia uovu na uhayawani. Huyu mama hawezi kusema lolote mzungu akimkapa koo na hivi anapenda kuzurula kama kanga subiri atajuta na Maswali ya vyombo vya habari vya nje sio hizi media zenu Uhuru na Mzalendo.
 
The first African female president to practice dictatorship acts. Mwenzie Hellen Sirleaf Johnson wa Liberia aliingiza nchi ikiwa imetoka kwenye Vita hatari Tena wanaume na masilaha yao walimsikiliza na nchi ikataealika kwa amani sana, Ila hii style anayoiga itamcost.

I thought as a female leader angetafita namna mpya ya approach kwenye Mambo kama haya Ila anaonekana purely African woman she can't think independently rather aige kutoka kwa waliombeba na kumpa hiyo nafasi.

Nadhani imeanza kuprove mwanamke wa kiafrika Hana tofauti yeyote na mwanaume wa kiafrika kwenye madaraka since anashikiwa akili she can't think independently.

Amejichafua sana , hajui tu.
 
Huyo mwanamke anapenda kutembea tu na kurembua mimacho
 
Kumbe mwanamke anakuwa Dictatress asante mkuu!
 
Duh! Mashabiki wa kwa Bi nyau karibu na popo bawa hawana hamu naye, ahahahahah

Na habari za Sabaya zishapoteza mvuto, vifurush hatuzungumzii tena saivi ni Manala..

Hii nchi bwana!! Bora kujilia tu-pisi kali tu na kututwanga katerero
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…