Dunian sijawai kuona mji wa kipuuzi Kama Phuket unazunguka hotel zaidi ya 200 zote full?

Dunian sijawai kuona mji wa kipuuzi Kama Phuket unazunguka hotel zaidi ya 200 zote full?

Mwezi Jana nilikuwa phuket kwa kazi fulan sehemu inaitwa Patong!

Kilichosaidia nili book mapema Agoda lengo nikifika nibadili hotel maana kwa siku moja mtu unatozwa baht 12,000 Sawa na usd 500$ , asubuhi nikachukua taxi tukazunguka kila hotel kutafta cheap ! Nazo Nikaambiwa kwamba hata hiyo uliyopata ya Patong royal shukuru Mungu!

Mji ule uko Thailand Ila umechukuliwa na wa Ukraine na waarabu! Ukiwa huko huna tofaut na mtu ambaye yuko hapa Ulaya !

Ila nili enjoy sana ! Japo sikupenda suala la hotel

Ntasimulia simulia na kuwapa hints Wa Tanzania wa naotaka kutembea duniani maeneo kadhaa

Naandaa kitabu
Ntakipa jina moja wapo
1. Being black Abroad
2. Sole travelers
3. Explore the world from poor countries

Maana Mpaka sasa nimetembea nchi zaidi ya 125 dunian

Britanicca
Wassira ndio makamu mwenyekiti wako wa Ccm.
 
Uzi wako kidogo ufanane na week hii ya raia wasiyo na issue na mkutano wa CCM pale Dodoma kukosa Lodges na Hotels 😂!
 
Sasa kama mna pesa za kuzunguka dunia nzima na kuna watu wameshindwa kuendelea na masomo kutokana na ada, kuna watoto ni yatima wanakosa hela ya mavazi, malazi nq chakula.

Na imani utasema umepambana mwenyewe, Ila ninachojua kila mtu amewezeshwa, Mkoloni alisomesha watu, Watu wakasomesha watu ukawa ni mwendelezo. Ila kuna familia zingine zilikosa hiyo bahati.

Lakini kama nyie ndo watu mnaojidai kumwabudu Mungu ili kutoa support hamuwezi, Basi nimeamini huyo Mungu mnamwabudu kinafiki.

Nachukia nyuzi za sifa wakati kuna watu wana mahitaji.

Mungu kama kweli upo basi leta hata TSUNAMI ili wote tumezwe, Hii dunia imejaa unafiki.🙏
 
Sasa kama mna pesa za kuzunguka dunia nzima na kuna watu wameshindwa kuendelea na masomo kutokana na ada, kuna watoto ni yatima wanakosa hela ya mavazi, malazi nq chakula.

Na imani utasema umepambana mwenyewe, Ila ninachojua kila mtu amewezeshwa, Mkoloni alisomesha watu, Watu wakasomesha watu ukawa ni mwendelezo. Ila kuna familia zingine zilikosa hiyo bahati.

Lakini kama nyie ndo watu mnaojidai kumwabudu Mungu ili kutoa support hamuwezi, Basi nimeamini huyo Mungu mnamwabudu kinafiki.

Nachukia nyuzi za sifa wakati kuna watu wana mahitaji.

Mungu kama kweli upo basi leta hata TSUNAMI ili wote tumezwe, Hii dunia imejaa unafiki.🙏
Acha uzwazwa, pesa ya mtu kaitafuta kwa jasho lake na akili zake wewe unampangia matumizi? Hao yatima kawalishe wewe na kuwasomesha wewe
 
Mwezi Jana nilikuwa phuket kwa kazi fulan sehemu inaitwa Patong!

Kilichosaidia nili book mapema Agoda lengo nikifika nibadili hotel maana kwa siku moja mtu unatozwa baht 12,000 Sawa na usd 500$ , asubuhi nikachukua taxi tukazunguka kila hotel kutafta cheap ! Nazo Nikaambiwa kwamba hata hiyo uliyopata ya Patong royal shukuru Mungu!

Mji ule uko Thailand Ila umechukuliwa na wa Ukraine na waarabu! Ukiwa huko huna tofaut na mtu ambaye yuko hapa Ulaya !

Ila nili enjoy sana ! Japo sikupenda suala la hotel

Ntasimulia simulia na kuwapa hints Wa Tanzania wa naotaka kutembea duniani maeneo kadhaa

Naandaa kitabu
Ntakipa jina moja wapo
1. Being black Abroad
2. Sole travelers
3. Explore the world from poor countries

Maana Mpaka sasa nimetembea nchi zaidi ya 125 dunian

Britanicca
Acha uhaya wa kijinga jamaa
 
Hicho kitabu hadhila wakuu ni watz au wazungu? Maana ni cha kiingereza.
Mwezi Jana nilikuwa phuket kwa kazi fulan sehemu inaitwa Patong!

Kilichosaidia nili book mapema Agoda lengo nikifika nibadili hotel maana kwa siku moja mtu unatozwa baht 12,000 Sawa na usd 500$ , asubuhi nikachukua taxi tukazunguka kila hotel kutafta cheap ! Nazo Nikaambiwa kwamba hata hiyo uliyopata ya Patong royal shukuru Mungu!

Mji ule uko Thailand Ila umechukuliwa na wa Ukraine na waarabu! Ukiwa huko huna tofaut na mtu ambaye yuko hapa Ulaya !

Ila nili enjoy sana ! Japo sikupenda suala la hotel

Ntasimulia simulia na kuwapa hints Wa Tanzania wa naotaka kutembea duniani maeneo kadhaa

Naandaa kitabu
Ntakipa jina moja wapo
1. Being black Abroad
2. Sole travelers
3. Explore the world from poor countries

Maana Mpaka sasa nimetembea nchi zaidi ya 125 dunian

Britanicca
 
Sasa kama mna pesa za kuzunguka dunia nzima na kuna watu wameshindwa kuendelea na masomo kutokana na ada, kuna watoto ni yatima wanakosa hela ya mavazi, malazi nq chakula.

Na imani utasema umepambana mwenyewe, Ila ninachojua kila mtu amewezeshwa, Mkoloni alisomesha watu, Watu wakasomesha watu ukawa ni mwendelezo. Ila kuna familia zingine zilikosa hiyo bahati.

Lakini kama nyie ndo watu mnaojidai kumwabudu Mungu ili kutoa support hamuwezi, Basi nimeamini huyo Mungu mnamwabudu kinafiki.

Nachukia nyuzi za sifa wakati kuna watu wana mahitaji.

Mungu kama kweli upo basi leta hata TSUNAMI ili wote tumezwe, Hii dunia imejaa unafiki.🙏
Aiseeee...utasumbuka sana kama una mentality hiyo..nature haitaki watu wakujilalamisha namna yako!pambana tu
 
Mwezi Jana nilikuwa phuket kwa kazi fulan sehemu inaitwa Patong!

Kilichosaidia nili book mapema Agoda lengo nikifika nibadili hotel maana kwa siku moja mtu unatozwa baht 12,000 Sawa na usd 500$ , asubuhi nikachukua taxi tukazunguka kila hotel kutafta cheap ! Nazo Nikaambiwa kwamba hata hiyo uliyopata ya Patong royal shukuru Mungu!

Mji ule uko Thailand Ila umechukuliwa na wa Ukraine na waarabu! Ukiwa huko huna tofaut na mtu ambaye yuko hapa Ulaya !

Ila nili enjoy sana ! Japo sikupenda suala la hotel

Ntasimulia simulia na kuwapa hints Wa Tanzania wa naotaka kutembea duniani maeneo kadhaa

Naandaa kitabu
Ntakipa jina moja wapo
1. Being black Abroad
2. Sole travelers
3. Explore the world from poor countries

Maana Mpaka sasa nimetembea nchi zaidi ya 125 dunian

Britanicca
Nchi 125 au ww n baharia???...Ngoja nianze na Dubai this year nisije kufa bila kutoka Bongo
 
Kumbe ma dom kulikuwa na issues
Ahahahaaaa, nchi yote ilihamia Dodoma, kama ulifika one/two week before and for 18/1/25 unaondolewa lodge/hotel kwa kuambiwa waheshimiwa waliweka booking one month before, 😢 😂!.
 
Back
Top Bottom