Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Ndio tupo hapaHivi wakiwa dodoma wanaendaga chako oi chako ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio tupo hapaHivi wakiwa dodoma wanaendaga chako oi chako ?
Jitafute braza, hakuna mtu anatafuta kwa ajili yako.Sasa kama mna pesa za kuzunguka dunia nzima na kuna watu wameshindwa kuendelea na masomo kutokana na ada, kuna watoto ni yatima wanakosa hela ya mavazi, malazi nq chakula.
Na imani utasema umepambana mwenyewe, Ila ninachojua kila mtu amewezeshwa, Mkoloni alisomesha watu, Watu wakasomesha watu ukawa ni mwendelezo. Ila kuna familia zingine zilikosa hiyo bahati.
Lakini kama nyie ndo watu mnaojidai kumwabudu Mungu ili kutoa support hamuwezi, Basi nimeamini huyo Mungu mnamwabudu kinafiki.
Nachukia nyuzi za sifa wakati kuna watu wana mahitaji.
Mungu kama kweli upo basi leta hata TSUNAMI ili wote tumezwe, Hii dunia imejaa unafiki.🙏
kwani wewe upo kwenye tawi la kipekee akaapo njiwa manga?Ndio tupo hapa
Itamsaidiaje raia ya kawaida Kama sio kuchukua shilingi zake kadhaa, kwani wewe kutembea huko ulisoma kitabu gani.No siteki audience tu! I mean it
View attachment 3206312
Mwezi Jana nilikuwa phuket kwa kazi fulan sehemu inaitwa Patong!
Kilichosaidia nili book mapema Agoda lengo nikifika nibadili hotel maana kwa siku moja mtu unatozwa baht 12,000 Sawa na usd 500$ , asubuhi nikachukua taxi tukazunguka kila hotel kutafta cheap ! Nazo Nikaambiwa kwamba hata hiyo uliyopata ya Patong royal shukuru Mungu!
Mji ule uko Thailand Ila umechukuliwa na wa Ukraine na waarabu! Ukiwa huko huna tofaut na mtu ambaye yuko hapa Ulaya !
Ila nili enjoy sana ! Japo sikupenda suala la hotel
Ntasimulia simulia na kuwapa hints Wa Tanzania wa naotaka kutembea duniani maeneo kadhaa
Naandaa kitabu
Ntakipa jina moja wapo
1. Being black Abroad
2. Sole travelers
3. Explore the world from poor countries
Maana Mpaka sasa nimetembea nchi zaidi ya 125 dunian
View attachment 3206312
Britanicca
Andika kitu we jamaa ccm kumewaka moto mzee!we huoni!!?kisiwa Cha Amisah!!
Boss Phuket wamasemaTatizo mnaenda ugenini mkisha pigwa tukio ndio mnakuja huku kulalamika
Kwa nini usiulize kabla ya kwenda, upewe michongo?
Mfano wa hoteli za bei poa hapo Patong;
Phuket Inn Patong $60 hii naipenda
Sea Front Home $60
Pimrada Hotel $55
At Home Patong $40
Hata hivyo kale kamji ni kadogo/ka kawaida saana sidhani kama kuna hotel 100 pale; labda kama unahesabu na guest house
Boss Phuket wamasema
Kwamba ni majira ya high season muda huu
Wanasema January na December ni higher season Ona hapaKiongozi, hizo bei nimekupa hata ukitaka kubook leo unapata.....
Siku nyingne unabook na kulipia kabla ya kwenda. Biashara ya kwenda kutafuta Hoteli ukifika hiyo ni ya ulimwengu wa tatu (hizi Nchi masikini).
Ukienda tu hapo kwa mandela, Misri, Nigeria nk bila booking utapigwa
Dadeq mbona akili finyu wewe!!Jitafute braza, hakuna mtu anatafuta kwa ajili yako.
Ni aibu kwa mwanaume kulilia misaada toka kwa wanaume wengine.
Nani kakwambia kila mtu anamuamini Mungu kama wewe?? Nani kasema watu hawasaidii??
Leta nyuzi zako za kusaidia watu ili uinspire wengine sio lawama, alaaa.
Hebu muheshimu babu britanicca
Kutegemeana ni wewe unampa nini na yeye anakupa nini. Mkoloni alikupa elimu ili utawale wenzio na iwe rahisi kwake kutawala.Dadeq mbona akili finyu wewe!!
Hakuna aliyejitafuta mwenyewe tunategemeana sawa.
We unadhani Mkoloni angekuwa mchoyo wa maarifa sahivi ungekuwa kijijini kwenu NYAKABONGO unachunga ng'ombe. Acha ubinafsi
Ni halali maana unaonekana ni mji wa kitalii, nilienda Zanzibar guest house zote zilikuwa full ad tulipotoka nje ya mji ndo tulipataView attachment 3206312
Mwezi Jana nilikuwa phuket kwa kazi fulan sehemu inaitwa Patong!
Kilichosaidia nili book mapema Agoda lengo nikifika nibadili hotel maana kwa siku moja mtu unatozwa baht 12,000 Sawa na usd 500$ , asubuhi nikachukua taxi tukazunguka kila hotel kutafta cheap ! Nazo Nikaambiwa kwamba hata hiyo uliyopata ya Patong royal shukuru Mungu!
Mji ule uko Thailand Ila umechukuliwa na wa Ukraine na waarabu! Ukiwa huko huna tofaut na mtu ambaye yuko hapa Ulaya !
Ila nili enjoy sana ! Japo sikupenda suala la hotel
Ntasimulia simulia na kuwapa hints Wa Tanzania wa naotaka kutembea duniani maeneo kadhaa
Naandaa kitabu
Ntakipa jina moja wapo
1. Being black Abroad
2. Sole travelers
3. Explore the world from poor countries
Maana Mpaka sasa nimetembea nchi zaidi ya 125 dunian
View attachment 3206312
Britanicca
Nakisubiri nisome maana hata hapo Kenya tu sijawahi fika 😜View attachment 3206312
Mwezi Jana nilikuwa phuket kwa kazi fulan sehemu inaitwa Patong!
Kilichosaidia nili book mapema Agoda lengo nikifika nibadili hotel maana kwa siku moja mtu unatozwa baht 12,000 Sawa na usd 500$ , asubuhi nikachukua taxi tukazunguka kila hotel kutafta cheap ! Nazo Nikaambiwa kwamba hata hiyo uliyopata ya Patong royal shukuru Mungu!
Mji ule uko Thailand Ila umechukuliwa na wa Ukraine na waarabu! Ukiwa huko huna tofaut na mtu ambaye yuko hapa Ulaya !
Ila nili enjoy sana ! Japo sikupenda suala la hotel
Ntasimulia simulia na kuwapa hints Wa Tanzania wa naotaka kutembea duniani maeneo kadhaa
Naandaa kitabu
Ntakipa jina moja wapo
1. Being black Abroad
2. Sole travelers
3. Explore the world from poor countries
Maana Mpaka sasa nimetembea nchi zaidi ya 125 dunian
View attachment 3206312
Britanicca