Dunian sijawai kuona mji wa kipuuzi Kama Phuket unazunguka hotel zaidi ya 200 zote full?

Dunian sijawai kuona mji wa kipuuzi Kama Phuket unazunguka hotel zaidi ya 200 zote full?

Sasa kama mna pesa za kuzunguka dunia nzima na kuna watu wameshindwa kuendelea na masomo kutokana na ada, kuna watoto ni yatima wanakosa hela ya mavazi, malazi nq chakula.

Na imani utasema umepambana mwenyewe, Ila ninachojua kila mtu amewezeshwa, Mkoloni alisomesha watu, Watu wakasomesha watu ukawa ni mwendelezo. Ila kuna familia zingine zilikosa hiyo bahati.

Lakini kama nyie ndo watu mnaojidai kumwabudu Mungu ili kutoa support hamuwezi, Basi nimeamini huyo Mungu mnamwabudu kinafiki.

Nachukia nyuzi za sifa wakati kuna watu wana mahitaji.

Mungu kama kweli upo basi leta hata TSUNAMI ili wote tumezwe, Hii dunia imejaa unafiki.🙏
Jitafute braza, hakuna mtu anatafuta kwa ajili yako.
Ni aibu kwa mwanaume kulilia misaada toka kwa wanaume wengine.

Nani kakwambia kila mtu anamuamini Mungu kama wewe?? Nani kasema watu hawasaidii??

Leta nyuzi zako za kusaidia watu ili uinspire wengine sio lawama, alaaa.

Hebu muheshimu babu britanicca
 
No siteki audience tu! I mean it
Itamsaidiaje raia ya kawaida Kama sio kuchukua shilingi zake kadhaa, kwani wewe kutembea huko ulisoma kitabu gani.
Yaani unataka ufanye wengine wasafiri kwa kusoma kweli. Bora uweke YouTube uwe YouTuber you'll be paid by number of viewers
 
View attachment 3206312
Mwezi Jana nilikuwa phuket kwa kazi fulan sehemu inaitwa Patong!

Kilichosaidia nili book mapema Agoda lengo nikifika nibadili hotel maana kwa siku moja mtu unatozwa baht 12,000 Sawa na usd 500$ , asubuhi nikachukua taxi tukazunguka kila hotel kutafta cheap ! Nazo Nikaambiwa kwamba hata hiyo uliyopata ya Patong royal shukuru Mungu!

Mji ule uko Thailand Ila umechukuliwa na wa Ukraine na waarabu! Ukiwa huko huna tofaut na mtu ambaye yuko hapa Ulaya !

Ila nili enjoy sana ! Japo sikupenda suala la hotel

Ntasimulia simulia na kuwapa hints Wa Tanzania wa naotaka kutembea duniani maeneo kadhaa

Naandaa kitabu
Ntakipa jina moja wapo
1. Being black Abroad
2. Sole travelers
3. Explore the world from poor countries

Maana Mpaka sasa nimetembea nchi zaidi ya 125 dunian


View attachment 3206312
Britanicca

Tatizo mnaenda ugenini mkisha pigwa tukio ndio mnakuja huku kulalamika
Kwa nini usiulize kabla ya kwenda, upewe michongo?
Mfano wa hoteli za bei poa hapo Patong;
Phuket Inn Patong $60 hii naipenda
Sea Front Home $60
Pimrada Hotel $55
At Home Patong $40
Hata hivyo kale kamji ni kadogo/ka kawaida saana sidhani kama kuna hotel 100 pale; labda kama unahesabu na guest house
 
Tatizo mnaenda ugenini mkisha pigwa tukio ndio mnakuja huku kulalamika
Kwa nini usiulize kabla ya kwenda, upewe michongo?
Mfano wa hoteli za bei poa hapo Patong;
Phuket Inn Patong $60 hii naipenda
Sea Front Home $60
Pimrada Hotel $55
At Home Patong $40
Hata hivyo kale kamji ni kadogo/ka kawaida saana sidhani kama kuna hotel 100 pale; labda kama unahesabu na guest house
Boss Phuket wamasema
Kwamba ni majira ya high season muda huu
 
Boss Phuket wamasema
Kwamba ni majira ya high season muda huu

Kiongozi, hizo bei nimekupa hata ukitaka kubook leo unapata.....
Siku nyingne unabook na kulipia kabla ya kwenda. Biashara ya kwenda kutafuta Hoteli ukifika hiyo inafanyika huku Africa tena kwa Nchi masikini.
Ukienda tu hapo kwa mandela, Misri, Nigeria nk bila booking utapigwa
 
Kiongozi, hizo bei nimekupa hata ukitaka kubook leo unapata.....
Siku nyingne unabook na kulipia kabla ya kwenda. Biashara ya kwenda kutafuta Hoteli ukifika hiyo ni ya ulimwengu wa tatu (hizi Nchi masikini).
Ukienda tu hapo kwa mandela, Misri, Nigeria nk bila booking utapigwa
Wanasema January na December ni higher season Ona hapa

Hiyo ni one day na angalia wanaweka kwa thai baht

Na one baht ni 89 Tzsh now zidisha
IMG_8179.png
IMG_8180.png
IMG_8181.png
IMG_8182.png
IMG_8183.png
 
Jitafute braza, hakuna mtu anatafuta kwa ajili yako.
Ni aibu kwa mwanaume kulilia misaada toka kwa wanaume wengine.

Nani kakwambia kila mtu anamuamini Mungu kama wewe?? Nani kasema watu hawasaidii??

Leta nyuzi zako za kusaidia watu ili uinspire wengine sio lawama, alaaa.

Hebu muheshimu babu britanicca
Dadeq mbona akili finyu wewe!!

Hakuna aliyejitafuta mwenyewe tunategemeana sawa.

We unadhani Mkoloni angekuwa mchoyo wa maarifa sahivi ungekuwa kijijini kwenu NYAKABONGO unachunga ng'ombe. Acha ubinafsi
 
Dadeq mbona akili finyu wewe!!

Hakuna aliyejitafuta mwenyewe tunategemeana sawa.

We unadhani Mkoloni angekuwa mchoyo wa maarifa sahivi ungekuwa kijijini kwenu NYAKABONGO unachunga ng'ombe. Acha ubinafsi
Kutegemeana ni wewe unampa nini na yeye anakupa nini. Mkoloni alikupa elimu ili utawale wenzio na iwe rahisi kwake kutawala.

Sasa wewe ukae zako huko mbwinde utake watu waache kuenjoy waje wakusaidie wewe chauvivu, wakati wenzio wanatafuta hizo hela za kukwea pipa wewe ulikua wapi??
 
View attachment 3206312
Mwezi Jana nilikuwa phuket kwa kazi fulan sehemu inaitwa Patong!

Kilichosaidia nili book mapema Agoda lengo nikifika nibadili hotel maana kwa siku moja mtu unatozwa baht 12,000 Sawa na usd 500$ , asubuhi nikachukua taxi tukazunguka kila hotel kutafta cheap ! Nazo Nikaambiwa kwamba hata hiyo uliyopata ya Patong royal shukuru Mungu!

Mji ule uko Thailand Ila umechukuliwa na wa Ukraine na waarabu! Ukiwa huko huna tofaut na mtu ambaye yuko hapa Ulaya !

Ila nili enjoy sana ! Japo sikupenda suala la hotel

Ntasimulia simulia na kuwapa hints Wa Tanzania wa naotaka kutembea duniani maeneo kadhaa

Naandaa kitabu
Ntakipa jina moja wapo
1. Being black Abroad
2. Sole travelers
3. Explore the world from poor countries

Maana Mpaka sasa nimetembea nchi zaidi ya 125 dunian


View attachment 3206312
Britanicca
Ni halali maana unaonekana ni mji wa kitalii, nilienda Zanzibar guest house zote zilikuwa full ad tulipotoka nje ya mji ndo tulipata
 
View attachment 3206312
Mwezi Jana nilikuwa phuket kwa kazi fulan sehemu inaitwa Patong!

Kilichosaidia nili book mapema Agoda lengo nikifika nibadili hotel maana kwa siku moja mtu unatozwa baht 12,000 Sawa na usd 500$ , asubuhi nikachukua taxi tukazunguka kila hotel kutafta cheap ! Nazo Nikaambiwa kwamba hata hiyo uliyopata ya Patong royal shukuru Mungu!

Mji ule uko Thailand Ila umechukuliwa na wa Ukraine na waarabu! Ukiwa huko huna tofaut na mtu ambaye yuko hapa Ulaya !

Ila nili enjoy sana ! Japo sikupenda suala la hotel

Ntasimulia simulia na kuwapa hints Wa Tanzania wa naotaka kutembea duniani maeneo kadhaa

Naandaa kitabu
Ntakipa jina moja wapo
1. Being black Abroad
2. Sole travelers
3. Explore the world from poor countries

Maana Mpaka sasa nimetembea nchi zaidi ya 125 dunian


View attachment 3206312
Britanicca
Nakisubiri nisome maana hata hapo Kenya tu sijawahi fika 😜
 
Back
Top Bottom