Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Mungu hapangiwiKwa vile 2025, Watanzania wazalendo tumeisha amua twende na mgombea mwanamke, nashauri Mama asichoshwe
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu hapangiwiKwa vile 2025, Watanzania wazalendo tumeisha amua twende na mgombea mwanamke, nashauri Mama asichoshwe
P
Wewe funua hicho chungu cheusi kilichokufukiaLakini ni mahakama hiihii ilimkuta Mbowe na kesi ya kujibu kwenye ugaidi
Usichanganye mafaili hizi ni kesi mbili tofauti.Lakini ni mahakama hiihii ilimkuta Mbowe na kesi ya kujibu kwenye ugaidi
Acha kukaririLakini ni mahakama hiihii ilimkuta Mbowe na kesi ya kujibu kwenye ugaidi
Una uhakika?Lakini ni mahakama hiihii ilimkuta Mbowe na kesi ya kujibu kwenye ugaidi
Lakini ni mahakama hiihii ilimkuta Mbowe na kesi ya kujibu kwenye ugaidi
Ila serikali yetu inaweza isifuate hayo maelekezo
Katiba mpya itawalaza usingizi murua sana, tatizo la haya makenge ya kijani mpaka yatoe damu ndio yataelewa SOMO.Hii Chadema si mchezo , nimekutana na Mzee mmoja Mnyakyusa ananifahamu akaniuliza , hivi nyinyi Chadema mbona mnatulaza na viatu , mbona hamchoki ?
Mimi nikamjibu kwa kifupi tu , KATIBA MPYA .
P tupambanie katiba mupya halafu uingie kama mgombea huru,P unatoboa🤔Kwa vile 2025, Watanzania wazalendo tumeisha amua twende na mgombea mwanamke, nashauri Mama asichoshwe
P
sio kila mtu lazima ajue ujinga wakoLakini ni mahakama hiihii ilimkuta Mbowe na kesi ya kujibu kwenye ugaidi