Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,144
Ndivyo mnavyoongopeana hivyi kwamba nyuma kunavuja?! [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mwaka Jana kuna dada alijinyonga baada ya kuachwa vibaya na mwanaume ambaye alimfundisha mchezo mbaya wa nyuma na akawa ashamharibu (Nadhani alianza kuvuja Huko nyuma), pamoja na kushauriwa kote haikusaidia mwishowe akajinyonga. Mwanamke mwenye akili zake hawezi kuachwa na mwanaume akawa na hasira kiasi hiko Kama Hajaachwa na mimba, Hajaachwa na ukimwi, au hajatapeliwa kiasi kikubwa cha hela na pengine kuharibiwA Kama ilivyo kuwa kwa huyo. Ebitoke hao ndo wanaume akikuvua Kwisha habari yako.....ukimpata mmoja ukaweza kumkomoa na kulipa kisasi Fanya hivyo upite hiviiii[emoji1542]
Alijua mkuu, walipoingia kila mtu kamkabili wake Ebitoke kaenda kwa Stella huyo brother kaenda kwa Mlela.Inawezekana hakujua,kaambiwa tu kaka nipeleke kilimanjaro hotel,kuingia sister kafyatuka kama mshale
Mpaka siku watakapo pigana visu vya ukweli ukweli ndiyo mtaelewa what's going on na muda tu ndiyo utaongea.Meneja wa hoteli hiyo keshasema kuwa ulikuwa ni mpango ambao aliusuka Mlela mwenyewe na alidokezwa jana na Mlela kuwa kuna mchezo wataufanya. So wambea wote rudisheni mpira golini. IMEISHA HIYO!
๐ณ๐คโน๏ธ๐ญ๐ช๐ฅ kweli inauma jamaniFikiria hela yenyewe kamevunja kibubu kuigiza kwa kupaka masizi kote kule leo marioo mmoja anachukua kilaini anasepa.
Unakuta hata huyo prof. hilo suala la wewe kumchuna wala halimsumbui,cha msingi yeye amepata sehemu ya kumwagia mbegu zake(kwako) zinazo msumbua ye anajionea poa tu.Ndio maana mimi huyu danga langu prof namkamua vilivyo siku hata akiondoka sitoumia hata, maana nitahakikisha najega na hela yake
Yaan toka asubui natafakari ni kwa namna gan ntaweza kum convince kaka angu eti tukafanye ugomvi kwa ex au hata mume naye akubali tuongozane twende kuzalilika kama ivi dah ๐ ๐ ๐
wanajibebisha wenyewe enzi hizo eti Ebilela๐๐๐๐๐ณ๐คโน๐ญ๐ช๐ฅ kweli inauma jamani
Anajua kama ฤทamaliza pesa zote za EbiEbitoke asipopelekwa Polisi nitaamini hii ni Kiki. Eti mlela analipa dola 500 kwa uharibifu wa meza. Kwani yy si amevamiwa tu
Acha ujinga wa maneno ya kejeli wewe ebitoke square siuliyataka mwenyeweSawa Ebitoke
kweli kabisa tena mke wa mtu walaini sanaKama hujawahi kula mhaya basi we si mwanaume
Kwa hiyo ebitoke aliend mshambulia anayemla jamaa yake na huyu kaka lienda mshambulia anayemla mtu wake.Huyu jamaa aliyetambulika kama kaka wa ebitoke pale leo ktk vurugu sio kaka wa damu wa huyo binti jamaa naitwa kitenge ni comedian pia ni kaka wa mjini mjini tu..kwa maelezo ya mlela wanapigana miti tu huyo kak na ebitoke View attachment 1260895